Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Nauliza wanajamvi:
Kwa nini CUF siku hizi wanafanya mikutano yao kimya kimya tu tena katika maeneo ya vichochoroni? Ni tofauti na CDM ambayo mikutano yake hufanyika katika maeneo makubwa na ya wazi -- na hutangazwa bila woga hadi polisi hujishauri kwanza kuilinda kwa sababu ya nyomi.
Nadhani CUF wanapendelea vichochoroni kwa sababu ya kuogopa kukosa nyomi.
Kwa nini CUF siku hizi wanafanya mikutano yao kimya kimya tu tena katika maeneo ya vichochoroni? Ni tofauti na CDM ambayo mikutano yake hufanyika katika maeneo makubwa na ya wazi -- na hutangazwa bila woga hadi polisi hujishauri kwanza kuilinda kwa sababu ya nyomi.
Nadhani CUF wanapendelea vichochoroni kwa sababu ya kuogopa kukosa nyomi.