<br /><br /><br />
<br /><br />
Tshirt na khanga. Only Chadema hawana muda wa kugawa ma tsheti ila sera za maendeleo
Hapo cuf wanaiga tembo ,na watakuwa wamepewa chopa na ccm ili upinzani wagawane kura na ccm ishinde kiuraisi .Hawa cuf watatumika mpaka line?
<br /><font color="#006400"><i><b>Mkuu hapo kwenye red we acha tu kama ilivyo , hao ni wana ndoa atii,</b></i></font>
acha baised idieas.Kwa nini cdm wasingeiachia CUF coz mwaka jana mgombea wa cuf ndo alipambana na rostam. CDM hawakusimamisha mgombea.So cuf na mgombea wao(MAHONA) tayari wana wanamtaji wa wapigakura na network nzuri ya chama na watu wanamfahamu sana mgombea wa CUF na anakubalika sana.Hawa CUF ndiyo watakao sababisha jimbo liende ccm....maana hapa kuna harufu ya cuf na cdm kugawana kura.
Kama kungekuwa na uwezekano ni kheri tu cuf wangewaachia cdm. Huu ni mtizamo wangu tu
<br />Hapo cuf wanaiga tembo ,na watakuwa wamepewa chopa na ccm ili upinzani wagawane kura na ccm ishinde kiuraisi .Hawa cuf watatumika mpaka line?
acha baised idieas.kwa nini cdm wasingeiachia cuf coz mwaka jana mgombea wa cuf ndo alipambana na rostam. Cdm hawakusimamisha mgombea.so cuf na mgombea wao(mahona) tayari wana wanamtaji wa wapigakura na network nzuri ya chama na watu wanamfahamu sana mgombea wa cuf na anakubalika sana.
<br /><br /><br />
<br /><br />
CUF ndio walioibeba chadema na ndio watakao iua.
<br />acha baised idieas.Kwa nini cdm wasingeiachia CUF coz mwaka jana mgombea wa cuf ndo alipambana na rostam. CDM hawakusimamisha mgombea.So cuf na mgombea wao(MAHONA) tayari wana wanamtaji wa wapigakura na network nzuri ya chama na watu wanamfahamu sana mgombea wa CUF na anakubalika sana.
<br /><br /><br />
<br /><br />
CUF ndio walioibeba chadema na ndio watakao iua.
kirungi umechemka sana! Mgombea wa CDM ni mzawa wa igunga! CUF kuchukua jimbo la igunga NI NDOTO YA BUNUAZI AIOTAYO MCHANA KWEUPE! TENA JANGWANI.