mzee wa mawe
Senior Member
- Aug 2, 2011
- 151
- 15
CHAMA cha wanainchi (CUF), Kimesema wameenda Igunga kuchukua jimbo na kwamba wako tayari na wao kutumia Helkopta (chopa), kama vyama vingine vitafanya hivyo.
Kimesema kitatumia njia yoyote ile ili mradi hawavunji sheria za uchaguzi hadi wachukue jimbo hilo lililoachwa na aliyekuwa mbunge wake, Rostam Aziz wa CCM ambaye alijiuzulu.
Mratibu wa Uchaguzi jimbo la Igunga wa CUF, kirungi Ameir kirungi aliiambia Jambo Leo Dar es salaam jana kwa njia ya simu kuwa vyama vya ccm na chadema ni vilaini na havina ushawishi kwa wapiga kura wa jimbo hilo.
Kirungi alisema wagombea wa vyama vingine havina ushawishi kwa sababu wagombea wake si wakazi wa Igunga hivyo hatayajui matatizo ya jimbo hilo.
Kimesema kitatumia njia yoyote ile ili mradi hawavunji sheria za uchaguzi hadi wachukue jimbo hilo lililoachwa na aliyekuwa mbunge wake, Rostam Aziz wa CCM ambaye alijiuzulu.
Mratibu wa Uchaguzi jimbo la Igunga wa CUF, kirungi Ameir kirungi aliiambia Jambo Leo Dar es salaam jana kwa njia ya simu kuwa vyama vya ccm na chadema ni vilaini na havina ushawishi kwa wapiga kura wa jimbo hilo.
Kirungi alisema wagombea wa vyama vingine havina ushawishi kwa sababu wagombea wake si wakazi wa Igunga hivyo hatayajui matatizo ya jimbo hilo.