duh! watu kweli kiboko, habari ambazo hata hazijaandikwa kwenye magazeti watu wanazo, na hao critics wa ccm sidhani kama wangekaa kimya kama wangesikia haya ! so, that cant be !
Nilichosema hapa hakina tofauti na kinachosemwa na hawa wanaodai kuwa wana inside information ya kilichokubaliwa kati ya CUF na CCM ... mwingine ameyaita MOU