Dangire
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 221
- 68
Matatizo kwa mtu yeyote, taasisi, nchi nk. ni sehemu ya uhai wake. utofauti unakuja pale mbapo mtu mmoja anapatwa na tatizo na mara hiyo anarespond to it (rightly and effectively). Wakati mtu mwingine hufanya maamuzi late kitu ambacho ni hatari kwa uhai wake. mtu/taasisi/nchi nk. makini huonekana wakati wa matatizo (jinsi anavyolishughulikia kwa usahihi).
Ninashangazwa sana na aukimya wa viongozi wa CUF ilhali boti ingali ikizama....sioni hatua zozote za kimkakati zikichukuliwa kujinusuru. Hivi ni kwa vile m/kiti hakuwepo/ hayupo hapa nchini basi hapana mtu mwingine makini wa kuchukua hatua stahiki? katika hali hii....ni wazi life span yake imefikia ukingoni. watutafute communicologists tuwape mikakati ya kimawasiliano.
Ninashangazwa sana na aukimya wa viongozi wa CUF ilhali boti ingali ikizama....sioni hatua zozote za kimkakati zikichukuliwa kujinusuru. Hivi ni kwa vile m/kiti hakuwepo/ hayupo hapa nchini basi hapana mtu mwingine makini wa kuchukua hatua stahiki? katika hali hii....ni wazi life span yake imefikia ukingoni. watutafute communicologists tuwape mikakati ya kimawasiliano.