CUF inapoisakama CHADEMA

Ziweke mkuu, ili tuone na kutambua kwamba kweli ulimaanisha ulichokisema, au kukiandika humu jamvini.Ukisema kitu weka na ushahidi, kudhihirisha kwamba kweli wewe ni great thinker na ili kuondoa ubishi. Naamini utatekeleza na si kutishia nyau, sawa Mkuu?

nivema nawewe ukaweka za lipumba kufanya kampeni msikiti. Itakuwa poa sana.
 
mtoa mada amechoka sijui ana tumia mat.ako kutoa mawazo. Kwanza chama pekee kina chotumia mabaraza na mikutano mikuu kufanya maamuzi ni cuf, nandio chama chenye demokrasia sijawahi sikia lipumba kafanya maamuzi yake binafsi kumvua mtu wanachama anae bisha pumbavu na alete ushahidi cuf hutumia democracy mfano mzuri prof safari v/s prof lipumba kura uwanjani safari akaambulia kura chache alicholalamika ni kudhihakiwa na wanachama. Ktk mkutano mkuu wa taifa wa cuf wenye wajumbe toka wilaya zote tz bara na visiwani. Ushahidi upo mwenye shida akatafute maktaba. Tuangalie chama kina chojiita cha demokrasia. Mwenye kiti nae mfahamu wa kwanza bob makani sijajua mtei alikuwa nani so katibu. Bob makani alistaafu akapewa mbowe hadi hivi leo yupo huyu ni dikteta mbowe au mungu mbowe. Kiti chake hakiguswi tujikumbushe kidogo pale zitto alipotaka kiti chambowe makamasi yalimtoka puani. Hata form yake ilizuiwa kuingizwa na kufanyiwa mchujo. Alizuiwa na madikteta mtei walimwambia bado kama kisingizio huku dikteta mtei ambae na naambiwa ni mkwilima au baba mkwe wa mbowe (undugunaization) akiongea wazi bila ya uficho "hatuwezi kuuza chama kwa kumpa mtu tu mwingine asiye fahamika zitto nani aende kule" (ukabila, udikteta, undugu, maslahi binafsi) hawa ndo Cdm bana chama kinachosifiwa na demokrasia. Pia tujikumbuse maamuzi ya mungu mbowe na slaa walipojifungia ofisini na kuwa engua alieshinda wenyekiti wa bavicha kafulila na mwenziwe na kuwavuwa uanachama. Vivyo hivyo bawacha mbowe na slaa waliusimamisha uchaguzi wawanawake. Hapa tunaona udhaifu mkubwa wa cdm si udhaifu ni udikteta wa viongozi ndo wenye maamuzi na si baraza lenye maamuzi kama alivyosema mtoa mada. Baraza la cdm ni boya, baraza la cuf functionable well kachunguzeni mfanye tafiti muone haya nahakika mwenye chuki na apasuke
 
mtoa mada amechoka sijui ana tumia mat.ako kutoa mawazo. Kwanza chama pekee kina chotumia mabaraza na mikutano mikuu kufanya maamuzi ni cuf, nandio chama chenye demokrasia sijawahi sikia lipumba kafanya maamuzi yake binafsi kumvua mtu wanachama anae bisha pumbavu na alete ushahidi cuf hutumia democracy mfano mzuri prof safari v/s prof lipumba kura uwanjani safari akaambulia kura chache alicholalamika ni kudhihakiwa na wanachama. Ktk mkutano mkuu wa taifa wa cuf wenye wajumbe toka wilaya zote tz bara na visiwani. Ushahidi upo mwenye shida akatafute maktaba. Tuangalie chama kina chojiita cha demokrasia. Mwenye kiti nae mfahamu wa kwanza bob makani sijajua mtei alikuwa nani so katibu. Bob makani alistaafu akapewa mbowe hadi hivi leo yupo huyu ni dikteta mbowe au mungu mbowe. Kiti chake hakiguswi tujikumbushe kidogo pale zitto alipotaka kiti chambowe makamasi yalimtoka puani. Hata form yake ilizuiwa kuingizwa na kufanyiwa mchujo. Alizuiwa na madikteta mtei walimwambia bado kama kisingizio huku dikteta mtei ambae na naambiwa ni mkwilima au baba mkwe wa mbowe (undugunaization) akiongea wazi bila ya uficho "hatuwezi kuuza chama kwa kumpa mtu tu mwingine asiye fahamika zitto nani aende kule" (ukabila, udikteta, undugu, maslahi binafsi) hawa ndo Cdm bana chama kinachosifiwa na demokrasia. Pia tujikumbuse maamuzi ya mungu mbowe na slaa walipojifungia ofisini na kuwa engua alieshinda wenyekiti wa bavicha kafulila na mwenziwe na kuwavuwa uanachama. Vivyo hivyo bawacha mbowe na slaa waliusimamisha uchaguzi wawanawake. Hapa tunaona udhaifu mkubwa wa cdm si udhaifu ni udikteta wa viongozi ndo wenye maamuzi na si baraza lenye maamuzi kama alivyosema mtoa mada. Baraza la cdm ni boya, baraza la cuf functionable well kachunguzeni mfanye tafiti muone haya nahakika mwenye chuki na apasuke
kwavile umewaambia ukweli mtupu tena usio nashaka nakwambia hawatokujibu kwa hoja badala yake wataanza kukuporomoshea mitusi ila usijali tumeshawazoea ndio staili yao yakisiasa,siasa zao za maji taka tupu.
 
chadema ni hawara na nyumba ndogo ya magamba.........inaona wivu na kuingilia ndoa ya mwenzake.
 
Hata jk anjua cha makini ni Cdm kwa kuzikubali sera zake na kukiri source Mwanahalisi,
CDM wanasoma nyakati na kuzitumia na Mashabiki na wanachama wa CDM Wanajipambanua
na wana mtaji wa umma tofauti na vyama vingine vyote. Kimsingi umeandi ukweli pasi na shaka
 
Waraka wa maaskofu hujasoma, tafuta uko humu ndani..lol

Mtoa mada ktk point no2 umesema cuf walikua wanafanya kampeni zawazi msikitini,pia hata cdm walifanya kampeni zawazi makanisani hasa katoliki,tena na ushahidi wa cd za picha tunao,slaa alikua analala makanisani nakufanyiwa kampeni zawazi namapadri wenzie,ukibisha cd tunazo zakampeni za cdm naslaa makanisani,usitukane mamba kabla hujavuka mto.

Sasa waraka wa maaskofu ndio video ya Slaa akifanya kampeni kanisani? CUF vipi bana?
 
Waraka wa maaskofu hujasoma, tafuta uko humu ndani..lol

toa wewe kwanza ushahidi kamili kua lipumba alifanya kampeni misikitini namimi ukitoa ushahd kua libumba alifanya kampeni msikitini nami naimwaga cd ya slaa akiomba kura makanisani.

Bwe.ge wewe! Mi nilidhani naongea na mtu wa maana mwenye ushahidi kumbe ulikuwa unatishia nyau? Ulisema una video za Slaa kanisani akifanya kampeni, ziko wapi? Mimi nilisema kuwa nina video za Lipumba msikitini?
 
Mtoa mada ktk point no2 umesema cuf walikua wanafanya kampeni zawazi msikitini,pia hata cdm walifanya kampeni zawazi makanisani hasa katoliki,tena na ushahidi wa cd za picha tunao,slaa alikua analala makanisani nakufanyiwa kampeni zawazi namapadri wenzie,ukibisha cd tunazo zakampeni za cdm naslaa makanisani,usitukane mamba kabla hujavuka mto.
Mimi si Mkatoliki lakini nasikitishwa na rongorongo yako hii, kanisa Katoliki ninavyolifahamu halinunuliki kirahisi namna hiyo. Ati? wamfanyie mtu kampeni hadi alale makanisani? kwa taarifa yako kanisani kwa imani Katoliki ni mahali patakatifu pa utakatifu na haiwezekani kamwe kwa Padre, askofu na hata Papa kupanajisi kwa kuwatandikia virago wagombea urais eti walale kanisani!
Bila shaka hulielewi kanisa Katoliki sawasawa na labda unalifananisha na nyumba nyingine za kuabudia yakiwemo unayoyaita makanisa lakini si ya dhehebu la kikatoliki. Kama ni kweli unazo hizo CDs zimwage humu tujionee.
 
ni ubishi usio na sababu kwani ujweli upo wazi kabisa huku kwe2 slaa alifikia kanisani na alipokewa na mapadre na ndio waliompigia kampeni
 
Chama cha CUF kimeibuka kuwa mpinzani mkubwa wa CHADEMA hata katika mambo ambayo chenyewe kilikuwa kikiyaamini kilipokuwa chama kikuu cha upinzani. CUF hawajiulizi ni vipi CHADEMA imepata umaarufu wa ghafla namna hii. Kwa mtazamo wangu, umaarufu wa CHADEMA sio wa ghafla bali ulijengwa taratibu. Zifuatazo ni miongoni mwa tofauti za utaratibu ndani ya vyama hivi.


  1. Tangu kuanzishwa, CHADEMA imekuwa na wenyeviti watatu na wawili waliostaafu bado ni wanachama wenye kuheshimika ndani ya CHADEMA tofauti na CUF yenye king'ang'anizi asiyependa mabadiliko.
  2. CHADEMA kimezushiwa kuwa na udini baada ya CCM kuona nguvu yake. Hali ya CHADEMA ni tofauti na CUF ambapo mwaka 1995 mwenyekiti wake alipiga kampeni misikitini wazi wazi na katika mikutano yake utakuta ni vi-barghashia vinatawala.
  3. CHADEMA imebadilisha karata ya ugombea urais baada ya Mbowe kujaribu bila mafanikio ndipo ilipomleta Slaa aliyetokea kuwa kipenzi cha wengi tofauti na Lipumba tunayemtarajia tena 2015.
  4. Dr. Slaa wa CHADEMA amekuwa maarufu zaidi kwa staili ya yake kulipua mabomu bungeni na kuwataja mafisadi bila woga tofauti na Lipumba ambaye hajawahi kukemea ufisadi kwa besi.
  5. CHADEMA ni walifanya ujanja kwa kuiga staili ya Obama kufanya kampeni kupitia mitandao ya simu na internet na CUF walifikiri haitawasaidia kwani vijana wengi walionekana kutopenda siasa, ikala kwao.
  6. CHADEMA walitengua msemo wa nabii hakubaliki nyumbani kwa kuchukua jimbo analotoka mwenyekiti wao na katibu aliyekuwa akigombea urais, tofauti na CUF waliopoteza nyumbani kwa mwenyekiti. Hii inatokana na tofauti ya kuwekeza ambapo CUF wamewekeza zaidi visiwani huku wakiutaka urais wa muungano.
  7. Wakati CUF wanazinduka kumleta machachari Mtatiro katika siasa zao wanasahau kuwa CHADEMA waliliona hilo mapema na kuwa na vijana kama Mnyika, Zitto, Kafulila, nk
  8. Wazee wa CHADEMA hawaangalii zaidi wao wanataka nini, bali watu wanataka nini. Ndio maana mwanamuziki Sugu ambaye kwa kauli za awali za wapinzani wake walimwita mhuni, akawekwa kulikwaa jimbo. CCM nao kama CHADEMA walikuwa wakiandamana na kundi kubwa la wasanii wakiongozwa na Joseph Haule. CUF walidhani kipaza sauti pekee kinatosha.
  9. Nguvu kubwa ya kimaamuzi CCM ipo kwa mwenyekiti, CHADEMA ipo kwa baraza kuu na CUF ipo kwa katibu mkuu.
  10. CHADEMA, hata kama wanakosea; wana kawaida ya kutoa tamko pale jambo linapojitokeza. Tofauti na CUF ambao wana kawaida ya kusubiri kwanza kuona upepo unavumaje.
  11. Siasa ni kama dini ambapo muumini huvutwa na mlengo wa chama. Kimataifa, CHADEMA kimefuata mlengo wa kulia na ndio maana kinahusishwa na vyama kama conservative cha Uingereza na Republican cha Marekani, na CCM mlengo wa shoto kikihusishwa na Labor cha Uingereza na Democrats cha US. CUF kama chama, mlengo wake hauko wazi.
Ni dhahiri basi CUF wana kazi kubwa ya kurekebisha kuanzia ndani ndipo watoke uwani. Umaarufu wa CHADEMA usiwatie wivu hata wakaamua kuwapinga katika masuala yenye manufaa kwa Watanzania. Kushiriki katika serikali ya Zanzibar kusiwe chanzo cha uswahiba na serikali ya Tanzania na kuwa mpinzani wa wapinzani wenzako.

angalizo : mwanzisha sredi sio mwana CUF wala CHADEMA

Mkuu unafanya vizuri lakini waambie wakupandie mshahara bila ya kusahau kuongezewa POSHO.
 
Mkuu, mimi niliiva katika ile kanuni isemayo, "nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko". Hivyo usinihusishe na CHADEMA eti kwa sababu nimewasemea uzuri. Mbona wa CCM wengi tu waisifia CDM? Kusema jambo jema la waislamu haina maana nimeacha wokovu na kusilimu.

"propaganda" pekee ya CDM kuhusu CUF ni jina jipya CCM B. Lakini CUF inafuatilia mambo ya msingi wanayoamua CDM na kuwashutumu. Mfano viongozi wa CUF walilaani maandamano ya CDM Arusha wakisema eti hiyo ni njia ya kizamani. Njia gani ya kizamani iliyowatoa madarakani marais wa sasa Misri na Tunisia. Msingi wa hoja yangu ni kwa CUF kuacha kuisakama CHADEMA na kumtetea mtanzania kwa kila hali. Juzi tumesikia posho za ma-MP zimepanda. Tayari wabunge wa CDM wameshakoroma. CUF kimya. Lakini waliposikia wenzao wamekunywa juisi ikulu nao hao wako mbioni kwenda. Mengine utamalizia mwenyewe.......

Hata average minded person atajua kwamba analysis yako (if at all it is one) ni imballanced na kwa kiasi kikubwa unaonyesha ulivyo partisan na hiyo near fanatical support yako kwa Chadema imekutia upofu. You have pickes some trivial points to justify what is otherwise an unverified set of facts. Anyway ngoja wenye chama chao wakujibu kwa data. Lakini you are a disgrace!
 
Mtoa mada ktk point no2 umesema cuf walikua wanafanya kampeni zawazi msikitini,pia hata cdm walifanya kampeni zawazi makanisani hasa katoliki,tena na ushahidi wa cd za picha tunao,slaa alikua analala makanisani nakufanyiwa kampeni zawazi namapadri wenzie,ukibisha cd tunazo zakampeni za cdm naslaa makanisani,usitukane mamba kabla hujavuka mto.

Mbona unaandika kama upo redioni? Attach hapa hizo video ili tuone. Mimi sijawahi kukosa ibada na sijawahi kusikia kampeni kanisani na ni mkatoliki. Usilete story za kwenye draft au kahawa kwenye maskani yenu!
 
kila akifika songea slaa alikuwa akilala kanisani peramiho watu wote wanajua huku,cdm ndo chama kinachokisakama cuf,hususani viongozi wake mpaka wafuasi wake.cdm tumeona kampeni za wazi zikifanywa na maaskofu makanisani
ni ubishi usio na sababu kwani ujweli upo wazi kabisa huku kwe2 slaa alifikia kanisani na alipokewa na mapadre na ndio waliompigia kampeni
 
mtoa mada amechoka sijui ana tumia mat.ako kutoa mawazo. Kwanza chama pekee kina chotumia mabaraza na mikutano mikuu kufanya maamuzi ni cuf, nandio chama chenye demokrasia sijawahi sikia lipumba kafanya maamuzi yake binafsi kumvua mtu wanachama anae bisha pumbavu na alete ushahidi cuf hutumia democracy mfano mzuri prof safari v/s prof lipumba kura uwanjani safari akaambulia kura chache alicholalamika ni kudhihakiwa na wanachama. Ktk mkutano mkuu wa taifa wa cuf wenye wajumbe toka wilaya zote tz bara na visiwani. Ushahidi upo mwenye shida akatafute maktaba. Tuangalie chama kina chojiita cha demokrasia. Mwenye kiti nae mfahamu wa kwanza bob makani sijajua mtei alikuwa nani so katibu. Bob makani alistaafu akapewa mbowe hadi hivi leo yupo huyu ni dikteta mbowe au mungu mbowe. Kiti chake hakiguswi tujikumbushe kidogo pale zitto alipotaka kiti chambowe makamasi yalimtoka puani. Hata form yake ilizuiwa kuingizwa na kufanyiwa mchujo. Alizuiwa na madikteta mtei walimwambia bado kama kisingizio huku dikteta mtei ambae na naambiwa ni mkwilima au baba mkwe wa mbowe (undugunaization) akiongea wazi bila ya uficho "hatuwezi kuuza chama kwa kumpa mtu tu mwingine asiye fahamika zitto nani aende kule" (ukabila, udikteta, undugu, maslahi binafsi) hawa ndo Cdm bana chama kinachosifiwa na demokrasia. Pia tujikumbuse maamuzi ya mungu mbowe na slaa walipojifungia ofisini na kuwa engua alieshinda wenyekiti wa bavicha kafulila na mwenziwe na kuwavuwa uanachama. Vivyo hivyo bawacha mbowe na slaa waliusimamisha uchaguzi wawanawake. Hapa tunaona udhaifu mkubwa wa cdm si udhaifu ni udikteta wa viongozi ndo wenye maamuzi na si baraza lenye maamuzi kama alivyosema mtoa mada. Baraza la cdm ni boya, baraza la cuf functionable well kachunguzeni mfanye tafiti muone haya nahakika mwenye chuki na apasuke

Ka taarab kazuri! Asante da Isha Mashauzi!
 
kila akifika songea slaa alikuwa akilala kanisani peramiho...

...cdm tumeona kampeni za wazi zikifanywa na maaskofu makanisani


wakati wa kampeni Dr. W. P Slaa hakukaa siku zaidi ya mbili songea na wala hakulala Peramiho.. Acha uongo!
Mimi sijawahi kusikia kampeni kanisani wala kwenye jumuia ninayosali. Hizo ni propaganda ambazo wajinga kama wewe zinawaingia akilini!
 
Jamani Jana Kulikuwa Na Mdahalo Mlimani TV Mida Ya saa Tatu!! Kweli ilikuwa ni raha Tupu!! Ni Muda Muafaka Kwa CUF na Magamba Kutafakari Yaliyo Mbele yao ambaya Yatawatafuna!!
 
Swadakta ila umesahau NDOA YAO NA CCM zanzibar kwani ndo inawafanya washindwe hata kupambana na chadema na wanaishia kuilaumu tu
 
Back
Top Bottom