Mgongo wa paka
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 485
- 36
Ziweke mkuu, ili tuone na kutambua kwamba kweli ulimaanisha ulichokisema, au kukiandika humu jamvini.Ukisema kitu weka na ushahidi, kudhihirisha kwamba kweli wewe ni great thinker na ili kuondoa ubishi. Naamini utatekeleza na si kutishia nyau, sawa Mkuu?
nivema nawewe ukaweka za lipumba kufanya kampeni msikiti. Itakuwa poa sana.