Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
CUF ipo na ipo ngangari kinoma ,kwanza tukubaliane kuwa katika CUF hakuna alie juu ya sheria ,Hamadi huyo alietimiliwa juzi ni mmoja kati ya waasisi wa CUF lakini kwa usiri na ujuaji wake leo hii akienda Zenji ni aibu tupu.
CDM (Chama Duni Mitaani) ni Chama kisicho na dira kwani nia na dhamiri yake ya kuleta fujo hapa Tanzania zimejulikana na zinazimwa kwa ustadi mkubwa sana ,mtakuja kushangaa hapo baadae ,msiseme hamkuambiwa.
CUF ipo na hazina ya wanachama wake ipo tena inaongezeka kwa hali ya kutisha ,wanachama ambao wanaamini kabisa kuwa wao ndio wenye Chama na sauti yao ndio ya MWISHO.
Chadema ilikuja na hoja ya kulipua mabomu pale bungeni ,wakajaza majungu hadi serikali na bunge wakawa hawasikilizani ,bahati nzuri au mbaya ykapita ya kupita mambu yakatulizwa na leo hii hatuwasikii CHADEMA kulipua mabomu wala kutega jipya ,hapa nasema wamezimwa vibaya sana.
Chadema walitaka kuisambaratisha nchi kwa kutumia uchaguzi wa Arusha kwa kweli wakasambaratishwa na wengine kuwekwa lockup ,eti wakakusanyana kwenda kituoni maji waliita mee ,nia na lengo lao likazimwa kiurahisi kabisa.
Haya hivi karibuni wamejaribu kuchokonoa katika idara za serikali na kuwashawishi madaktari na walimu wanafunzi ,nalo hilo halikufanikiwa leo limezimwa kiurahisi kabisa kwa kuahidiwa kuwa mambo yatatulizwa.
Sasa angalieni tifu la CUF kule Zanzibar leo hii CUF imo kwenye serikali moja kati ya serikali za MUUNGANO ,mnabaki kubeza eti ndoa ,mmeona eei !
CUF imeshafukuza wanachama wake wakuu akina Mapalala ,Salum Msabah ,Jidawi ambao hawajulikani hata wapo wapi na juzi tu Hamadi ,nae miezi yake mitatu ya kupapatika ikimaliza hiyo haijulikani ataangukia wapi inasemekana NCCR yeye na Zitto.
CDM (Chama Duni Mitaani) ni Chama kisicho na dira kwani nia na dhamiri yake ya kuleta fujo hapa Tanzania zimejulikana na zinazimwa kwa ustadi mkubwa sana ,mtakuja kushangaa hapo baadae ,msiseme hamkuambiwa.
CUF ipo na hazina ya wanachama wake ipo tena inaongezeka kwa hali ya kutisha ,wanachama ambao wanaamini kabisa kuwa wao ndio wenye Chama na sauti yao ndio ya MWISHO.
Chadema ilikuja na hoja ya kulipua mabomu pale bungeni ,wakajaza majungu hadi serikali na bunge wakawa hawasikilizani ,bahati nzuri au mbaya ykapita ya kupita mambu yakatulizwa na leo hii hatuwasikii CHADEMA kulipua mabomu wala kutega jipya ,hapa nasema wamezimwa vibaya sana.
Chadema walitaka kuisambaratisha nchi kwa kutumia uchaguzi wa Arusha kwa kweli wakasambaratishwa na wengine kuwekwa lockup ,eti wakakusanyana kwenda kituoni maji waliita mee ,nia na lengo lao likazimwa kiurahisi kabisa.
Haya hivi karibuni wamejaribu kuchokonoa katika idara za serikali na kuwashawishi madaktari na walimu wanafunzi ,nalo hilo halikufanikiwa leo limezimwa kiurahisi kabisa kwa kuahidiwa kuwa mambo yatatulizwa.
Sasa angalieni tifu la CUF kule Zanzibar leo hii CUF imo kwenye serikali moja kati ya serikali za MUUNGANO ,mnabaki kubeza eti ndoa ,mmeona eei !
CUF imeshafukuza wanachama wake wakuu akina Mapalala ,Salum Msabah ,Jidawi ambao hawajulikani hata wapo wapi na juzi tu Hamadi ,nae miezi yake mitatu ya kupapatika ikimaliza hiyo haijulikani ataangukia wapi inasemekana NCCR yeye na Zitto.