CUF IKISHINDA 2010, ZNZ KUWA PEPONI TENA!
From: <12345@wanene.com>
To: <ncp@wanene.com>
Sent: Tue, December 22, 2009 8:12:08 PM
Subject: CUF IKISHINDA 2010, ZNZ KUWA PEPONI TENA!
Najua haiaminiki kwa wengi na kwa kila mtu katika ukumbi wenu wa JF, lakini nilijua kuwa nia hio ipo pale nilipomsikia Maalim Seif Sharrif amepatana na CCM ZNZ kwaajili ya maslahi ya Waznz. Kama haya yalikuwa hayaaminiki, basi niliyoyakuta hapa Muscat kwenye drawing boards hayatoaminika kabisa hapo ukumbini kwenu JF.
Kwa ufupi, Waznz wanaoishi nje wameamua kuifufua nchi yao ili irejee tena kuwa The Capital of East Africa and the Centre of Learning - kama ilivyokuwa hapo mwanzo, kwani kuna mipango kabambe ya kuanzisha projects chungumzima za kufufua uchumi wa ZNZ kama hali ya siasa ikiruhusu.
Project ya kwanza ni kuiunganisha ZNZ na Bara kwa bridge ambayo itakuwa inaurefu wa kama 30 km. Project inategemewa ku-cost kama USD 7.5 billion. Wasioijua historia ya ZNZ watasema kuwa hilo halitotokea na labda ZNZ iunganishwe na Oman na sio Bara. Hawa wamesahau kuwa kama sio Maalim Seif leo Muungano ungelikuwa haupo, kwani Aboud Jumbe alikuwa keshafika mbali na mipango yake ya kuuvunja Muungano baada ya kuona kuwa alipigwa ngwara na Nyerere pale alipokubali kuunganisha vyama. Seif ndie aliyetoa ripoti ya usaliti wa Jumbe kwa Nyerere na leo ni lazima tumshukuru Maalim wetu kwa kuwa bado Muungano upo. Kama sio Seif Sharrif basi leo Tanzania ingelikuwa ni nchi mbili kama zilivyokuwa kabla ya 1964. Kwahivyo, CUF inaposema kama inataka Muungano uendelee, basi hio sio kwasababu Bara tayari ishatekwa kiuchumi na wale wafanya biashara machachari wa kipemba waliozagaa kuanzia Ilala mpaka Kariakoo, bali ni kwasababu CUF ni Muungano na Muungano ni CUF.
Hii project ni feasible kabisa na wenye hela wanaishughulikia kisirisiri kwa manufaa ya Tanzania, na sote inabidi to keep our fingers crossed, because it will open up ZNZ to the 40 million brothers and sisters on the Mainland. Imagine 800,000 people to have an easy access to a market of 40 million people!!! Zanzibar will definitely benefit. Kama kweli hio consortium itazipata hizo hela za project au Waznz wa hapa Ghuba wameshiba kahawa na tende, au ndio wanangojea hayo mafuta – that remains to be seen, lakini kusikia idea kama hii ikizungumzwa peke yake inatia moyo sana. Kwa upande mwengine, habari ninazozipata hapa Muscat zinaelezea kuwa hii project itaendelea kubakia kwenye drawing boards kama ZNZ haitokuwa na serikali imara na ya mseto na kama Bara haitokuwa na Rais anaekubalika na wananchi wote. Kama JK ataendelea na ZNZ itaendelea kuwa chini ya CCM peke yake basi hii project itakuwa ni ndoto tu, kwani hakuna mwekezaji atakaekubali kutoa hata senti moja yake ikiwa hajui muelekeo wa nchi wa baadae utakuwaje.
- ZNZ kurejea kuwa The Capital of East Africa
- Union Bridge kuimarisha Muungano zaidi
From: <12345@wanene.com>
To: <ncp@wanene.com>
Sent: Tue, December 22, 2009 8:12:08 PM
Subject: CUF IKISHINDA 2010, ZNZ KUWA PEPONI TENA!
Najua haiaminiki kwa wengi na kwa kila mtu katika ukumbi wenu wa JF, lakini nilijua kuwa nia hio ipo pale nilipomsikia Maalim Seif Sharrif amepatana na CCM ZNZ kwaajili ya maslahi ya Waznz. Kama haya yalikuwa hayaaminiki, basi niliyoyakuta hapa Muscat kwenye drawing boards hayatoaminika kabisa hapo ukumbini kwenu JF.
Kwa ufupi, Waznz wanaoishi nje wameamua kuifufua nchi yao ili irejee tena kuwa The Capital of East Africa and the Centre of Learning - kama ilivyokuwa hapo mwanzo, kwani kuna mipango kabambe ya kuanzisha projects chungumzima za kufufua uchumi wa ZNZ kama hali ya siasa ikiruhusu.
Project ya kwanza ni kuiunganisha ZNZ na Bara kwa bridge ambayo itakuwa inaurefu wa kama 30 km. Project inategemewa ku-cost kama USD 7.5 billion. Wasioijua historia ya ZNZ watasema kuwa hilo halitotokea na labda ZNZ iunganishwe na Oman na sio Bara. Hawa wamesahau kuwa kama sio Maalim Seif leo Muungano ungelikuwa haupo, kwani Aboud Jumbe alikuwa keshafika mbali na mipango yake ya kuuvunja Muungano baada ya kuona kuwa alipigwa ngwara na Nyerere pale alipokubali kuunganisha vyama. Seif ndie aliyetoa ripoti ya usaliti wa Jumbe kwa Nyerere na leo ni lazima tumshukuru Maalim wetu kwa kuwa bado Muungano upo. Kama sio Seif Sharrif basi leo Tanzania ingelikuwa ni nchi mbili kama zilivyokuwa kabla ya 1964. Kwahivyo, CUF inaposema kama inataka Muungano uendelee, basi hio sio kwasababu Bara tayari ishatekwa kiuchumi na wale wafanya biashara machachari wa kipemba waliozagaa kuanzia Ilala mpaka Kariakoo, bali ni kwasababu CUF ni Muungano na Muungano ni CUF.
Hii project ni feasible kabisa na wenye hela wanaishughulikia kisirisiri kwa manufaa ya Tanzania, na sote inabidi to keep our fingers crossed, because it will open up ZNZ to the 40 million brothers and sisters on the Mainland. Imagine 800,000 people to have an easy access to a market of 40 million people!!! Zanzibar will definitely benefit. Kama kweli hio consortium itazipata hizo hela za project au Waznz wa hapa Ghuba wameshiba kahawa na tende, au ndio wanangojea hayo mafuta – that remains to be seen, lakini kusikia idea kama hii ikizungumzwa peke yake inatia moyo sana. Kwa upande mwengine, habari ninazozipata hapa Muscat zinaelezea kuwa hii project itaendelea kubakia kwenye drawing boards kama ZNZ haitokuwa na serikali imara na ya mseto na kama Bara haitokuwa na Rais anaekubalika na wananchi wote. Kama JK ataendelea na ZNZ itaendelea kuwa chini ya CCM peke yake basi hii project itakuwa ni ndoto tu, kwani hakuna mwekezaji atakaekubali kutoa hata senti moja yake ikiwa hajui muelekeo wa nchi wa baadae utakuwaje.