Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
tatizo hamtembelei mitandao mingine, nyie mnavimba macho jamii forum pekee, angalieni msiwe vipofu
mitandao mingine ipi, tuwekee link tufuatilie basi, eti tunavimba macho... we unafanya nini hapa, kwenu hakuna wakubwa nini!