idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
labda kwa sababu CUF wapo jirani sana na viongozi wanaohamasisha kugomea sensa.!Bado hujajibu swali langu, kwa nini uiombe CUF tu au ndio chama pekee cha upinzani bungeni? Na kwa nini usiviombe na vyama visivyo na serikali pia?