Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
Natoa wito kwa chama cha wananchi, CUF kuhamasisha watu wote washiriki sensa ya watu na makazi. Ninakishangaa chama hiki kuibuka na kujibu hoja za Nape kwa Chadema bila hata kugusia zoezi ambalo baadhi ya viongozi wa jumuiya za kidini wanahamasisha waumini wao kutoshiriki. Kwa kuwa serikali imeshindwa kuhusisha mgomo huu na chadema, ni vyema CUF ikajitokeza hadharani kulaani viongozi wanaohamasisha mgomo wa sensa.
SENSA YA WATU KWA MAENDELEO YA TAIFA
SENSA YA WATU KWA MAENDELEO YA TAIFA