V4C = Vibaraka 4 Change? Ha ha ha ha! Ngoma inogile.
Hivi kwenye ndoa ni lazima azaliwe mtoto? Kama ndo hivo mtoto wa KUF na MAGAMBA keshazaliwa au bado?
V4C = Vibaraka 4 Change? Ha ha ha ha! Ngoma inogile.
Mkuu majebere si mmeamua kuwatumia CUF kama tambara la deki, kwani wewe unahesabu CUF ni chama cha upinzani???? Pole mkuu kwa wasioelewa lakini Arusha hata mama yeyo amefunguka siku hizi M4C Arusha hoyeeeeee!!!!Vyama vyenu bado vichanga lakini mnapigana vikumbo, hii ndio ile ya masikini anamroga maskini mwenzake.
Nipo viwanja vya Sombetini hapa Arusha mkutano umedoda hakuna watu wameamua kuahirisha mkutano.
Kwa watu kumi na moja...hahaha poleni sanahahahahaha hamtoamini tutakavoibomo CDM, hapa kazi tu kama mlizoez fujo subiri tuwaoneshe ustaarabu.
Tatizo lao wanataka kumfurahisha mme wao....matokeo yake waka ambulia kumi na moja na kuukimbia uwanja...gari bovu siku zote linapakiwa kwenye mteremko ili ukishtua tu liwake sasa cuf wanawashia kwenye kigongo kama vogue.
walitakiwa waanzie v4c pemba.
Mkuu majebere si mmeamua kuwatumia CUF kama tambara la deki, kwani wewe unahesabu CUF ni chama cha upinzani???? Pole mkuu kwa wasioelewa lakini Arusha hata mama yeyo amefunguka siku hizi M4C Arusha hoyeeeeee!!!!
Nipo viwanja vya Sombetini hapa Arusha mkutano umedoda hakuna watu wameamua kuahirisha mkutano.
Hivi kwenye ndoa ni lazima azaliwe mtoto? Kama ndo hivo mtoto wa KUF na MAGAMBA keshazaliwa au bado?
Kesho M4C ya ukweli itakuwa uwanja wa ngarenaro....naamini utakuwepo kamanda....ni kuanzia saa nane.Na bado......watajuta kuiga tembo ! CCM B bana!
Sombetini tu wanadoda???? Wangepewa soweto au NMC je?
Hivi baba na mama kama wote ni matahira mtoto anae zaliwa huwa na akili timamu....Kazaliwa tiyari! Analelewa na Hamadi Rashid Mohamed
Nilisema na nitasema. Mpango wa cuf bara ni nikuzigawa kura za chadema (advantage kwa ccm). kiukweli sikupenda approach yao kwa chadema walipokuwa jangwani.
Hivi baba na mama kama wote ni matahira mtoto anae zaliwa huwa na akili timamu....
mwigo, je, mkishaibomoa Chadema ndio mnakamata dola? Mbona wenye dola kwa sasa ni CCM? Kweli hii si sawasawa na kusema mmekubaliana na wenye dola kwamba mkiweza tu kuibomoa Chadema watawapeni dola! Haya, wengine tunawatakia heri katika safari yenu hiyo ila chukueni tahadhari...mlafi hashibi. Muulizeni Maalim Sharrif Hamad...nasikia ameanza kulialia baada ya ndoa ya mkeka, mume mlafi habanduki jikoni na mke akileta cha kuleta, makofi nje nje kama ilivyotokea Bububu Znz!hahahahaha hamtoamini tutakavoibomo CDM, hapa kazi tu kama mlizoez fujo subiri tuwaoneshe ustaarabu.