Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Nipo viwanja vya Sombetini hapa Arusha mkutano umedoda hakuna watu wameamua kuahirisha mkutano.
Tuwekee walau picha.Nipo viwanja vya sombetini hapa arusha.mkutano umedoda hakuna watu,wameamua kuahirisha mkutano.
Kiongozi alipanda jukwaa anadai wao ndio wameanzisha M4C mwaka 2009 ila cdm wakaiga,anadai watu wa arusha wamewaambia wamechoshwa na fujo, inshort jamaa anaishambulia cdm eti hawana hoja nyingne zaidi ya ufisadi.
Sasa mkuu hueleweki mwanzo ulisema wameahirisha sasa unasema wanahutubia.Tushike kipi?
Nipo viwanja vya sombetini hapa arusha.mkutano umedoda hakuna watu,wameamua kuahirisha mkutano.
Mkuu "Fmpiganaji" huyu kiongoz kabla ya kuahirisha mkutano alisema siwezi kuondoka hivi hivi itabidi niseme maneno kdogo.
So alikua anatoa kama hints kwamba wanakwenda kujipanga wakirudi wataeleza kinagaubaga,anadai viongoz wa mkoa walishndwa kutoa taarifa iliyonyooka kwa polisi na matokeo yake wakaambiwa wa pospond sababu polisi wana majukumu mengine mengi.
Hata hvyo huyu kiongozi wakati anafunga mkutano alisema arusha mnapenda kuskia people's power ila prof na maalimu seif atakapokuja jumapili ijayo mtawaelewa vizuri.
Ukiwa mbele ya JK lazima utaadvertise meno,nakumbuka Slaa alivyo kuwa anachekelea pale ikulu.sijui ni juisi au kujipendekeza.mkuu ni kweli kabisa ,cuf haijawahi kuwa serious na mbaya zaidi inatumika kuzorotesha maendeleo.
View attachment 65861