Cue card from Hugo

Dada Asha

1. Kuna agenda na slogans.CHADEMA wana detailed plans au slogans na propaganda like literature?

2.Hata kama wanazo, kama watu hawazijui it is as good as hawana.Hapo ndipo point yangu ya publicity inapokuja. CHADEMA wana gazeti au redio? Wana programu gani kuwaelimisha wananchi nchi nzima kuhusu agenda zao? Sijasikia sana na ndiyo maana hata kama agenda zipo mtu kama Game theory anaweza kuwa justified ku doubt na kufikiri ni chama cha personalities, jingoism na Mremaism.
 
GT,

Well articulated, however you still miss the core points or objectives of my opinions. Is opposition weak? Yes extremely! Is CCM bad? Yes severely! Will there be a suprise like Venezuela regardless of mkono wa mtu as Mayu Kitila stated? Definately!

So your argumentative discection of my opinion, while credible, but you still miss my point. We can learn a thing or two from Venezuela and move forward with Gurudumu!
 
Dada Asha

1. Kuna agenda na slogans.CHADEMA wana detailed plans au slogans na propaganda like literature?

2.Hata kama wanazo, kama watu hawazijui it is as good as hawana.Hapo ndipo point yangu ya publicity inapokuja. CHADEMA wana gazeti au redio? Wana programu gani kuwaelimisha wananchi nchi nzima kuhusu agenda zao? Sijasikia sana na ndiyo maana hata kama agenda zipo mtu kama Game theory anaweza kuwa justified ku doubt na kufikiri ni chama cha personalities, jingoism na Mremaism.

1. Tembelea www.chadema.net utajua kama wana details plan au hawana. Binafsi nilisema siku nyingi kuwa kwetu Jang'ombe nilipata nakala ya ilani ya CHADEMA. Kajitabu kadogo ka rangi ya bluu. Niliisoma pia ilani yao katika Rai.

2. Redio na Gazeti, kuna nchi nyingi upinzani umeshinda bila kuwa na redio wala gazeti tena kwa nchi nyingine upinzani ulipigwa hata marufuku kuanzisha vyombo vyao vya habari. Hata TANU wakati wa harakati za awali za kumtoa mkoloni ilianza kwa kutumia magazeti ya watu na taasisi binafsi. Tatizo la nchi yetu ni kuwa ukiondoa Tanzania Daima na Mwanahalisi, vyombo vingine vyote vinafyata mkia mbele ya watawala. Hata Tanzania Daima nao ni waoga waoga.

Si unakumbuka Bibi Titi na wanawake wengine walivyomshughulikia mkoloni kwa kutumia taarab na ngoma ya lele mama? Sasa kwa nini wakoloni wa CCM wasiondolewe kwa njia hizo? Kwani upinzani ni nani haswa?

Asha

Asha
 
GT,

Well articulated, however you still miss the core points or objectives of my opinions. Is opposition weak? Yes extremely! Is CCM bad? Yes severely! Will there be a suprise like Venezuela regardless of mkono wa mtu as Mayu Kitila stated? Definately!

So your argumentative discection of my opinion, while credible, but you still miss my point. We can learn a thing or two from Venezuela and move forward with Gurudumu!

Bora upinzani dhaifu kuliko CCM iliyooza! Tunasubiri nini kuwatoa? Udhaifu wa upinzani ni matokeo ya wananchi kukaa pembeni na kutazama tu. Akheri mke mpya toka shamba kuliko mke kiruka njia wa mjini!

Asha
 
Aeeehe Jamani..binadamu hatosheki....hata ukimpa nini... milele hatadhirika aeeehhh. CHADEMA walikuja na sera ya majimbo, CHADEMA wakaja na kupambana na ufisadi, CHADEMA wakaja na kutaka rasilimali ziwanufaishe watanzania waliowengi. Sijui zote hizo sio ajenda?

Au ndio Game Theory zenyewe hizo?................Are playing mind GAME or just THEORY? Mara oooohh wapinzani hovyo mara eeeh CHADEMA is doing well for the moment? Nakubaliana nawe kuwa CHADEMA inatia matumaini.

Asha

Asha,
CHADEMA just like CUF reacts after the event with vague policy promises, and one would have thought MAALIM SEFU or FREEMAN would have been more credible but they are not!all the public can see is just rhetoric and the fact that promouncement after promouncement has led to still being behind CCM suggets they are going nowhere.

That said i also had to acknowledge CHADEMA as an opposition party but that does not mean they are CREDIBLE opposition.
 
Every party started from a weak point. Even TANU, KANU, ANC, ZANU-PF, ZAPU-PF and any other political party started from a weak point. Mandela was in jail for almost 40 years etc. You should start from somewhere to oppose or support what you believe. Yes CCM is in control now, but sooner rather than later they will not know what hit them. TIME WILL TELL, LETS WAIT AND SEE BUT FOR THOSE WHO THINK THE KITCHEN IS TOO HOT THEY SHOULD GET OUT NOW.

'HAKUNA MTOTO ANAYEZALIWA NA KUANZA KUKIMBIA.'
 
Mkuu Dua,
Pamoja na kuwa mtoto hazaliwi na kuanza kukimbia kumbuka kuwa anazaliwa mwili mzima(whole) sio mguu leo, mkono unatoka kesho, kichwa mtondogoo... halafu anakua au unasemaje?
 
Mkuu Dua,
Pamoja na kuwa mtoto hazaliwi na kuanza kukimbia kumbuka kuwa anazaliwa mwili mzima(whole) sio mguu leo, mkono unatoka kesho, kichwa mtondogoo... halafu anakua au unasemaje?

Ndio sababu anapelekwa shule na kulelewa katika mazingara na tamaduni fulani. Ungemchukua huyo mtoto na kumuweka katika kisiwa bila kufundwa sidhani kama angefika huko unakotarajia.
 
Mkuu Dua naona tunapishana lugha hapa. Ninakubaliana na hoja kuwa mtoto hazaliwi na kuanza kukimbia tu, halafu nimekuongezea lingine kuwa mtoto anapozaliwa, anazaliwa mtu kamili, viungo vyote vipo, lakini ndio anahitaji matunzo na makuzi ambavyo vyote vinachukua muda, miaka tena!

Hivyo basi mfano wako wa kulinganisha mtoto na chama cha siasa utakuwa unapwaya...chama kinapoanza kinakuwa na malengo yake, sasa nguvu au udhaifu wa chama utategemea mambo mengi ikiwa ni pamoja na madhumuni ya chama na jinsi ambavyo hicho chama kitakavyofanikiwa kujinadi kisera na kukubalika kwa wananchi hadi kupewa dhamana ya kuongoza nchi.

Kwa mantiki hiyo basi kama chama hakina sera na mikakati madhubuti ya kuwafikia wananchi, hicho chama kitabakia kuwa dhaifu tu!

Kama chama cha upinzani kinaunda sera zake(or is it kufyatua sera zake?) kutokana na mapungufu ya chama tawala basi hicho chama bado cha mtoto... Je, tupo pamoja mpaka hapo mkuu!
 
Sasa katika mfano wangu kuhusu mtoto na chama, ni kweli chama hakifyatuliwi kama mtoto. Mtoto unapompa nyenzo za kusoma kumfundisha lugha n.k. ni sawa na unapoweka sera katika vyama. Kwani chama bila sera makini hakiwezi kuwa na support yoyote na mtoto ukimweka kisiwani bila kumfunza lugha ya mawasiliano vile vile anakuwa useless kwa society.

Ndio sababu kile jumuiya inawapatia watoto shule madhubuti ili wakabiliane na matatizo ya kilimwengu kwani wakiwa lelemama watabakia kuwa watumwa katika maisha yao yote.
 
. CHADEMA are doing well at the moment; but as long as they are the third party they can't get to be the governing party in one leap.CHADEMA strategy for some time has been to replace the CUF as the main opposition party and then get into power. This is probably the best option (though it might not work of course due to a large constituency of CUF) in Pemba


Game Theory

Nimependa maneno yako hapa.

Asha
 
Back
Top Bottom