Uliangalia station gani mwenzetu tunaambiwa utarushwa leo saa tatu mpaka saa tano wewe unasema muliangalia nadhani ungepunguza chumvi magazeti yaliyosema Mahona aling,ara yapo na yanajulikana yana mlengo gani na mengine yameandika tofauti kwa hiyo huwezi kugeneralise mpaka tuone utakaporushwa leo na kurudia siku ya JumamosiMijitu mingine inabishia hata the obvious. Kila mtu aliyeangalia mdahalo ule na hata kusoma magazeti ya leo anasema wazi kwamba mgombea wa CUF alifanya vizuri kuliko wote. Tatizo hapa ni kwamba walichotarajia magwanda hakikwenda vizuri na ndiyo maana stori hii imechukiza. Kwa ufupi bwana Kashindye anabebwa na nguvu ya chama chake na siyo uwezo wake. Na Mahona kama angekuwa na chama chenye ushawishi ndiye mgombea bora kuliko wote wanaoshiriki uchaguzi huu mdogo.
Kubali mzee kwamba kwa mdahalo wa jana Mahona aliwika.