mr altitude
Member
- Jul 23, 2016
- 96
- 59
shukran kwa eder na ramos kwa kumbebea tuzo
Acha unaaa,unafikiri kachukua kwa sababu ya fainali ya Euro tuuu? Wataalamu wamedhihirisha kuwa yeye ndiyo boraa periodshukran kwa eder na ramos kwa kumbebea tuzo
Kwa hii comment na hii baridi ya leo...nenda kapate supu nitalipia mkuu.Acha unaaa,unafikiri kachukua kwa sababu ya fainali ya Euro tuuu? Wataalamu wamedhihirisha kuwa yeye ndiyo boraa period
Mkuu naona kama umejisahau kidogo,ni Sporting Lisbon nafikiri na sio Porto.!
!
Cr7 anajua mno na ana consistence. Kadumu kwenye ubora kwa muda mrefu sana tangu Porto hadi leo, anastahili.
Mkuu naona kama umejisahau kidogo,ni Sporting Lisbon nafikiri na sio Porto.
Baada ya supu mimi nitalipia senator mbilimbili bariiiiidddd,kwa raha zetu toka kwa mnyamaaa,CR7.Kwa hii comment na hii baridi ya leo...nenda kapate supu nitalipia mkuu.
Au kama vipi tukapate zetu supu sie...
Sio kwa raha hizi kutoka kwa CR7
Jiandae kumpigia makofi CR7 Atapopewa baloon yake...hata mess atakuepo kumpa mkono wa pongezi!!Hapa umeniambia niache wivu wa kike
hapa napo umegeuka unacheka cheko la zaidi ya Isha Mashauzi huelewek na hyo ndio sababu unamsapot mmoroco
Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
Just like you, sucker!I'm sorry to say
.
.
.
.
.
.this thread sucks
mwenzako akili kumkichwa.anatumia skendo kwa manufaakatwaa au katwaliwa
Shukrani ziende kwa Edder na Ramos
Kabebwa na kashfa ya ummoroco
we tatizo lako mkuu umefikiria kwa ufupi.umeconclude katika mechi xa fainali.kwani ronaldo alicheza fainali pekee? vipi kuhusu magoli yake yaliyosaidia timu zikafika hiyo fainali uliyoiangalia wewe? angalia mchango na sio nani kafunga fainali mkuukatwaa au katwaliwa
Shukrani ziende kwa Edder na Ramos
Kabebwa na kashfa ya ummoroco
katwaa au katwaliwa
Shukrani ziende kwa Edder na Ramos
Kabebwa na kashfa ya ummoroco
Hapa umeniambia niache wivu wa kike
hapa napo umegeuka unacheka cheko la zaidi ya Isha Mashauzi huelewek na hyo ndio sababu unamsapot mmoroco
Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
kuna mijitu hapa imezaliwa na roho nyeusiiiii!!hata ufanyeje yani ndo wako hvyo!!they never changewe tatizo lako mkuu umefikiria kwa ufupi.umeconclude katika mechi xa fainali.kwani ronaldo alicheza fainali pekee? vipi kuhusu magoli yake yaliyosaidia timu zikafika hiyo fainali uliyoiangalia wewe? angalia mchango na sio nani kafunga fainali mkuu
Hahahaaaa haters utasikia Neymar......Yani nilijua tu nkiweka huu uzi hapa lazima ukatize...!
Hapo roho inakuuma kweli...
Bwahahahaaaaaaaa
Labda nkuulize swali;
Unafikiri ni nani ambaye angestahili hii tuzo kama siyo cr7?
Pole messi.....we endelea na insta .Messi on Instgram