Haaaa!katwaa au katwaliwa
Shukrani ziende kwa Edder na Ramos
Kabebwa na kashfa ya ummoroco
ptuuuu!ndo ashakosaa!!!ni kweli imenishangaza mkuu
View attachment 387646 HUYU ALISTAILI
Hapa umeniambia niache wivu wa kikeKwanza hana qualities za kuwa team leader!!! Ulimwona cr7 alichokua anafanya kule euro??? Captain gani team ikifungwa anastaafu what a shame!!!
Cr7 is the best...ngoja achukue baloon d'or ndipo utamkubali!!!
NB acha wivu wa kike...
hapa napo umegeuka unacheka cheko la zaidi ya Isha Mashauzi huelewek na hyo ndio sababu unamsapot mmorocoHehehehee
Hapa umeniambia niache wivu wa kike
hapa napo umegeuka unacheka cheko la zaidi ya Isha Mashauzi huelewek na hyo ndio sababu unamsapot mmoroco
Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
juice ya tenda tena!mashabiki wa Messi wananishangazaga sana,yaani mtu alifeli kila sehemu ndo mnataka apewe tuzoo? sijawahi kuona,kama mnampenda nendeni Camp nou mkanywe naye juisi ila tuzo hakustahili.
Hapa umeniambia niache wivu wa kike
hapa napo umegeuka unacheka cheko la zaidi ya Isha Mashauzi huelewek na hyo ndio sababu unamsapot mmoroco
Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
hahahaaaaaa!!!
Mimi shida yangu nataka kujua tuzo ya mbea bora JF mwaka huu itachukuliwa na nani!Oyooooooo CR7 baby...
Na bado.
Nafurahi huyu jamaa anavyozidi kudhihirisha kuwa yeye ni bora zaidi ya yule aliyekuwa akipambwa kwa maneno.
Go CR7
Mimi shida yangu nataka kujua tuzo ya mbea bora JF mwaka huu itachukuliwa na nani!