Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wana jf, wananhci wote mawaziri wote, wabunge Raisk JK wananchi wote samahni sijafuate protocol. Leo najiskia kuandika gazeti
Sakata la mtatizo ya Nishati tanzania linaibua mswali mengi kila kukicha.
Iweje mgao wa umeme isemwe ni changamoto na sio failure. Mgao wa umeme sio changamoto kama tetemeko la ardhi au mafuriko au ajali. Ni aibu kwa kuongozi kusema mgao ni changamoto kwa tatizo limekuwepo kwa zaidi ya miaka 5 mfululizo
Imefika wakati naona hata mazuri machache aliyofanya Mkapa kama ilikuwa ni upuuzi. Najiuliza kulikwa na priority gani ya mradi wa uwanja wa taifa badala ya mradi wa Nishati. Je mradi wa daraja la ulikuwa ni muhimumu kuliko Nishati?
Hizi hizi prority za kwenye makaratsi ndio zinafanya tuimbe mambo ya kilimo kwanza . Lakini magari mengi ya miradi ya kilimo kwanza yako mjini na sio rukwa wala ruvuma, iringa au chunya. Je dar , mwanza na arusha kuna mashamba ya kuondoa njaa? Policticaly kilimo kwanza ni sucessfull project but realistaically.......
Nahitimisha kwa observation yangu kuwa Viongozi wetu na wahsuri wake na wansiasa hawajui ni kipi kipewe priority.
katika hali tuliyonayo ya uhaba wa pesa tunahitaji viongozi wenye maono ya kutoa prority sahihi. Sijui mafisa hawa wa sera na mipango wanaojariwa job specifation zao zinakuwaje.
Zaidi ya failure ya JK na Tanesco ni total faliure kwa wataalamu wa mipango na sera wa taifa na wale wa waizra ya nishati na madini. Sijui mshsuri ma masula ya Nishati wa JK ni nani naye tumjue.
Narudia tena
Power rationing is not a challenge its a Failure. At least ingekuwa miaka miwili au mitatu basi tungesema ni challenge.
Tungetegemea kuona baadhi ya viongozi wanawajibika kama si kuwajibishwa.
Nawasilisha gazeti. hasira zimepungua kidogo
Sakata la mtatizo ya Nishati tanzania linaibua mswali mengi kila kukicha.
- Wizara ya Nishati imekuwepo toka uhuru ina wataalamu na mangeneer wazuri
- Kuna wizara na idara ya sera na mipango ipo miaka mingi na ni jukumu lake ku forecst na kuishauri serkali mambo ya kufanya nch yetu istawi. Naamini kila wizara na idara ina kitengo cha Mipango amabcho kina wataalama wanalipwa na kufanya kazi zao vizuri.
- Katika makaratasi Tanznaia ina sera nzuri za nishati ya umeme kuliko hata kenya na uganda . kuna sera hata ya kupeleka umeme vijijini.lakini ukweli hata mijini uememe si tu wa mafungu bali hata gharama zake sio za mtanzania wa kawaida.
- Tunalo bunge tunalooita la kidemokrasia linalopitisha na kuchambua bajeti kwa maslahi ya watanzania. Bunge hili linatakiwa kumulika na kuisuhtua serikali pale inapoonekana inakwenda kinyume na matarajio ya wanachi.
Iweje mgao wa umeme isemwe ni changamoto na sio failure. Mgao wa umeme sio changamoto kama tetemeko la ardhi au mafuriko au ajali. Ni aibu kwa kuongozi kusema mgao ni changamoto kwa tatizo limekuwepo kwa zaidi ya miaka 5 mfululizo
- Kazi vitengo vya mipango na sera na nini. Hivi hakuna watalaamu wa kuforsee mambo hayanakushari njia na suluisho sahihi.
- Kazi ya bajeti ni ni nini ? Je toka mwaka 2000 nini kimefanyika?
Imefika wakati naona hata mazuri machache aliyofanya Mkapa kama ilikuwa ni upuuzi. Najiuliza kulikwa na priority gani ya mradi wa uwanja wa taifa badala ya mradi wa Nishati. Je mradi wa daraja la ulikuwa ni muhimumu kuliko Nishati?
Hizi hizi prority za kwenye makaratsi ndio zinafanya tuimbe mambo ya kilimo kwanza . Lakini magari mengi ya miradi ya kilimo kwanza yako mjini na sio rukwa wala ruvuma, iringa au chunya. Je dar , mwanza na arusha kuna mashamba ya kuondoa njaa? Policticaly kilimo kwanza ni sucessfull project but realistaically.......
Nahitimisha kwa observation yangu kuwa Viongozi wetu na wahsuri wake na wansiasa hawajui ni kipi kipewe priority.
katika hali tuliyonayo ya uhaba wa pesa tunahitaji viongozi wenye maono ya kutoa prority sahihi. Sijui mafisa hawa wa sera na mipango wanaojariwa job specifation zao zinakuwaje.
Zaidi ya failure ya JK na Tanesco ni total faliure kwa wataalamu wa mipango na sera wa taifa na wale wa waizra ya nishati na madini. Sijui mshsuri ma masula ya Nishati wa JK ni nani naye tumjue.
Narudia tena
Power rationing is not a challenge its a Failure. At least ingekuwa miaka miwili au mitatu basi tungesema ni challenge.
Tungetegemea kuona baadhi ya viongozi wanawajibika kama si kuwajibishwa.
Nawasilisha gazeti. hasira zimepungua kidogo