Ronn M
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 1,279
- 683
Hope your weekend is great!
Moja ya mambo ambayo nimegundua yana mvuto wa kipekee katika mahusiano ni mwonekano wa kipekee
(Distinctiveness). Kipindi flani nikiwa primary sikuwa naishi na mama yangu. Alikuwa na harufu yake ya kipekee kiasi
kwambi kila nikitoka shule kama amekuja (kisha akawa ametoka out) nafahamu mama amekuja.
Kadhalika kwenye mahusiano. Kwa pamoja shirikianeni kuchangua sabuni, body spray, perfume na vikorombwezo
vingine ambavyo vitawapa smeli yenu ya kipekee (mwanaume na mwanamke separately) Huwa inaweka ladha fulani
kiasi kwamba anapokusogelea, u know here is where I belong! Nashauri mnaweza kubailisha after a period of time, lets
say 6months or a year!
About a new look, hebu jadilianeni kwamba wewe unapenda atokaje? Mfano kama hupendi mumeo awe na nywele basi
mshauri na mkubaliane kuwa atakuwa anaondoa nywele zote! Sasa ukute anavaa kamiwani halafu ana kakifua kidogo!
You get a perfect look of your own!
Mfano wangu sipendi avae sketi ndefu, na amejaaliwa kwa umbo kwa kweli! Nywele zake ni natural, tumekubaliana
kuhusu, lotion, perfume, deodorant, lip balm, nk nk, sasa when she appears lol! Yaani namtamani on the spot!
Nadhani inalipa, we unaonaje, haipendezi kuogea jamaa, kujipulizia SIMLA/COBRA, lip balm ya chungwa, uso
carolaiti,loh! Usiombe utupie kitu cha mafuta ya nazi
Moja ya mambo ambayo nimegundua yana mvuto wa kipekee katika mahusiano ni mwonekano wa kipekee
(Distinctiveness). Kipindi flani nikiwa primary sikuwa naishi na mama yangu. Alikuwa na harufu yake ya kipekee kiasi
kwambi kila nikitoka shule kama amekuja (kisha akawa ametoka out) nafahamu mama amekuja.
Kadhalika kwenye mahusiano. Kwa pamoja shirikianeni kuchangua sabuni, body spray, perfume na vikorombwezo
vingine ambavyo vitawapa smeli yenu ya kipekee (mwanaume na mwanamke separately) Huwa inaweka ladha fulani
kiasi kwamba anapokusogelea, u know here is where I belong! Nashauri mnaweza kubailisha after a period of time, lets
say 6months or a year!
About a new look, hebu jadilianeni kwamba wewe unapenda atokaje? Mfano kama hupendi mumeo awe na nywele basi
mshauri na mkubaliane kuwa atakuwa anaondoa nywele zote! Sasa ukute anavaa kamiwani halafu ana kakifua kidogo!
You get a perfect look of your own!
Mfano wangu sipendi avae sketi ndefu, na amejaaliwa kwa umbo kwa kweli! Nywele zake ni natural, tumekubaliana
kuhusu, lotion, perfume, deodorant, lip balm, nk nk, sasa when she appears lol! Yaani namtamani on the spot!
Nadhani inalipa, we unaonaje, haipendezi kuogea jamaa, kujipulizia SIMLA/COBRA, lip balm ya chungwa, uso
carolaiti,loh! Usiombe utupie kitu cha mafuta ya nazi