Kwa wale wanaotumia CRDB card online, either kama ilivyo au kwa kutumia paypal. Ukipata refund fuatilia, la sivyo CRDB wana-consider kama vile ni hela yao.
Nilifanya transaction mwezi Julai katikati, kwa sababu fulani fulani, paypal wakanii-refund Agusti katikati.
Baada ya wiki kadhaa za kusubiria hela itokee kwenye akaunti bila mafanikio, nikaenda CRDB tawi la Mbezi kuulizia, nikaambiwa kwamba inachukua siku 30 mpaka 40 kwa hiyo hela iliyokuwa refunded kutokea kwenye account yako.
Nikasubiri mpaka zikafika siku 50, na pesa haijaonekana. Nikawapigia CRDB Card Center, wao wakaniambia kitu tofauti. Kwamba ili refund ije kwenye account yako, inabidi uandike barua na uambatanishe na print out ya hicho kielelezo cha hiyo refund. Kwa hiyo kama ni paypal, inabidi u-print details za hiyo transaction uwapelekee na hiyo barua.
Sababu aliyonipa ni kwamba, kama hiyo refund imefanyika kweli, basi ipo kwenye account flani ya CRDB. Kwa hiyo ukipeleka hiyo barua ndiyo wataitafuta na wakiipata ndio watairudisha kwenye account yako.
Nikauliza kama naweza kuwatumia e-mail. Akasema hapana. Inabidi kwenda physically na hiyo barua na hicho kielelezo. Nilijaribu sana kumuuliza kuna tofauti gani ya mimi kupeleka hiyo barua physically na kuwatumia email yenye vielelezo vyote hivyo. Lakini sikupewa jibu, isipokuwa kuambiwa kwamba ndio utaratibu. Naona inabidi nianze kupiga kwata lingine tena CRDB.
Once again, sio kwamba nawalaumu CRDB; ni kampuni yao, na wanafanya wanavyoona inawafaa wao. Kungekuwa kuna alternative ningeitumia. Ila lengo hapa ni kuwatahadharisha tu watumiaji wenzangu.
Kwa hiyo kama unatumia kadi ya CRDB online na ukapewa refund, fuatilia kwa kuandika barua na vielelezo CRDB. Usitume email.
Jitayarishe pia kuandika barua ya kufuatilia barua uliyoandika kabla maana experience yangu ya swala kama hili huko nyuma inaonyesha hawa jamaa ni wasahaulifu mno.
PS: Kwa watakaoanza kusema huko kwao majuu vitu vinafanyika hivihivi, basi pengine kuna exceptions:
http://answers.yahoo.com/question/index?qid=20080720125825AANOahp
[ame]http://www.thestudentroom.co.uk/showthread.php?t=419648[/ame]
http://forum.purseblog.com/money-talks/how-long-does-take-get-refund-back-debit-56508.html
http://www.consumeractiongroup.co.u...e-industry/158699-bbc-article-debit-card.html
http://www.consumeractiongroup.co.uk/forum/general-knowledge/219520-refunds-cards.html
Nilifanya transaction mwezi Julai katikati, kwa sababu fulani fulani, paypal wakanii-refund Agusti katikati.
Baada ya wiki kadhaa za kusubiria hela itokee kwenye akaunti bila mafanikio, nikaenda CRDB tawi la Mbezi kuulizia, nikaambiwa kwamba inachukua siku 30 mpaka 40 kwa hiyo hela iliyokuwa refunded kutokea kwenye account yako.
Nikasubiri mpaka zikafika siku 50, na pesa haijaonekana. Nikawapigia CRDB Card Center, wao wakaniambia kitu tofauti. Kwamba ili refund ije kwenye account yako, inabidi uandike barua na uambatanishe na print out ya hicho kielelezo cha hiyo refund. Kwa hiyo kama ni paypal, inabidi u-print details za hiyo transaction uwapelekee na hiyo barua.
Sababu aliyonipa ni kwamba, kama hiyo refund imefanyika kweli, basi ipo kwenye account flani ya CRDB. Kwa hiyo ukipeleka hiyo barua ndiyo wataitafuta na wakiipata ndio watairudisha kwenye account yako.
Nikauliza kama naweza kuwatumia e-mail. Akasema hapana. Inabidi kwenda physically na hiyo barua na hicho kielelezo. Nilijaribu sana kumuuliza kuna tofauti gani ya mimi kupeleka hiyo barua physically na kuwatumia email yenye vielelezo vyote hivyo. Lakini sikupewa jibu, isipokuwa kuambiwa kwamba ndio utaratibu. Naona inabidi nianze kupiga kwata lingine tena CRDB.
Once again, sio kwamba nawalaumu CRDB; ni kampuni yao, na wanafanya wanavyoona inawafaa wao. Kungekuwa kuna alternative ningeitumia. Ila lengo hapa ni kuwatahadharisha tu watumiaji wenzangu.
Kwa hiyo kama unatumia kadi ya CRDB online na ukapewa refund, fuatilia kwa kuandika barua na vielelezo CRDB. Usitume email.
Jitayarishe pia kuandika barua ya kufuatilia barua uliyoandika kabla maana experience yangu ya swala kama hili huko nyuma inaonyesha hawa jamaa ni wasahaulifu mno.
PS: Kwa watakaoanza kusema huko kwao majuu vitu vinafanyika hivihivi, basi pengine kuna exceptions:
http://answers.yahoo.com/question/index?qid=20080720125825AANOahp
[ame]http://www.thestudentroom.co.uk/showthread.php?t=419648[/ame]
http://forum.purseblog.com/money-talks/how-long-does-take-get-refund-back-debit-56508.html
http://www.consumeractiongroup.co.u...e-industry/158699-bbc-article-debit-card.html
http://www.consumeractiongroup.co.uk/forum/general-knowledge/219520-refunds-cards.html