CRDB na undugu kwenye Ajira

Crdb ina board of directors na board ya benk aiendeshi kama banda la mama ntilie kamanda mponjori kimei ana mtoto crdb wakiume ni banker lakini yupo nbc.jf tusiwe wazushi let us be great thinker always
maoni yangu.


Ukiona unashindwa kuanzisha baishara na kisingizio kinakuwa mtaji, ujue wewe siyo business material unless ubadilike. Usipobadilisha huo mtazamo endelea kutafuta ajira kwa nguvu zako zote, wewe ni employee material.

Ni maoni yangu, yanaweza yasiwe sawa.

Pili crdb ni kweli wana nepotism sana. Karibu kila mtu crdb either ana ndugu yake wa damu pale au mtu wa karibu. Hii inaanzia kwa charles kimei mwenyewe, mwanae wa kike yuko udsm pale na wa kiume alikuwa azikiwe.

Ndiyo maana kazi zao nyingi sana huwa hawatangazi kwenye magazeti. Crdb kazi ni kuitana tu, kazi zinatangazwa ndani kwa ndani watu wanaita ndugu zao. Hii ni hatari sana ukichukulia ile benki serikali ina hisa zake pale. Pia ile imekuwa public company baada ya hisa kuanza kuuzwa dse inatakiwa iache kuajiri kisanii sanii.
 
Vijana wengi wanaosoma colleges siku hizi wanajali starehe na show off,awasomi,matokeo yake awawezi ata kuandika barua au Cv ya kuombea kazi.akuna mwajiri anaetaka vyeti bila umakini kazini.kutokana na ushindani kwa sasa akuna benki inayoajiri kimeo eti ni mtoto wa bosi au anamjua mtu (uliza yaliomkuta viki kamata Benki kuu!) mtu umepata div 2 au 1 kwa pepa feki olevel na alevel,chuo unaishi kwa kucheat,unapata degree kiusanii,alafu unategemea kupata kazi nzuri. Haya ni maajabu yaliopo tu hapa tanzania na sio pengine katika dunia hii.
 
Huhitaji mtaji kuanzisha biashara! Unatakiwa tu kuwa na "idea" halafu financing itafuata. Ukiwa na idea ambayo ni nzuri na itakayoleta faida, wapo watu wengi tu wenye pesa wanatunza benki huku wakitozwa gharama za kuzitunza huko watawekeza! The issue here is are you ready to start your own business?! Starting a new business is both exciting and rewarding, but it is also full of challenges. Na kutokuwa na mtaji is one of the changamoto.

Kjiajiri kwa kuanzisha biashara inahitaji kwanza uwe na positive attitude na ujuzi wa kuanzisha biashara. This means being honest about a range of issues - your knowledge, your financial status and the personal qualities that you can bring to your new business. Commitment, drive, perseverance and support from family and friends will go a long way towards transforming your business idea into reality and will be especially important during the early days.

Inshort, mtaji sio big deal when it comes to staring business! Waulize all sucessful people in business hata hapa tanzania hawakuanza na mtaji! So mtaji should not be an excuse. Tatizo letu kubwa ni uvivu na uoga wa ku take risk. In fact mtu unaweza kutumia pesa zako ulizodunduliza ukiwa chuo (tatizo tunapokua chuo hatuweki akiba yeyote kwa sababu tunakuwa na ndoto za kupatan kazi mara tunapo graduate, hatufanyi vibarua wakati wa likizo na wale tunaofanya pesa tuitumia kurudisha heshima baa), waweza kopa benki (kisingizio kitakua hatuna colletrals lakini kama unaaminika huwezi kosa wazamini like family members), kupata mikopo rahisi toka kwa ndugu jamaa na marafiki (tatizo hatuna tabia ya kudevelop networks na wengi wa marafiki zetu ni watu wa hovyo hovyo tu wasio na msaada. lakini kama tukiwa na newtwork for example with seniors tuliowakuta chuo, by the time tunaingia mtaani wao wanakua somewhere so ni rahisi tuwa pertners). Twaweza pia ku attract investors kama ndugu jamaa na marafiki wenye pesa lakini hawana good ideas, pia kuna grants na misaada ya serkali na mshirika. kwa mfano recently kumekua na programmes pare UDSM Business School na COSTECH ambapo wanawasaidia wajasiriamali kuendeleza biashara zao!

Tutadai hawa wote wana undugunaization lakini je tumechukua hatua yeyote kujaribu! make hata wakikufanyuia mizengwe, mimi naamini siku moja utafanikiwa tu! si wote muwaonao waliofanikiwa wana godfathers and godmothers. Cha msingi ni deternination na kuacha kulalamika na badala yake kujaribu.

Thank you very much member ! you are right,, but most of us they don't believe so, lakini tutapata wachache na walio wajasiriamali watakao fuata huu ushauri na watafanikiwa na kushukuru,, may be less than 5%, Only an entrepreneurs are able to see opportunity but others see a lot of obstacles.

Winners sees the grains;​
losers see the pains;​
Winners see possibilities;​
Losers see problems​
Winner sees an answer for every problem;​
Loser sees a problem for every answer;​
Winner says “It may be difficult but it is possible”;​
loser says” It may be possible but it is too difficult ”​
Winners sees the grains;
losers see the pains;
Winners sees the grains;
losers see the pains
 
Vijana wengi wanaosoma colleges siku hizi wanajali starehe na show off,awasomi,matokeo yake awawezi ata kuandika barua au Cv ya kuombea kazi.akuna mwajiri anaetaka vyeti bila umakini kazini.kutokana na ushindani kwa sasa akuna benki inayoajiri kimeo eti ni mtoto wa bosi au anamjua mtu (uliza yaliomkuta viki kamata Benki kuu!) mtu umepata div 2 au 1 kwa pepa feki olevel na alevel,chuo unaishi kwa kucheat,unapata degree kiusanii,alafu unategemea kupata kazi nzuri. Haya ni maajabu yaliopo tu hapa tanzania na sio pengine katika dunia hii.

hapo ndipo uwezo wako wa kufikiri ndipo ulipoishia? Hizo ajira ambazo watu wanakosa kwa kushindwa kuandika barua ziko wapi?
 
Vijana wengi wanaosoma colleges siku hizi wanajali starehe na show off,awasomi,matokeo yake awawezi ata kuandika barua au Cv ya kuombea kazi.akuna mwajiri anaetaka vyeti bila umakini kazini.kutokana na ushindani kwa sasa akuna benki inayoajiri kimeo eti ni mtoto wa bosi au anamjua mtu (uliza yaliomkuta viki kamata Benki kuu!) mtu umepata div 2 au 1 kwa pepa feki olevel na alevel,chuo unaishi kwa kucheat,unapata degree kiusanii,alafu unategemea kupata kazi nzuri. Haya ni maajabu yaliopo tu hapa tanzania na sio pengine katika dunia hii.

hapo kwenye pepa feki sidhan kama umefanya utafiti, hakuna kilaza anayeweza kupata division 1 kwa kuiba pepa, haipo hiyo.
 
you are joking wright? unasema kuna watu wanapesa na kama una idea wanakupiga jeki bila ya kuona ni namna gani utaendesha biashara hiyo, bila kuona kama kwa muda gani umeendesha biashara yako hiyo, bila kuona ni vipi utaweza kurejesha pesa zao, wanakupa tu pesa? unachotakiwa ni kuwa na idea tu basi? well kama ni kweli basi ni kweli tanzania ni tambarare.

ni zaidi ya tambarare mkuu.
 
kwa wadau ambao mna fuatilia haya mambo ya ajira hawa jamaa wameajiri watu mwezi huu, lakini wameacha malalamiko mengi.
wadau wanauliza kwani walitumia vigezo gani? maana kama sifa wapo wenye sifa mpaka za ziada lakini hata kuitwa hawakuitwa,
wengi kati ya wanaolalamika ni wale waliofanya field hapo hapo crdb, na wengine baada ya kumaliza chuo walienda kujitolea kwenye branch za bank hiyo lakini cha kushangaza pamoja na kutuma maombi wameshangaa kuona kimya huku wakishuhudia wenzao wameajiriwa, huku wenyewe bado wanasugua bench.

Ndugu some time haya mambo ajira ni bahati haijalishi aliefanya field kwenye ofisi husika ndie apate ajira pale km uliambiwa ndugu ulidanganywa kila nafasi ya ajira inayotangazwa hapa nchini wote tunakuwa na nafasi sawa ya kuajiriwa provided dat u have min qualification for dat post,alafu mi nategemea unaposikia mwenzio kapata ajira unapaswa kufurahi kwa sababu probability ya kupata ajira nyingine kwako inakuwa imeongezeka wote tukikaa mtaani nani ataajiriwa?
 
you are joking wright? unasema kuna watu wanapesa na kama una idea wanakupiga jeki bila ya kuona ni namna gani utaendesha biashara hiyo, bila kuona kama kwa muda gani umeendesha biashara yako hiyo, bila kuona ni vipi utaweza kurejesha pesa zao, wanakupa tu pesa? unachotakiwa ni kuwa na idea tu basi? well kama ni kweli basi ni kweli tanzania ni tambarare.
udsm pale full ukabila......mfano mzuri ni ucc kuanzia lectures,wafagiaji,technician,wahasibu wote ni wahaya....ukienda pale kuomba hata dili la kundisha short course wanaangalia unatokea kabila gani.......
 
kwa wadau ambao mna fuatilia haya mambo ya ajira hawa jamaa wameajiri watu mwezi huu, lakini wameacha malalamiko mengi.
wadau wanauliza kwani walitumia vigezo gani? maana kama sifa wapo wenye sifa mpaka za ziada lakini hata kuitwa hawakuitwa,
wengi kati ya wanaolalamika ni wale waliofanya field hapo hapo crdb, na wengine baada ya kumaliza chuo walienda kujitolea kwenye branch za bank hiyo lakini cha kushangaza pamoja na kutuma maombi wameshangaa kuona kimya huku wakishuhudia wenzao wameajiriwa, huku wenyewe bado wanasugua bench.
pole sana ndugu nimesoma post yako vizuli sana.....ila usikate tamaa siku omba sana siku chadema wachukue nchii mambo yote haya yatakwisha
 
Kuna wengi tu waliofanya field ambao wamepata kazi! sasa kama wewe hujapata huenda ni matatizo yako binafsi...au walivyokupima hawakuridhika na wewe!

Pole jaribu tema wakati mwingine
 
Tatizo la watanzania bwana hatutaki kuukubali ukweli, dunia nzima hakuna sehemu kuna fairness hata iweje,

Kuna scandal ilitokea hata marekani mtoto wa master p lil romeo alipewa basketball scholarship univ of south california kisa baba yake anaheshimika wakati hata kiwango cha kucheza div 3 league hana,

Hata auditing firms mnazoziamini zipo fair kuna watu kibao magumashi , as mtoto wa partner hawezi kuwa sawa na kayumba, so kuhusu kuiponda crdb tunakosea inabidi tuponde kila sehemu kuanzia kwenu unapoishi as kuku akichinjwa nyama utayopewa wewe mtoto haiwezi kuwa sawa na ya housegal
 
Hii benki ni ya kifisadi, ndio iliyohusika kwa wizi wote wa fedha za EPA watu walipitishia huko. Hata ajira zinakuwa ni za kihuni kulinda mtandao wao wa wizi, favorites ni kabila la Kimei...

Hii bank itabidi ifilisiwe siku nchi yetu itakapokombolewa toka kwenye mfumo fisadi. Ushahidi wote upo na wanufaika kama akina Rajab Maranda wameishahukumiwa. Tuikatae hii bank wabongo
Hata huduma zao ni ubabaishaji mtupu na sasa wameanza wizi wa kudokoa hela kwenye akaunti za wateja wao, wateja wa CRDB muwe macho na hela zenu mlizoweka kwenye akaunti zenu
 
Freedom and success in Tanzania is determined by personal efforts, achana na kungoja ajira za kihuni, you have been to school not only to be employed, you can start your business.
either u r so arrogant or ignorant. unafikiri kila mtz anayemaliza kusoma vyuoni ana mtaji?
 
jamani tukumbuke basi si tu nepotism lakini katika staffing kuna internal recruitment ambayo nako inabidi izingatiwe tusiwe watu wa kulalamika tu,
 
ww mwanaume mzima unakaa unaleta majungu na ubea hapa jf, mm ni 1 ya walioajiriwa mwezi huo uliopita na sina ndugu wala sikuwa namjua m2 kabla ila uwezo wangu wa kujieleza ndani ya intrvw na vyeti vyangu ndo vimeniingiza na mm sio kabila la kimei. siku hizi ni kampuni nyingi sana haswa mabank huwa hawatangazi kazi ila wanaita wale ambao walipeleka barua. ww unasubirie kazi eeee? km unataka kazi lazima uchakarike na sio ukae km mwanamke anaesubiria kuolewa

Ingawa umetumia maneno makali mno ambayo yanadhalilisha wasiohusika, ujumbe wako umeeleweka. Nadhani mtoa mada anatakiwa kujua ya kuwa zaidi ya 70% ya ajira huwa hazitangazwi kwa njia anazozijua yeye (mfano magazetini).
Pia kwa anayehitaji ajira asiendekeze lawama bali apeleke CVs na application letters kwa kamapuni nyingi kwa kadiri ya uwezo wake. Kama hujafikisha kampuni hamsini mpaka sasa, hauko serious.
Kuhusu CRDB, wapo ninaowajua ambao wameajiriwa bila undugu. Walipeleka CVs bila kuambiwa.
 
]ww mwanaume mzima unakaa unaleta majungu na ubea hapa jf,mm ni 1 ya walioajiriwa mwezi huo uliopita[/B] na sina ndugu wala sikuwa namjua m2 kabla ila uwezo wangu wa kujieleza ndani ya intrvw na vyeti vyangu ndo vimeniingiza na mm sio kabila la kimei. siku hizi ni kampuni nyingi sana haswa mabank huwa hawatangazi kazi ila wanaita wale ambao walipeleka barua. ww unasubirie kazi eeee? km unataka kazi lazima uchakarike na sio ukae km mwanamke anaesubiria kuolewa

hapo una mwezi mmoja tu kazini,ka-subsistence na salary la kwanza la mwezi ushaanza kuwa na lugha za kukera namna hii?!kwamba kama mwenzio hakupata kazi wewe ukapata basi yeye ni mpumbavu na hana akili kama unavyomuelezea!!?je ukianza kutuibia na kujikopesha tu-deposit twetu kama wanavyofanya waliokutangulia hapo kwenu,si utakuwa unapita barabarani unatukana wote wasio na kazi wewe!!?hebu grow up na jifunze ku-argue kama 'mtu'!!ndio kwanza umeanza wewe!!
 
Acheni kuadaa watu kwa nadhalia watu wengi wamebuni mawazo tena mazuri lakini wameshindwa kujiajiri. Nadhani watu mlitakiwa kuja na data kuhusu walioanza biashara bila mtaji sambamba na historia zao. Nimewahi kuhudhuria mjadala wa ujasiriamali pale Paradase Hotel nilishangaa jamaa mmoja anajitamba kwamba hakuwa na kitu akiwa fresh from school lakini katika maelezo ni kagundua kumbe familia yake ilimpa msaada.

Kwanza kuangalia shule aliyosoma Shaban Robert, akaenda kusoma stashahada ya juu Kenya kwa kutumia fedha ya wazazi. Alienda uingereza kufanya utafiti wa masoko na familia ili mpa mil. 50 kkama mtaji.

Alafu wakati huo akawa anadai anawatia moyo wasio na kitu kuwa inawezekana. Je, mtu kama huyu anafaa kuwa role model kwa mhitimu ambaye baada ya kumaliza anabeba majukumu ya kusomesha wadogo zake huku wazazi wakiwa wanahitaji kuhudumiwa na kijana huyohuyo asiye na kitu.
 
Freedom and success in Tanzania is determined by personal efforts, achana na kungoja ajira za kihuni, you have been to school not only to be employed, you can start your business.

Wewe uttoh uko kwenye business? Au kwa wengine ndio principle zinawekewa mkazo.wana siasa walaaniwe!!!!
 
Back
Top Bottom