Crdb hii ni kero................you need to change plz....!!!

hawa jamaa urafiki wao ni kuweka na kutoa lakini products zao nyingi ni mbovu .... na wanalenga makundi tu kama NGO'S na SACCOS
 
kimei kavunja mpaka ndoa ya tully sasa

Word!

Ufuska unapoingia kwenye kazi lazima yatokee mambo kama hayo - Ukiona mfanyakazi wa kike ana majivuno kazini, fahamu fika kuwa hiyo kazi ameipata baada ya kuvua kyupi .. As simple as that! CRDB is not a unique case - Nenda Vodacom Mlimani City, Nenda Tigo All Branches, Nenda NMB - It is all the same Sh**t!
 
Tukiwasema kama hivi watajirekebisha, hizi ndizo benki zetu za ndani hivyo tujione tunawajibu wa kuwakemea wanapofanya ndivyo sivyo, kukimbia (kubadili) benki sio suluhisho la kudumu nadhani ni matatizo madogo madogo pengine kama branch manager alionja miguu ya huyo mtoto, na kuwa mtoto hana maadili mema tangu huko kwao alikotoka linaweza kuwa tatizo la mtu binafsi zaidi kuliko tatizo la benki.

Wakati mwingine tukiona kero zinazidi unaonana na kiongozi wake na kutoa malalamiko yako kwamba hukutendewa unavyo paswa kama mteja, ndio maana watu hao (supervisors) wapo na wanalipwa kwa hilo.

Walishaniboa miaka 4 iliyopita nikavuta amana yangu nikahamia scb. hakunaga ubabaishaji huko. kila kitu kiko mwake.
 
Pale mlimani city Branch, kuna dada mmoja mrefu, mweusi na sura yake mbaya kama yangu, anadeal na business acounts. Kwa kweli Mungu anisamehe each time I go there huwa sitaki hata kumwona kwa jinsi anavyonyanyapaa wateja wenye majina madogo. This bank is stinking, tatizo kwa hapa TZ, karibu benki zote zina tatizo la aina moja, huduma na kujali wateja ni zero.

siwapigii debe. SCB wako juu kwa bank zetu za tz. nimewahi kubank na bank zote za tz na nikapiga chini zote nikabaki na barclayz na standard chartered na nataka tosa barclays japo nahudumiwa nikiwa nimeketi nibaki na scb yangu. ninao tangu 2003 sasa na hawajaniboa hata.
 
siwapigii debe. SCB wako juu kwa bank zetu za tz. nimewahi kubank na bank zote za tz na nikapiga chini zote nikabaki na barclayz na standard chartered na nataka tosa barclays japo nahudumiwa nikiwa nimeketi nibaki na scb yangu. ninao tangu 2003 sasa na hawajaniboa hata.

labda SCB ya leo, ya jana na ya juzi na nyuma ni shida tupu, wengi tulihamisha amana zetu huko. tatizo la nmabenki yetu ni customer service, utakuta benk ina watumishi 20 front desk lakini wanaweza kuhudumia wateja vizuri ni wawili tu. Sasa ikitokea una bahati ya kukutana na hao wawili kila unapokwenda ku-banki, utaisifia tu ilhali ukweli ni tofauti.
 
labda SCB ya leo, ya jana na ya juzi na nyuma ni shida tupu, wengi tulihamisha amana zetu huko. tatizo la nmabenki yetu ni customer service, utakuta benk ina watumishi 20 front desk lakini wanaweza kuhudumia wateja vizuri ni wawili tu. Sasa ikitokea una bahati ya kukutana na hao wawili kila unapokwenda ku-banki, utaisifia tu ilhali ukweli ni tofauti.

SCB ndo bank gani wajameni?tujuzane na mi nikafungue huko..
CRDB nimefunga account juzi tu kwa hasira ..poor customer service..afu huyu anakujibu hivi akija mwingine anajibu vile
afu bila haya wananambia hatuna jinsi ya kukusidia kama unataka kufunga funga..
nilishangaa sana..
 
SCB ndo bank gani wajameni?tujuzane na mi nikafungue huko..
CRDB nimefunga account juzi tu kwa hasira ..poor customer service..afu huyu anakujibu hivi akija mwingine anajibu vile
afu bila haya wananambia hatuna jinsi ya kukusidia kama unataka kufunga funga..
nilishangaa sana..

SCB=Standard Chartered Bank.

Hapa wadungu tukubali tu kuwa mabenki yetu ya TZ kwa ujumla customer care ni karibu na zero japo pia huwa inatofautina kutoka tawi moja kwenda lingine ndani ya benki hiyohiyo. Nina akaunti yangu CRDB kwa miaka kadhaa sasa na sijawahi kuwa disappointed kwa sana japo iko siku niliudhiwa na dada mmoja niliyekuwa namlalamikia kwanini nachajiwa kuingiza pesa kwenye akaunti ya mtu mwingine wa benki hiyohiyo naye akanijia juu. Nilitoka hapo nikaenda kuandika email kwa Kimei na Mkurugenzi mwingine mwenye jina la kizungu nafikiri ni Mdenishi. Haikupita miezi mitatu wakafuta hiyo kitu.

Mabenki kama SCB, Baclays and the Co. ni ya watu wenye pesa nyingi maana makao yao ni makubwa sana.
 
Hii bank huwa naambiwa ni one of the best and efficient banks in Tanganyika, in short ndo bank nzuri ya kwanza ya kizalendo kwa huduma tanganyika sasa kama hao staff wao wameanza kuleta marangi basi itaanguka muda si mrefu/ at least kupungukiwa wateja hasa wa mjini!

BENKI YA KIZALENDO???? ILIPOKEAJE HELA ZA EPA HATA PALE ZILIPOKUWA ZIMETILIWA MASHAKA NA Standard Chartered Bank?
 
...Nimekuwa napata tabu na hii benki inayofanya vizuri kwasasa kwenye Banking Industry.Kuna kero juu ya Staff wake hasa wa kike,mfano wewe ni mteja na upo dirishani kwa Teller unakuta vinanyanyua simu nakuanza kuchat mbele yako....Leo nimeenda CRDB Dodoma Branch kwa ajili ya kufatilia kadi yangu ya ATM,chakushangaza wameniacha nimesimama zaidi ya nusu saa,nilipowaambia mbona sipati huduma wanasema tulikuwa tunawaudumia waheshimiwa yaani wabunge....Kwa kweli nilipandwa na hasira sana...yaani ubunge wao unanihusu nini mimi? Niliwaifanya kazi NMB miaka fulani akaja mbunge mmoja wa viti maalumu toka Iringa akitaka nikamchukulie hela ndani maana anawai,kwakweli nilimwambia wazi sikufahamu naomba upange foleni...........CRDB mnakera jamani....

mie walishanikera na ATM zao yani unafunga safari uneshukia njiani uchukue pesa kwa ATM Unaingia unakuta hazifanyi kazi kwa kweli inakera sana unajikuta unapanda tena daladala ufate ATM nyingine, mfano pale tabata relini ATM yao inaweza kufa siku mbili mfululizo!
 
get a CBK account, u wont need another bank and ur complains will be a thing of the past
 
Hawa jamaa wanakera sana mimi nimetoa hela zangu zote kwenye Bank yao.Nipo nje ya Tz na nilikuwa natumia VISACARD yao but ilikuwa kero sana,Walifunga acc yangu for three weeks nikiwapigia simu wanasema kesho kesho!..Mpaka last time niliporudi Bongo nikachomoa mpunga wangu wote.
 
Wallah CRDB wanatia hasira
Niliomba kuunganisha na huduma ya online banking (nipo mkoa), majibu yalivyokuja wamenipa username na password zisizofanya kazi! nimeenda local branch hakuna wanalojua kuhusu hiyo huduma!mtu nayetakiwa kuwasiliana naye panapo shida ni Sarah Nzowa (Yupo dar), kichekesho ni kwamba branch nzima hakuna mtu mwenye simu yake ya kiganjani, na kwenye barua hakuna contact yoyote,...HATA S.L.P!
 
Nbc is the best bank and if u wish to get the best an high quality product just inverst on it.
 
Branch za DSM ndio usiseme.
Jamaa yangu karibuni alienda kutoa hela, sister duuhh aliyekuwa akihudumia huku akilonga na hawara zake akajikuta amempa million 3 badala ya million1.5 (badala ya kutoa bunda tatu za laki tano yeye katoa tatu za million moja moja ). Jamaa alipogundua alichukua akaomba kumuona branch mger lkn kama kawa haikuwezekana. Basi jamaa kwa hasira kaondoka zake. Baada ya siku tatu kaenda tena yule binti akamfuata akisema nilikupa pesa zaidi last time, jamaa akakana kwani hawana ushahidi walikuwa wanagamble tu.
So CRDB msipoangalia siyo tu mtapoteza wateja bali pia pesa zenu..
Hii nimeipenda kwani huyo changu ni lazima siku nyingine atakuwa makini huwezi kuwa unafanya vitu viwili kwa wakati mmoja na ukategemea concetration itakuwa the same, amekoma!
Mwambie tu mshikaji anitumi hela angalau ya beer!
 
Nbc is the best bank and if u wish to get the best an high quality product just inverst on it.

Mkuu ni bora mara 100 niende hata NMB au Exim kuliko NBC. BUT pamoja na matatizo ya mabenki yetu CRDB still is so better compared to NBC.
 
Tunaambiwa waTz hatupendi kazi, tunapenda ajira. Jamaa akija kuwekeza na kuajiri wageni tunaanza kulalama.
 
CRDB ni wezi, imenitokea mara 3 pale Mlimani City, Kibaha na Kijitonyama, nilikuwa ninadeposit zaidi ya 1.5 milion. Nimetoka nyumbani nimezihesabu vizuri, nafika dirishani naambiwa zimepungua sh 10,000 mahali pengine 20,000 yani mradi ni wizi kwa kwenda mbele
 
Back
Top Bottom