only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
...Nimekuwa napata tabu na hii benki inayofanya vizuri kwasasa kwenye Banking Industry.Kuna kero juu ya Staff wake hasa wa kike,mfano wewe ni mteja na upo dirishani kwa Teller unakuta vinanyanyua simu nakuanza kuchat mbele yako....Leo nimeenda CRDB Dodoma Branch kwa ajili ya kufatilia kadi yangu ya ATM,chakushangaza wameniacha nimesimama zaidi ya nusu saa,nilipowaambia mbona sipati huduma wanasema tulikuwa tunawaudumia waheshimiwa yaani wabunge....Kwa kweli nilipandwa na hasira sana...yaani ubunge wao unanihusu nini mimi? Niliwaifanya kazi NMB miaka fulani akaja mbunge mmoja wa viti maalumu toka Iringa akitaka nikamchukulie hela ndani maana anawai,kwakweli nilimwambia wazi sikufahamu naomba upange foleni...........CRDB mnakera jamani....