CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,571
- 883
Najariblu kupiga namba ya simu iliyopo kwenye visa card ya crdb, customer service HOTLINE lakini kuna muda inakuwa busy. ukijaribu baadae itaita lakini haipokelewi. na ukitulia useme upige tena baadae inakuja na ujumbe not reachable.Naamini simu ilikuwa inafanya kazi nusu saa tu iliyopita, sasa sielewi inapokuwa not reachable maana yake nini?