hujui hata unachoongea..fanya utafiti kwanza,hela za epa zilikwapuliwa kutoka benki kuu
wana JF kuna kitu nimejaribu kujiuliza sipati jibu kwa nini wizi mkubwa wowote serikalini KWA MFANO EPA fedha zilitawanywa na CRDB BANK naomba kujua,kwa nini mafisadi wanaitumia sana bank hii kufanikisha wizi wao?
wewe umeelewa vipi?
hujui hata unachoongea..fanya utafiti kwanza,hela za epa zilikwapuliwa kutoka benki kuu
Hujui usemalo mzee, ndio maana watu wameku challenge mapema na huna majibu. Nenda kasome BOT Act na Banking & Financial institution act utajua kuwa benki kama benki haina kosa na ilitimiza wajibu wake