mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
Kwa kweli nimekua mtumiaji wa huduma yao ya mobile banking tangu ianzishwe...tatizo kubwa ni DELAY...hela ikiamishwa kutoka kwenye akaunt yangu kuja labda mpesa itakaa weee hadi usahau...wakat huo hela kwenye akaunt haipo na mpesa haipo...inakua wapi sielewi..leo nimehamisha fedha saa 10 mchana hadi muda huu wa saa karibu 4 usiku sijapata iyo hela kwenye mpesa yangu...mmenisababishia usumbufu mkubwa sana ambao hamuwez kunilipa kwa garama yeyote ile!!!!!kama hamuez kupunguza au kuondoa iyo DElay tafadhalini go out of that business!!!!