Dullo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2009
- 251
- 64
[h=6]CRAZY WIFE.
Ilikuwa mida ya usiku, baada ya kula chakula cha lala salama mke akamwambia mumewe
MKE: Honey, leo tubadilishe style. Kila siku style hiyo hiyo!
(Mume kwa furaha akajibu)
MUME: Kama ulojuwa mke wangu,jambo hilo lilikuwa mawazoni mwangu. Sasa leo tutafanya style gani?
MKE: Wewe utaosha vyombo, mimi niangalie TV.[/h]
Ilikuwa mida ya usiku, baada ya kula chakula cha lala salama mke akamwambia mumewe
MKE: Honey, leo tubadilishe style. Kila siku style hiyo hiyo!
(Mume kwa furaha akajibu)
MUME: Kama ulojuwa mke wangu,jambo hilo lilikuwa mawazoni mwangu. Sasa leo tutafanya style gani?
MKE: Wewe utaosha vyombo, mimi niangalie TV.[/h]