Davooo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 505
- 772
mkuu,una akili kwelJaman anaefaham perfum inaitwa quizas
mkuu,una akili kwelJaman anaefaham perfum inaitwa quizas
How comes alikua anaogopewa hivyo.?Dah ilikua form 2 nilisema kwa cube members wangu kuna kiatu cha jamaa mmoja Wa form six kinanuka ,wakaenda kunisemea ,kumbe jamaa alikua mtabe na anaheshimika kindakindaki ,muda Wa jioni unaingia kaanza kunitafuta dormitory ,nlienda kulala juu ya mti mpaka asubuhi nikanyoosha kwa headmaster kwa usalama wangu ,asubuhi naona jamaa anakuja kwenye office ya headmaster huku anapiga mluzi halafu katabasamu
Headmaster mwenyewe anazima fegi kwa jamaa akaniombea msamaha ,kweli jamaa akawa kaka wangu Wa shule hakuna aliyenionea Tena ,sema ndio hivyo kumfulia, anakupa sh 50 umletee mkate,soda na change ibaki ,ukiletewa nido sijui na blueband unanyoosha moja kwa moja kwake
Why mafuta ya taa.?!Ndio ulisema wiki nzima ulilazwa huku unacheka. . . .
Aisee ilikua pande moja ya mtu ,miraba minne ananyanyua vyuma na anacheza karate mziki wake sio wa kitotoHow comes alikua anaogopewa hivyo.?
Huo muandiko, loh2kiw 2nsma mag high! kn ck 2lib ethn mabra 2kalew alf ilkuw ck ya mech 2lchz na karanc 2kawpg 5 bla me nlpg ma 3 pk yang
Ulipompiga ngumi, nayeye alifanyaje.?naikumbuka hiii
ikawaje?Mi nilitongza mwalimu wangu
Haha, duh kumbe ... je yuko wapi kwa sasa.?Aisee ilikua pande moja ya mtu ,miraba minne ananyanyua vyuma na anacheza karate mziki wake sio wa kitoto
Sijui ndugu ila kama hakwenda jeshini basi nadhani atakua jambazi sasa hivi au daktari sijui maana alikua anafanya PCBHaha, duh kumbe ... je yuko wapi kwa sasa.?
Ooh aisee .. kuna shule hua zinakua kama jela flani hivi yaani..Sijui ndugu ila kama hakwenda jeshini basi nadhani atakua jambazi sasa hivi au daktari sijui maana alikua anafanya PCB
#2 sijakuelewa hapo, please fafanua vizuri ...Nakumbuka Tosamaganga
1. Tunaunga nyaya za umeme kwa kuzichubua maarufu kama illegal, unaunga nyaya then simu unatia mfuko wa koti unalining'iniza
2. Tulikuwa tunashuka ipamba kufuata manesi, wale wanyarukolo wa niangusage tulikuwa tunapiga nakumbuka jamaa aliwafakamia alafu alikuwa ana malaria mpk akazima tukamuokota porini
3. Iringa girls maarufu kama zouuu wakija disco ni full kuoga na kupulizia unyunyu.
4. Chua m1 alimwagiwa Chakula chini inabidi akae hapo hapo ale mpk akamaliza.
Olvl nilishuhudia wajaluo wanakunywa uji na ugali wa Jana.
Kiranja wa Chakula aliwHi kula akaharisha na kutapika punje za mchele mpk akalazwa muda mrefu.
Jamaa m1 muha,alikuwa hataki kuoga mpk tunamkata tunammwagia Maji, soksi alikuwa anafanya kukuna mguu unatoa magamba unabadili rangi kuwa kama kahawia basi ni soksi hiyo
tulikuwa tunalia magendo chooni....mnaagiza chips mnakaa chooni mnakula mana mkibambwa ni noma.......
Duh chooni?tulikuwa tunalia magendo chooni....mnaagiza chips mnakaa chooni mnakula mana mkibambwa ni noma.......
Usishangae kawaida kwa shule . mana vinakuwa vitu adimu ...na ukibambwa shule hauna....na unajua uroho wa mwanafunzi ni chips.Duh chooni?
this also happened iyunga technicalWakati wa uji vyombo vilikuwa SADOLIN, kuna jamaa namkumbuka na sadolin lake lililokuwa limeandikwa DON'T SPY ME. jamaa anajaza na kumaliza peke yake.