Seto
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 953
- 53
yaaani..mtu asisafiri kidogo akabadilishwa na hali ya hewa ya huko,baasi ishakuwa formula kuwa ni mkorogo...khaa!! Wala hana u-cameroon..ukitaka kuamini mlengeshee girlfriend wako au dada yako uone...
we wa wapi wewe,,, aliyekuambia hawa wenzetu wote hawafanyi kazi nani? Wengine wameoa na bado wanafanyiwa uanglikana....