CPJ condemns "Kulikoni" suspension; demand immediate lifting!

Hivi Huyu George, anaye litetea Haiba ya Geshi haoni ya kwamba ana mchaafulia Naibu Katibu Mkuu wa UN kazi yake kwa kuonekana mtu senior ka Yeye anatoka katika nchi isiyo fuata utawala Bora?
 
What have we done to stop bad laws in TZ? Tatizo ni kwamba tuna bag la masheria mabovu, lakini tunakuja kuyashtukia wakati wa utekelezaji! Tungetumia nafasi ya kufungiwa magazeti ku-mobilise forces kupambana na hii sheria ikomeshwe mahakamani. Naamini hapa JF kuna jopo la wataalamu wa aina mbalimbali. Vipi kama jopo la wataalamu wetu wangekaa na kuzichambua sheria zote ambazo tunafikiri ni mbovu, then tukaanza kuzipekeka mahakamani. If the likes of Mtikila did why can't we do something too? Tumeshasema sana, pengine tuanze na kutenda! Vingenevyo, tutaandika wee hapa kama tulivyoandika wakati wa Mwanahalisi, zitasha siku 90 gazeti litafunguliwa, na one of us atakuja na thread: 'Kulikoni laingia tena mitaaani...'then...blabla kibao kutoka kwa wachangiaji zitafuata!!

Haya majamaa hayasumbuliwa na makelele yetu. Tuanze kutenda, kidogokidogo hujaza kibaba.
 
Mimi nilidhani Waziri (kama Serikali) na Mahakama ni mihimili miwili tofauti kabisa.

Hii sheria itakuwa imeshapitwa na wakati

Kwa hiyo Waziri kesho akisimama akasema JF ipotee hewani, ndo tunapotea hivyo?

may be not right away kwa sababu JF haijaandikishwa Tanzania; ila wanaweza kuiweka ukuta wa watu wa TZ kuiona.
 
What have we done to stop bad laws in TZ? Tatizo ni kwamba tuna bag la masheria mabovu, lakini tunakuja kuyashtukia wakati wa utekelezaji! Tungetumia nafasi ya kufungiwa magazeti ku-mobilise forces kupambana na hii sheria ikomeshwe mahakamani. Naamini hapa JF kuna jopo la wataalamu wa aina mbalimbali. Vipi kama jopo la wataalamu wetu wangekaa na kuzichambua sheria zote ambazo tunafikiri ni mbovu, then tukaanza kuzipekeka mahakamani. If the likes of Mtikila did why can't we do something too? Tumeshasema sana, pengine tuanze na kutenda! Vingenevyo, tutaandika wee hapa kama tulivyoandika wakati wa Mwanahalisi, zitasha siku 90 gazeti litafunguliwa, na one of us atakuja na thread: 'Kulikoni laingia tena mitaaani...'then...blabla kibao kutoka kwa wachangiaji zitafuata!!

Haya majamaa hayasumbuliwa na makelele yetu. Tuanze kutenda, kidogokidogo hujaza kibaba.

don't count on people wanaozungumza kweny mitandao na kutoa nadharia mbalimbali na kutoa hasira zao. Kuna njia moja tu nayo ni kumshika ng'ombe mapembe wenyewe. Ndio maana wengine tumeamua kwenda zaidi ya kuandika. Wanaotaka kulalamika ubaya wa sheria wanaweza kufanya hivyo lakini hili la kuonesha sheria mbovu limeshafanywa na zipo ripoti za kutosha tu juu ya hili.

Umetoa mfano mzuri wa Mtikila; nashangaa inakuwaje yeye ameweza kufanya mambo haya lakini siyo kina ZItto, Slaa, Mbowe au Chadema?

Chadema wamekuwa wakilalamika sheria mbaya za uchaguzi lakini kwa miaka minne wameendelea kushiriki chaguzi chini ya sheria hizo hizo.

Ndio maana sishangai wakianza kuelezea ubaya wa mabadiliko ya sheria ya vyama vya siasa au ya uchaguzi na kwanini inatishia vyama vya upinzani. Natabiri wataitisha mikutano ya waandishi wa habari na natabiri bunge watazungumza kwa ukali sana juu ya ubaya wa sheria hizo.

Kitu pekee ambacho hawatakifanya ni kuandamana kuzipanga au kuzikataa kwa civil disobedience. Na nina uhakika hata hiyo sheria mbaya itakapopitishwa watu hawa hawa watashiriki uchaguzi ujao huku wakinung'unika.

Usitarajie kiongozi wa Chadema au CUF ambaye anaweza kuandamana kupinga sheria hizo mbaya ambazo wao wanazijua. Labda bwana mdogo Mnyika; lakini siyo Zitto, Mbowe wala Slaa wanaoweza kufanya hivyo. Ila watakuwa na hoja za kisomi kwanini sheria hizo ni mbovu.
 
don't count on people wanaozungumza kweny mitandao na kutoa nadharia mbalimbali na kutoa hasira zao. Kuna njia moja tu nayo ni kumshika ng'ombe mapembe wenyewe.

Chadema wamekuwa wakilalamika sheria mbaya za uchaguzi lakini kwa miaka minne wameendelea kushiriki chaguzi chini ya sheria hizo hizo.

Kitu pekee ambacho hawatakifanya ni kuandamana kuzipanga au kuzikataa kwa civil disobedience. Na nina uhakika hata hiyo sheria mbaya itakapopitishwa watu hawa hawa watashiriki uchaguzi ujao huku wakinung'unika.

Usitarajie kiongozi wa Chadema au CUF ambaye anaweza kuandamana kupinga sheria hizo mbaya ambazo wao wanazijua. Labda bwana mdogo Mnyika; lakini siyo Zitto, Mbowe wala Slaa wanaoweza kufanya hivyo. Ila watakuwa na hoja za kisomi kwanini sheria hizo ni mbovu.
Kama upinzani wenyewe ndio huu na viongozi wenyewe wanaotarajia kutoa tumaini jipya ndio hawa, jee huko tueandako tutafika kweli!?.
 
Hakuna uhuru usio na mipaka. Huu ni msemo ambao inabidi tuuzingatie pale tunapojadili hoja ya kufungia magazeti. Kumekuwepo na upotoshaji mkubwa sana nchini mwetu, na pia katika nchi zinazoendelea kwa ujumla wake, kuhusu suala hili la uhuru wa vyombo vya habari.

Wako wanaodhani kuwa magazeti au vyombo vya habari kwa ujumla vinaweza kuandika na kutangaza vitakavyo. Si kweli . Vyombo vya habari katika utendaji wake wa kazi ni lazima viwajibike. Jamii haiwezi kuruhusu, eti kwa kisingizo cha uhuru wa vyombo vya habari, kuandika na kutangaza vitakavyo. haiwezekani. Hata katika nchi zilizoendelea kuna sheria za vyombo vya habari. Ni lazinma vyombo vya habari vidhibitiwe katika utendaji wake kwani vinginevyo nchi kitaingia kwenye hali ya 'anarchy'.

Hakuna kitu kinachoitwa sheria ya kizamani. Eti Sheria ya magazeti ni ya kizamani. Nani amesema hivyo? Mbona wapo watu wa zamani? Kwa hiyo nao tuwaue kama tunavyotaka kuua Sheria ya magazeti?

Upo unafiki mkubwa mno katika suala hili la mjadala wa vyombo vya habari. Wengi wa waliojitokeza katika mjadala huu hawajui hata maana ya vyombo vya habari.

NI unafiki mkubwa. Hao hao wanaotetea uhuru wa vyombo vya habari wako mstari wa mbele kuwakandamiza waandishi wa habari. Je, si mumesikia namna kampuni moja kubwa na ambayo mmiliki wake hujitangaza kuwa ni mtetezi wa uhuru wa habaria ilivyowatimua waandishi wasiopungua thelathini? Je, haki za binadamu ziko wapi hapo?

Kama wewe unataka kufanya utakalo katika vyombo vya habari nenda Marekani ukaanzishe gazeti na uandike utakavyo, na uone cha mtema kuni. Au nenda Kenya ukaanzishe gazeti na kama kweli utapata leseni ya kuanzisha gazeti huko.

Mjadala huu wa vyombo vya habari ujadiliwe na wahusika usiingiliwe na waropokaji na wanafiki na wasiojua chochote.
 
Niliona kwenye TV (nadhani ITV) Ijumaa usiku Pinda akiwatetea Kulikoni na kuahidi kuziangalia hizi sheria zenye utata ili haki iwe inatendeka. Ni dhahiri alionyesha kuwa Mkuchika na wasaidizi wake walichukua maamuzi ya pupa na ya hila.

Don't take him serious he is a wailing PM.

I understand that as PM he is the head prefect of other ministers and decisions like that of Mkuchika must have the blessings of the cabinet including the PM and their Chairman. AM TALKING COLLECTIVE RESPONSIBILITY HERE!!!!

My problem with the PM is that he sometimes forgets that he is the PM and keeps on complaining like an ordinary citizen. He must wake up and realise that he is the one responsible for making serious decisions and oversee their implementation.
 
Acheni KULIKONI lipumzike kidogo. Uchunguzi na maoni yake yanaweza kuandikwa SEMA USIKIKE, NIPASHE, THE GUARDIAN, SUNDAY OBSERVER, yakasemwa pia ITV/RADIO ONE, EATV/RADIO, CAPITAL TV.... Hivi kweli mnaamini kuna namna ya kumfungia Mzee Mengi kwa lile analotaka kuliandika au kulisema angalau kwa sasa?
 
What have we done to stop bad laws in TZ? Tatizo ni kwamba tuna bag la masheria mabovu, lakini tunakuja kuyashtukia wakati wa utekelezaji! Tungetumia nafasi ya kufungiwa magazeti ku-mobilise forces kupambana na hii sheria ikomeshwe mahakamani. Naamini hapa JF kuna jopo la wataalamu wa aina mbalimbali. Vipi kama jopo la wataalamu wetu wangekaa na kuzichambua sheria zote ambazo tunafikiri ni mbovu, then tukaanza kuzipekeka mahakamani. If the likes of Mtikila did why can't we do something too? Tumeshasema sana, pengine tuanze na kutenda! Vingenevyo, tutaandika wee hapa kama tulivyoandika wakati wa Mwanahalisi, zitasha siku 90 gazeti litafunguliwa, na one of us atakuja na thread: 'Kulikoni laingia tena mitaaani...'then...blabla kibao kutoka kwa wachangiaji zitafuata!!

Haya majamaa hayasumbuliwa na makelele yetu. Tuanze kutenda, kidogokidogo hujaza kibaba.

Nakubaliana na wewe Bw. Mkumbo. Tanzania ina mfumo wa kisheria uliochanganya sheria za kikoloni na zile zilizotungwa wakati wa chama kimoja ambazo lengo lake kubwa ni kuhakikisha kuwa watawala wanaendelea kutawala milele daima.

Ni ndoto za mchana kwa wapinzani kudhani kuwa wanaweza kukishinda chama tawala kwa katiba na sheria zilizopo. Kinachotakiwa ni kubadili katiba na hizi sheria kandamizi zilizotungwa na wakoloni na viongozi wazalendo walioamini katika siasa za ujamaa ili tupate mfumo mpya wa kiutawala utakaoruhusu mawazo mbadala ya maendeleo nchini.
 
don't count on people wanaozungumza kweny mitandao na kutoa nadharia mbalimbali na kutoa hasira zao. Kuna njia moja tu nayo ni kumshika ng'ombe mapembe wenyewe. Ndio maana wengine tumeamua kwenda zaidi ya kuandika. Wanaotaka kulalamika ubaya wa sheria wanaweza kufanya hivyo lakini hili la kuonesha sheria mbovu limeshafanywa na zipo ripoti za kutosha tu juu ya hili.

Umetoa mfano mzuri wa Mtikila; nashangaa inakuwaje yeye ameweza kufanya mambo haya lakini siyo kina ZItto, Slaa, Mbowe au Chadema?

Chadema wamekuwa wakilalamika sheria mbaya za uchaguzi lakini kwa miaka minne wameendelea kushiriki chaguzi chini ya sheria hizo hizo.

Ndio maana sishangai wakianza kuelezea ubaya wa mabadiliko ya sheria ya vyama vya siasa au ya uchaguzi na kwanini inatishia vyama vya upinzani. Natabiri wataitisha mikutano ya waandishi wa habari na natabiri bunge watazungumza kwa ukali sana juu ya ubaya wa sheria hizo.

Kitu pekee ambacho hawatakifanya ni kuandamana kuzipanga au kuzikataa kwa civil disobedience. Na nina uhakika hata hiyo sheria mbaya itakapopitishwa watu hawa hawa watashiriki uchaguzi ujao huku wakinung'unika.

Usitarajie kiongozi wa Chadema au CUF ambaye anaweza kuandamana kupinga sheria hizo mbaya ambazo wao wanazijua. Labda bwana mdogo Mnyika; lakini siyo Zitto, Mbowe wala Slaa wanaoweza kufanya hivyo. Ila watakuwa na hoja za kisomi kwanini sheria hizo ni mbovu.

Ni kweli kabisa Ndugu Mwanakijiji. Nakumbuka nikiwa Chuo kikuu cha Dar miaka ya mwanzoni mwa tisini alikuja Mapalala na dhana ya "POLITICAL CHEMISTRY" baada ya kuulizwa ni kwa nini wapinzania walikuwa hawadai kwanza mabadiliko ya katiba na sheria kandamizi za uchaguzi kabla ya kushiriki kwenye uchaguzi mkuu.

Kwa mujibu wa Mapalala wapinzani walilenga kuwakaanga CCM kwa mafuta yao wenyewe akimaanisha kuwa wanataka kuingia madarakani kwa sheria hizo hizo zilizopo ili wapate fursa ya kuwashughulikia CCM kama wao wanavyoshughulikiwa.

Kwa ufupi usitarajie kuwa hawa wapinzani waliopo wataleta mabadiliko hata kama wakishinda uchaguzi kesho. Kimsingi hawapendi mabadiliko yatokee kabla hawajaingia madarakani. Na kama kweli wakishinda uchaguzi na kukuta mfumo huu wa kisheria ukiwa kama ulivyo si ajabu watakuwa ni madikteta na mafisadi wabaya kuliko hawa wa CCM.
 
Back
Top Bottom