Wana jf habarini za kazi, ninaomba msaada wenu, kuna advert ya kazi nimeisoma, hao wenye kazi ni NGO wanatafuta mhasibu ila pamoja na application letter, cv, vyeti wanataka COVERING LETTER ueleze kwa nini unadhani wewe unafit katika nafasi hiyo?
Naombeni msaada wa kuandika covering letter what content should be mentioned.
naomba kuwasilisha
Naombeni msaada wa kuandika covering letter what content should be mentioned.
naomba kuwasilisha