Couples tusidanganyike kuzaa watoto wachache

Tuwashauri hata hao ndugu zetu wajifunze kuzaa watoto wachache.

Mimi huwa siwaonei aibu ndugu. How come mimi nizae kwa mpango alafu wao wajekuniharibia budget yangu iliyo tight? Huwa nawaambia watoto ni mizigo ya baba na mama, unless ni yatima.
Wengine huleta watoto wao kuja kusoma mjini na ahadi ya kuwalipia ada za shule. Hao huwa nawakubalia ila nahakikisha wazazi wanatuma hizo ada za watoto wao.
Wakifunga shule huwa nawapa nawanunulia tiketi wakasalimie nyumbani kwao.
Hawa si kwamba ni watoto wa dada zangu au kaka zangu. Yaani ni ndugu wa mbali kweli.
However, ikitokea kama mtoto is bright and trying hard, huwa nawasomesha bure.

Jamani tuache unafiki wa kuogopa kusemwa vibaya. Lazima tuwaelimise ndugu zetu uzazi wa mpango.
 
Mimi huwa siwaonei aibu ndugu. How come mimi nizae kwa mpango alafu wao wajekuniharibia budget yangu iliyo tight? Huwa nawaambia watoto ni mizigo ya baba na mama, unless ni yatima.
Wengine huleta watoto wao kuja kusoma mjini na ahadi ya kuwalipia ada za shule. Hao huwa nawakubalia ila nahakikisha wazazi wanatuma hizo ada za watoto wao.
Wakifunga shule huwa nawapa nawanunulia tiketi wakasalimie nyumbani kwao.
Hawa si kwamba ni watoto wa dada zangu au kaka zangu. Yaani ni ndugu wa mbali kweli.
However, ikitokea kama mtoto is bright and trying hard, huwa nawasomesha bure.

Jamani tuache unafiki wa kuogopa kusemwa vibaya. Lazima tuwaelimise ndugu zetu uzazi wa mpango.

Mkuu hapo umeongea kweli, tatizo lililopo ndugu wengine wanapiga sound sana mara hela ada hatumi kwa muda muafaka inabidi uingiliwe na mambo mengimengi yanaboa sana. mimi sija lea mtoto wa mtu ila nimelelewa kwenye familia ya watoto zaidi ya sita ambao mzee wangu alituliwa... inaathili sana watoto.. ilituathili sisi.. ukichukulia mzee alikuwa anacheza aliyofikiri yeye ni fair-play
 
Sio lazima ukae na hao ndugu unaowasaidia, unaweza kuwasaidia wakiwa uko uko kwao. Ila kuzaa watoto wengi mbanu!

Matty umemaliza.. tuzae watoto tutakao weza kuwamudu, tukiwa hai au tumekufa, kusaidia tuwasaidie lakini kukaanao nyumbani kwako aah, namuunga mkono Tuko kwa hili. Nimekua kwenye familia ya watoto wengi wakati sisi tulizaliwa wachache i know what that means.
 
Kwahiyo ujibebeshe watoto watano unaowaita wako ili tu ukwepe wawili wa ndugu??Kwani hao ndugu wanakushikia mtutu wa bunduki?Kama huwezi kuwasaidia waambie..na kama unaweza then wasaidie!Ina maana siku wakisema nyumba yako ni kubwa sana kwa nia ya kutaka kujibanza kwako utauza ukapange ili kusiwe na nafasi kubwa!
 
Fikiria mara mbili, mfano wewe katika famili yenu ni wewe tu umebahatika kwenda chuo/sekondari, na ni wewe pekee ndo unauwezo kifedha. Dada yako ana watoto 4 wawili wamefaulu ameshindwa kumsomesha, na mdogo wako ana watoto 3 kila mtoto na baba yake, na wakati mwingine wanalala njaa hakina hata unga wa uji. Shangazi yako ana watoto 8 hana hata mtoto mmoja aliyebahatika kwenda sekondari, ni wakulima wa jembe la mkono hata wakilima nothing. Kweli ndio utaongeza kuzaa watoto lukuki ili usiwasaidie?Ndg utakuwa na roho mbaya ukizingatia mila na desturi za Afrika.

Lakini pia, mwenye shughuli hapo unamuangaliaje (mke wako anayeenda labor) Maana kuzaa sio kazi ndogo kama unavyofikiria wewe kwamba ni kuzaa watoto wengi ili kukomoa watu fulani. Angalia na kizazi cha siku hizi, si kama cha wazazi wetu waliokuwa wanazaa watoto 12 bila tatizo lolote, siku hizi hata mtoto mmoja unamshukuru Mungu.

Unaweza kuamua kumsaidia mtu huko huko aliko kama basi hutaki akae kwako, lakini sio kuzaa watoto lukuki ili usisaidie. KUWA MTANZANIA HALISI
 
Mkuu unaonekana unasumbuliwa na u selfsh aka umimi aka roho mbaya,
Ni mtazamo wangu mkuu usijali
 
siku hizi tumeanza kubadilika ndugu yangu tunakwenda kwenye mfumo wa nuclear family, si lazima umsaidie nduguyo kwa kuwaleta watoto wake kwako! unaweza wasaidia wakiwa huko huko kwao na msaada ukawa wa maana tu! Extended family zina fifia siku hizi ndugu yangu

The term nuclear family can be defined simply as a wife/mother, a husband/father, and their children. However, this straightforward structural definition is surrounded by a cloud of ambiguity and controversy. Most of the debates have centered around three questions. First, is the nuclear family universal—found in every known human society? Second, is the nuclear group the essential form of family—the only one that can carry out the vital functions of the family (especially, rearing the next generation) or can other family patterns (e.g., single mothers, single fathers, two women, or two men) be considered workable units for fulfilling these functions? The third issue concerns the link between the nuclear family household and industrial society. In the old days, before work moved outside the home to factories and offices, did parents and children live together under one roof with grandparents and other relatives? Did the nuclear family break away from this extended family system as a result of industrialization?
The debate over the universality and necessity of the nuclear family began in the early twentieth century. Pioneer anthropologist Bronislaw Malinowski (1913) stated that the nuclear family had to be universal because it filled a basic biological need—caring for and protecting infants and young children. No culture could survive, he asserted, unless the birth of children was linked to both mother and father in legally based parenthood. Anthropologist George P. Murdock (1949) elaborated on the idea that the nuclear family is both universal and essential: "Whether as the sole prevailing form of the family . . . or as the basic unit from which more complex families form, [the nuclear family] exists as a distinct and strongly functional group in every known society" (p. 2).
The debate about the nuclear family and industrialism centered around the writings of one of the leading sociologists of the post-World War II era, Talcott Parsons (1955). The nuclear unit, he argued, fits the needs of industrial society. Independent of the kin network, the "isolated" nuclear family is free to move as the economy demands. Further, the intimate nuclear family can specialize in serving the emotional needs of adults and children in a competitive and impersonal world.
In later years, the assumptions about the family held by Malinowski, Murdock, and Parsons have been challenged by family sociologists as well as by anthropologists, historians, feminist scholars, and others. Research in these fields has emphasized the diversity of family not only across cultures and eras but also within any culture or historical period.
Anthropologists have pointed out that many languages lack a word for the parent-child domestic units known as families in English. For example, the Zinacantecos of southern Mexico identify the basic social unit as a house, which may include one to twenty people (Vogt 1969). In contrast, historical studies of Western family life have shown that nuclear family households were extremely common as far back as historical evidence can reach, particularly in northwestern Europe—England, Holland, Belgium, and northern France (Gottlieb 1993). These countries have long held the norm that a newly married couple moves out of their parents' homes and sets up their own household. Despite the continuity of form, however, different social classes, ethnic groups, religious persuasions, and geographical regions have had different practices and beliefs with regard to parent-child relations, sexuality, family gender roles, and other aspects of family life.


 
Wewe Mkaka/Mdada mchoyo wewe!! Hata kama utazaa wengi si watakuwa na maisha mabaya vile vile kama ambavyo ungekuwa na wachache halafu ukalundikiwa watoto wa ndugu? Hivyo hayo yote hayajarishi ni bora ukajipanga tu kwa nafasi yako ambayo Mungu amekujaalia. Kama utazaa wato wengi ni sawa uzae wachache nayo ni sawa tu!!
 
Zimekuwepo kampeni siku hizi kuwa ukitaka familia yako iishi maisha mazuri, bas couples wazae watoto wachache

katika mazingira ya kiTz, hiyo haiapply sana coz ukizaa watoto wachache, then umewaambia jamaa zako wakurundikie watoto wao kwako (kama una maisha mazuri kidogo). At the end of the day, utajikuta na vitoto vyako viwili au vitatu, but home kwako kuna watoto 9, wa shangazi, mjomba, kaka, shemeji n.k

Tena umejitahidi kuwalea wanao hao kwa aina ya maadili uliyoipenda wewe, but wanakuja hao wa jamaa na tabia zao za ajabu ajabu, wanachakachu za vitoto vyako..


Lakini una watoto wako watano au zaidi, ni rare kuona ndugu anakuletea mtoto, na hata akikuletea, unaweza kukataa simply.

Ila kwa wenye matatizo ya kiafya au ya kibayolojia wapo excempted na huu ushauri...

Ndugu yangu hiyo uliyotoa ni kali..uzae watoto wengi ili kuziba nafasi ndugu zako wasikuletee watoto wao?hiyo haipo..watu wanakuwa encouraged kuzaa watoto wachache siku hizi kwa sababu za msingi,miongoni mwa sababu hizo ni kama ifuatavyo;
1.Kumpa nafasi mama ya kurejesha afya yake pindi anapozaa,of course space kati ya mtoto na mtoto inapokuwa kubwa maana yake automatically unapunguza namba ya watoto watakaozaliwa uki-take into consideration kipindi ambacho mwanamke anaweza kubeba mimba na kuzaa.
2.Kuweza kumudu kuwalea na kuwapatia watoto vitu muhimu kama elimu,afya,malazi,mavazi n.k..siku hizi kila kitu ni pesa,ukilundika watoto kibao utawalea vp ndg yangu?

Kusaidia watoto wa ndugu zako ni kitu kizuri na utasaidia kwa kadri ya uwezo wako,huwezi kulazimishwa kusaidia bwana.
 
Maisha ni magumu wandugu! watoto chungutele wanini? Nilitembelea Kongo wakati fulani, kuna dreva mmoja mtu mzima, ana watoto makumi kumi na tatu. Duh, yaani siku wakikusanyika kwake, unafikiri ni mjumbe wa nyumba kumi. Na wote wana maisha ya kawaida sana. kwakuwa kipato chote cha mzee kilishia kwenye mlo na huduma za kawaida.

Maisha ya sasa, ya shule za kata...ukiwa na watoto kibao, wote wataishia form four na DIV 0.

Ushauri ni kuwa, zaa watoto unaoweza kuwapatia malezi bora na huduma bora! Ili baadaye wasije waka kung'ong'a! Pia, hudumia ndugu na kusaidia jamaa kulingana na uwezo wako. Naungana na mmojapo hapo juu aliyesema, wema usizidi uwezo.
 
Fikiria mara mbili, mfano wewe katika famili yenu ni wewe tu umebahatika kwenda chuo/sekondari, na ni wewe pekee ndo unauwezo kifedha. Dada yako ana watoto 4 wawili wamefaulu ameshindwa kumsomesha, na mdogo wako ana watoto 3 kila mtoto na baba yake, na wakati mwingine wanalala njaa hakina hata unga wa uji. Shangazi yako ana watoto 8 hana hata mtoto mmoja aliyebahatika kwenda sekondari, ni wakulima wa jembe la mkono hata wakilima nothing. Kweli ndio utaongeza kuzaa watoto lukuki ili usiwasaidie?Ndg utakuwa na roho mbaya ukizingatia mila na desturi za Afrika.

Lakini pia, mwenye shughuli hapo unamuangaliaje (mke wako anayeenda labor) Maana kuzaa sio kazi ndogo kama unavyofikiria wewe kwamba ni kuzaa watoto wengi ili kukomoa watu fulani. Angalia na kizazi cha siku hizi, si kama cha wazazi wetu waliokuwa wanazaa watoto 12 bila tatizo lolote, siku hizi hata mtoto mmoja unamshukuru Mungu.

Unaweza kuamua kumsaidia mtu huko huko aliko kama basi hutaki akae kwako, lakini sio kuzaa watoto lukuki ili usisaidie. KUWA MTANZANIA HALISI

Aine, huwa nabaatika kwenda deep vijijini kwa masuala ya kikazi. Kwa mfano, kuna baadhi ya makabila, tena ya kwetu huko, ukifika kijijini utaona picha ya viscous cycle:
1. Mashambani, wapo kina mama na watoto migongoni.
2. Kijijini, utakuta kundi la wanaume wamekaa kwenye kivuli wanapiga story.
3. Wakati wa mavuno, mwanaume ndio muuzaji na kumgawia pato dogo sana mwanamke. Tena kwenye mazao mazuri, mwanaume anapata hela nzuri hadi anaoa mke wa pili wa kumsaidia mke wa kwanza shambani.
4. Wanaume hawa wa vijijini hawausiki sana kwenye masuala ya malezi ya watoto wao kama afya na shule.
5. Watoto wa siku hizi mtandao, hawataki kulima kama wazazi wao.

Kwa cycle hizi, tukiendekeza kusaidia familia za namna hii, hakusaidii lolote. Watazidi kukuzalia na kukuletea mjini usomeshe.

Watu wanawasema wachina vibaya ikifika kwenye issue za kuzaa watoto. China haikatazi watu kuzaa watoto zaidi ya mmoja. Isipokuwa, mtoto wa kwanza tu ndio anapata huduma za shule na afya bure. Zaidi ya hapo, wazazi mnatakiwa kuilipa serikali ushuru kwa any extra child kwa ajili ya garama za serikali kwa huyo mtoto.

Kuna wizara hapa kwetu inayoshugulikia maslahi ya kina mama na watoto. Ingekuwa ni vema wizara hii ikahakikisha wazazi lazima wawe responsible kwa watoto wao. Baba na mama wa kijijini ni vema waeleweshwe kuwa na watoto wachache ni bora kwa kila mtu. Ni virahisi sana kugharamia watoto watatu kuliko watoto tisa.
 
Aaah wanawake wenyewe wa siki hizi hawataki kuzaa. Akikubali kuzaa inakuwa kwa operation akishapigwa operation 2 anakwambia hataki tena watoto..it begins with women jamani wakubali kuzalishawa au nyie hamuoni hilo?
 
labda kama huwezi kusema NO (HAPANA).....mi huwa simuangalii mtu usoni, kama nina watoto wawili, basi nalea watoto wawili tu!
 
Ushauri wako ni mgumu sana kwa mazingira ya TZ kwani kuna watu wengi wanahitaji msaa wako, kuwa na watoto wengi hujasuluhisha tatizo unachotakiwa ni kuwa na watoto kulingana na mahitaji yako na kama una cha ziada basi wasaidie wengine. Sio lazima unaowapa msaada wakae kwako.
 
Mimi ushauri wako si ukubali kabisa, nizae watoto wengi halafu nishindwe kuwapeleka shule nzuri kwa sababu naogopa eti watoto wandugu watakuja hapana, hao ndugu zangu nitawasaidia nitakapokuwa na uwezo tu, kama sina nitawaeleza ukweli,passenger take care of your luggage bwana. Halafu hebu jiulize umezaa watoto 5 halafu kuna ndugu yako kafariki na imebidi wewe ndio ukae na watoto wake 2 si utakuwa nao 7, lakini mimi mwenye 2, nitakuwa nao 4 sasa mwenye afadhali hapo.. I say :nono::nono::nono:
Unayosema ni kweli , sasa ebu chukulia wewe mwenye mipango hiyo umekufa , who will take care of your children even if ni mmoja au wawili
 
Zimekuwepo kampeni siku hizi kuwa ukitaka familia yako iishi maisha mazuri, bas couples wazae watoto wachache

katika mazingira ya kiTz, hiyo haiapply sana coz ukizaa watoto wachache, then umewaambia jamaa zako wakurundikie watoto wao kwako (kama una maisha mazuri kidogo). At the end of the day, utajikuta na vitoto vyako viwili au vitatu, but home kwako kuna watoto 9, wa shangazi, mjomba, kaka, shemeji n.k

Tena umejitahidi kuwalea wanao hao kwa aina ya maadili uliyoipenda wewe, but wanakuja hao wa jamaa na tabia zao za ajabu ajabu, wanachakachu za vitoto vyako..


Lakini una watoto wako watano au zaidi, ni rare kuona ndugu anakuletea mtoto, na hata akikuletea, unaweza kukataa simply.

Ila kwa wenye matatizo ya kiafya au ya kibayolojia wapo excempted na huu ushauri...

Inaonekana wewe umezaa kama simbilisi au sungura sasa unataka muwe wengi. Acha janja yako hapa. Miaka ya sasa ni aibu watu kuzaa kama nyenyele. Jamii inajua wewe ni mwenye tamaa ya ngono tu si chochote si lolote!
 
Back
Top Bottom