Couples tusidanganyike kuzaa watoto wachache

Tuko

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
11,178
7,319
Zimekuwepo kampeni siku hizi kuwa ukitaka familia yako iishi maisha mazuri, bas couples wazae watoto wachache

katika mazingira ya kiTz, hiyo haiapply sana coz ukizaa watoto wachache, then umewaambia jamaa zako wakurundikie watoto wao kwako (kama una maisha mazuri kidogo). At the end of the day, utajikuta na vitoto vyako viwili au vitatu, but home kwako kuna watoto 9, wa shangazi, mjomba, kaka, shemeji n.k

Tena umejitahidi kuwalea wanao hao kwa aina ya maadili uliyoipenda wewe, but wanakuja hao wa jamaa na tabia zao za ajabu ajabu, wanachakachu za vitoto vyako..


Lakini una watoto wako watano au zaidi, ni rare kuona ndugu anakuletea mtoto, na hata akikuletea, unaweza kukataa simply.

Ila kwa wenye matatizo ya kiafya au ya kibayolojia wapo excempted na huu ushauri...
 
mmh huo ushauri??
kwanza kuzaa watoto wengi siku hizi sio fashen hata kidogo
pili kukata kuwasaidia watoto au ndugu zako wakati una uwezo , huo ni ubinafisi , uroho na uchoyo
 
haha Tuko mada yako imenichekesha kweli kweli
Lakini hiyo haisababishi uzae watoto kibao
 
mmh huo ushauri??
kwanza kuzaa watoto wengi siku hizi sio fashen hata kidogo
pili kukata kuwasaidia watoto au ndugu zako wakati una uwezo , huo ni ubinafisi , uroho na uchoyo
Lakini wema usizidi uwezo,au?
 
Kwa hiyo hupendi kusaidia ndugu? Nafikiri pia mungu ametupa uwezo tufanya malengo ya kifamilia na tukiona tu,ebaakiwa kiasi tunasaidia na ndugu zetu wasiojiweza.binafsi sioni shida kukaa na ndugu ilimradi tunafanya malengo yetu kama kawaida na kama mungu katujalia kupata watoto tuliowaomba tangu awali
 
kuzaa watoto wengi sidhani kama ni suluhisho na kwa maadili yetu waafrika kusaidiana ni jadi yetu..
kumsaidia m2 sio lazima ukae nae unaweza kumsaidia mtu kwa kumlipia ada akiwa huko huko aliko kama wewe hutaki msongamano kwenye familia yako ...
 
mmh huo ushauri??
kwanza kuzaa watoto wengi siku hizi sio fashen hata kidogo
pili kukata kuwasaidia watoto au ndugu zako wakati una uwezo , huo ni ubinafisi , uroho na uchoyo

unatumia kinywaji gani vile?
 
Uamuzi wa kuwapokea au kukataa watoto wengine uko chini ya wahusika (Mume na Mke). Hakuna atakayekulazimisha kulea watoto wake kama siyo wewe mwenyewe kuweka mazingira ya kuwapokea! Just be focused, panga maisha yako, zaa watoto wachache ili uweze kuwasomesha shule nzuri!!!
 
Sio lazima ukae na hao ndugu unaowasaidia, unaweza kuwasaidia wakiwa uko uko kwao. Ila kuzaa watoto wengi mbanu!
 
No, kwa sababu zozote zile kuzaa watoto wengi hapana, Dunia imeshajaa na ardhi haiongezeki, hata zile za reclamation bado ni kiduchu.

Unaweza weka kanuni ya kusaidia ndugu huko huko walipo bila kuweka kambi nyumbani kwako, for African ni vigumu kuwatosa ndugu kabisa.
 
Zimekuwepo kampeni siku hizi kuwa ukitaka familia yako iishi maisha mazuri, bas couples wazae watoto wachache

katika mazingira ya kiTz, hiyo haiapply sana coz ukizaa watoto wachache, then umewaambia jamaa zako wakurundikie watoto wao kwako (kama una maisha mazuri kidogo). At the end of the day, utajikuta na vitoto vyako viwili au vitatu, but home kwako kuna watoto 9, wa shangazi, mjomba, kaka, shemeji n.k

Tena umejitahidi kuwalea wanao hao kwa aina ya maadili uliyoipenda wewe, but wanakuja hao wa jamaa na tabia zao za ajabu ajabu, wanachakachu za vitoto vyako..


Lakini una watoto wako watano au zaidi, ni rare kuona ndugu anakuletea mtoto, na hata akikuletea, unaweza kukataa simply.

Ila kwa wenye matatizo ya kiafya au ya kibayolojia wapo excempted na huu ushauri...
umepewa uzao..umepewa uwezo wa kulea... tota hata elfu ka kidume Suleiman
 
Suala zima la kuwa na mtoto ni kuhakikisha unatimiza mahitaji yote ya kibinadamu anayohitaji mpaka atakapokuwa mtu mzima. Mahitaji kama Afya,Elimu, Malazi n.k. Sasa katika kuyatimiza haya ndio unaweza kujipanga uzae wangapi. Maana ukiangalia gharama ya mtoto mmoja mpaka aanze kujitegemea ndio utajua uzae wangapi.
 
Ila huu ushauri ni mbaya kwa kweli hapa mkuu umechapia Fanya jambo kwa ajili yako na sio kuogopa ndugu
Lakini anae ona ni busara poa tu we zaa watoto kumi uone watakavyo lala barabarani na maisha ya siku hizi



Zimekuwepo kampeni siku hizi kuwa ukitaka familia yako iishi maisha mazuri, bas couples wazae watoto wachache

katika mazingira ya kiTz, hiyo haiapply sana coz ukizaa watoto wachache, then umewaambia jamaa zako wakurundikie watoto wao kwako (kama una maisha mazuri kidogo). At the end of the day, utajikuta na vitoto vyako viwili au vitatu, but home kwako kuna watoto 9, wa shangazi, mjomba, kaka, shemeji n.k

Tena umejitahidi kuwalea wanao hao kwa aina ya maadili uliyoipenda wewe, but wanakuja hao wa jamaa na tabia zao za ajabu ajabu, wanachakachu za vitoto vyako..


Lakini una watoto wako watano au zaidi, ni rare kuona ndugu anakuletea mtoto, na hata akikuletea, unaweza kukataa simply.

Ila kwa wenye matatizo ya kiafya au ya kibayolojia wapo excempted na huu ushauri...
 
Zimekuwepo kampeni siku hizi kuwa ukitaka familia yako iishi maisha mazuri, bas couples wazae watoto wachache

katika mazingira ya kiTz, hiyo haiapply sana coz ukizaa watoto wachache, then umewaambia jamaa zako wakurundikie watoto wao kwako (kama una maisha mazuri kidogo). At the end of the day, utajikuta na vitoto vyako viwili au vitatu, but home kwako kuna watoto 9, wa shangazi, mjomba, kaka, shemeji n.k

Tena umejitahidi kuwalea wanao hao kwa aina ya maadili uliyoipenda wewe, but wanakuja hao wa jamaa na tabia zao za ajabu ajabu, wanachakachu za vitoto vyako..


Lakini una watoto wako watano au zaidi, ni rare kuona ndugu anakuletea mtoto, na hata akikuletea, unaweza kukataa simply.

Ila kwa wenye matatizo ya kiafya au ya kibayolojia wapo excempted na huu ushauri...
U are very right watu wanadanganyika kutozaa watoto watatu wanne halafu wanaishia kutunza watoto wa ndugu ambao watakuja kuwakejeli baadae. hujakosea kwani umesema wenye matatizo utawasaidia. Huko ulaya familia zinaishia kwani unakuta wazee walizaa mtoto moja, mtoto nae kazaa watoto wawili, watoto wakaenda kuishi nchi nyingine, hapo patamu.
 
Mimi ushauri wako si ukubali kabisa, nizae watoto wengi halafu nishindwe kuwapeleka shule nzuri kwa sababu naogopa eti watoto wandugu watakuja hapana, hao ndugu zangu nitawasaidia nitakapokuwa na uwezo tu, kama sina nitawaeleza ukweli,passenger take care of your luggage bwana. Halafu hebu jiulize umezaa watoto 5 halafu kuna ndugu yako kafariki na imebidi wewe ndio ukae na watoto wake 2 si utakuwa nao 7, lakini mimi mwenye 2, nitakuwa nao 4 sasa mwenye afadhali hapo.. I say :nono::nono::nono:
 
Zimekuwepo kampeni siku hizi kuwa ukitaka familia yako iishi maisha mazuri, bas couples wazae watoto wachache

katika mazingira ya kiTz, hiyo haiapply sana coz ukizaa watoto wachache, then umewaambia jamaa zako wakurundikie watoto wao kwako (kama una maisha mazuri kidogo). At the end of the day, utajikuta na vitoto vyako viwili au vitatu, but home kwako kuna watoto 9, wa shangazi, mjomba, kaka, shemeji n.k

Tena umejitahidi kuwalea wanao hao kwa aina ya maadili uliyoipenda wewe, but wanakuja hao wa jamaa na tabia zao za ajabu ajabu, wanachakachu za vitoto vyako..


Lakini una watoto wako watano au zaidi, ni rare kuona ndugu anakuletea mtoto, na hata akikuletea, unaweza kukataa simply.

Ila kwa wenye matatizo ya kiafya au ya kibayolojia wapo excempted na huu ushauri...



Hahahhhhhh, pole zako kama excuse yako ndiyo hiyo. Kusaidia sii lazima ni hiari na willingness ya ya mtu, na kama upo willing kusaidia unaweza kuwasaidia wakiwa huko kwao sii lazima uwabebe uwaweke kwako, na sanasana ukiwabeba na kuwaweka kwako usilaumu watakapo kushukuru kwa majungu yao.
Kuzaa watoto wengi ili kukwepa bugudha za watoto wa ndugu ni sawa na kuendeshewa life style yako na watu wengine, hapo ni sawa na wanakudrive. Panga life style yako kwanza, ya ndugu yafuate baadaye, usiishi kwa kupelekeshwa.
 
Kwa hiyo hupendi kusaidia ndugu? Nafikiri pia mungu ametupa uwezo tufanya malengo ya kifamilia na tukiona tu,ebaakiwa kiasi tunasaidia na ndugu zetu wasiojiweza.binafsi sioni shida kukaa na ndugu ilimradi tunafanya malengo yetu kama kawaida na kama mungu katujalia kupata watoto tuliowaomba tangu awali

Tatizo unakuta wewe umezaa wawili, alaf ndugu anazaa 9, alaf umlelee. Alaf kusema unazaa kutokana na uwezo, mara nyingi watu wanaanza kuzaa wakiwa na uwezo mdogo. sasa ukiangalia uwezo wako wa leo, unajuaje ya kesho? alaf wengi wanazaa wachache alaf wanaishia kuwa wavuta bangi, na malay.a. kwa hiyo sio guarantee kuwa ukizaa wachache.
 
........Kuzaa watoto wengi dunia ya leo, maisha yapo juu sana kwa sasa. Siku hizi mtoto unamvalisha disposable diapers, kuna day care bei kama nini......mtoto huyo huyo bado kumuwekea akiba aje kusoma shule bora na chuo bora. Kuna mambo mengi ya kumuhudumia mtoto ili aje kuwa na future bora, nikiorodhesha hapa nitajaza page nyingi.

Nadhani mwenyewe unaona huko vyuoni wanafunzi wanavyopata taabu kila siku maandamano kudai kuongezewa posho. Lakini kila mzazi angezaa watoto wachache na kuweka akiba ya kuja kusoma mtoto hizi tabu zote zisingetokea.

Hao ndugu nao labda kama wana shida, ila siku hizi bana kila mtu na mzigo wake. .....hata ndugu nao wanatakiwa kuzaa kwa mpango ili hata kama haupo duniani usiwaachie wenzako mzigo mkubwa wa kulea.
 
Back
Top Bottom