Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Zimekuwepo kampeni siku hizi kuwa ukitaka familia yako iishi maisha mazuri, bas couples wazae watoto wachache
katika mazingira ya kiTz, hiyo haiapply sana coz ukizaa watoto wachache, then umewaambia jamaa zako wakurundikie watoto wao kwako (kama una maisha mazuri kidogo). At the end of the day, utajikuta na vitoto vyako viwili au vitatu, but home kwako kuna watoto 9, wa shangazi, mjomba, kaka, shemeji n.k
Tena umejitahidi kuwalea wanao hao kwa aina ya maadili uliyoipenda wewe, but wanakuja hao wa jamaa na tabia zao za ajabu ajabu, wanachakachu za vitoto vyako..
Lakini una watoto wako watano au zaidi, ni rare kuona ndugu anakuletea mtoto, na hata akikuletea, unaweza kukataa simply.
Ila kwa wenye matatizo ya kiafya au ya kibayolojia wapo excempted na huu ushauri...
katika mazingira ya kiTz, hiyo haiapply sana coz ukizaa watoto wachache, then umewaambia jamaa zako wakurundikie watoto wao kwako (kama una maisha mazuri kidogo). At the end of the day, utajikuta na vitoto vyako viwili au vitatu, but home kwako kuna watoto 9, wa shangazi, mjomba, kaka, shemeji n.k
Tena umejitahidi kuwalea wanao hao kwa aina ya maadili uliyoipenda wewe, but wanakuja hao wa jamaa na tabia zao za ajabu ajabu, wanachakachu za vitoto vyako..
Lakini una watoto wako watano au zaidi, ni rare kuona ndugu anakuletea mtoto, na hata akikuletea, unaweza kukataa simply.
Ila kwa wenye matatizo ya kiafya au ya kibayolojia wapo excempted na huu ushauri...