Asiyehudhuria mdahalo amejitupa nje mwenyewe bila ya zengwe
Hapo ndo penye tatizo namna ya kumtupa nje, kama kungekuwa na strong media hapo ingewezekana, nadhani wanaharakati wafanye juu chini na kushawishi wananchi kuwa ambaye hataki kutuambia ataongozaje nchi hafai yaani, asiyetaka kuulizwa maswali hafai anatumia ujanjaujanja ili afike madarakani haikubaliki. tunataka tuwaulize wagombea na kupima uelewa wao.