Mtaalam
JF-Expert Member
- Oct 1, 2007
- 1,370
- 234
jana nilipokea msg sasa nikashindwa kuielewa niitake as a joke au ndio njia ya kuwakumbuka wapendwa wetu??
it goes like this....
" Huko Mbinguni leo kuna sherehe, vijana Complex na Vivian hatimaye wameamua kufunga ndoa....wageni rasmi ni mwalimu Nyerere na Karume. Mc ni Amina Chifupa. Kitengo cha burudani yupo John Mgema, Steve 2k, Tx Moshi na Omary Kopa.kitengo cha uchekeshaji yupo Max.Mkata keki ni Salome Mbatia.Kamati ya ulinzi yupo Chacha Wangwe.
imebaki kadi moja je tukutumie?
wasiliana na aliyeko kitengo cha kukaribisha wageni mheshimiwa Izrael "
it goes like this....
" Huko Mbinguni leo kuna sherehe, vijana Complex na Vivian hatimaye wameamua kufunga ndoa....wageni rasmi ni mwalimu Nyerere na Karume. Mc ni Amina Chifupa. Kitengo cha burudani yupo John Mgema, Steve 2k, Tx Moshi na Omary Kopa.kitengo cha uchekeshaji yupo Max.Mkata keki ni Salome Mbatia.Kamati ya ulinzi yupo Chacha Wangwe.
imebaki kadi moja je tukutumie?
wasiliana na aliyeko kitengo cha kukaribisha wageni mheshimiwa Izrael "