Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Suppose una miaka kama sita ndani ya ndoa, na una watoto pia.....! Mwenzi wako amekuwa na siri kubwa ambayo hajawahi kukushirikisha, nawe pia hujawahi kupata....! It is obvious that people do not put open their past facts...! Ikatokea siku moja ukiwa na mwenzi wako, mnasikiliza kipindi cha "Search Line" kwenye radio...! Then, mkamsikia mtu mmoja akitaja majina yote ya mwenzi wako akimtafuta na kudai kuwa alikuwa mpenzi wake na waliachana takribani miaka sita wakiwa bado wanapendana sana....! Je, utajisikiaje?