Wanabaraza,
Tumekuwa tukichangia kuhusiana na vita dhidi tya Rushwa Tanzania. Kuna mtu anaweza kunifaamisha gharama ya rushwa Tanzania kwa Mwaka?
Mwenye data naomba kufahamishwa. Nimejaribu kufuatilia WB ana TI lakini wote hawana.
Natanguliza shukrani
Tumekuwa tukichangia kuhusiana na vita dhidi tya Rushwa Tanzania. Kuna mtu anaweza kunifaamisha gharama ya rushwa Tanzania kwa Mwaka?
Mwenye data naomba kufahamishwa. Nimejaribu kufuatilia WB ana TI lakini wote hawana.
Natanguliza shukrani