Mfano mzuri kwa Tanzania yetu. Viongozi mafisadi inajenga Taifa la mafisadi. Tumefikia pahali hata tunapodai haki zetu mpaka tufanye ufisadi ndio tuzipate na tunaona ni sawa tu.
Interesting, MAMMAMIA.!! just 'my' somewhat additions to the topic, me naona ufisadi unaanza kwa sisi wananchi wa kawaida . . .to uongozi! Af hapo ndo we sum up to a total FISADILIZED nation!
Tubadilike sisi wenyew kwanza mmoja mmoja kwa kukataa ufisadi mdogo wa chin, tukimaliza hapo tumeweza mbona,hao wachache juu hawatatushinda!!! na hata viongoz wabaadae watakua swaafi!! swala gum n nani aanze kubadilika huku chin?? Kila mtu anamtolea macho mwngine!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.