Contrasting Leardership Styles: Uhuru Kenyatta v. Raila Odinga...

Status
Not open for further replies.
Hii ya kusema kwamba wazungu wanampinga Uhuru kwakuwa atawakwamisha ni mbinu ya jubilee kutafuta huruma ya wakenya kumchagua Uhuru.

Ni uhuru huyu huyu ambaye amejaza uwekezaji wake huko kwa wazungu sasa wamuogopee kitu gani? Wazungu hawataku kurisk kwa kuwekeza kwa mtuhumiwa wa ICC ambaye anaweza kuhukumiwa kifungo na hivyo wao wakashindwa kufanya biashara na uwekezaji kwa kushirikiana na serikali ya Kenya.

Kutokana na hilo wapambe wa Uhuru na jubilee wamekuwa wakieneza propaganda hiyo kama njia ya kuwahadaa wakenya wamchague na sitarajii kama hiyo propaganda itawasaidia kiasi cha kutosha.

Mwita Maranya Uhuru kawekeza Kenya siyo ulaya kama unavyodai na hao wazungu wanataka kuwekeza kenya kwa mazingira ambayo yatawanufaisha na siyo lazima wakenya wanufaike pia..............

ICC haina bao baada ya Uhuru kushinda uraisi na kesi zote zitahamishiwa Arusha kwenye East African Court of Justice na huko zitafutwa kwa sababu hakuna ushahidi wa kuwaunganisha watajwa..........

Ushahidi ambao ICC hadi leo inaukusanya na kutamba nao ni wa kuthibitisha vurugu na mauaji yalitokea lakini siyo ushiriki wa wahusika tajwa kwenye mauaji hayo.......................

Unapozungumzia Uhuru kufungwa lazima uuweke mezani ushahidi ulionao na huna....................................do him justice, at least there.
 
Duh! naomba niweke wazi kuwa Raila Odinga is my favorite candidate,
kwa hiyo sitapenda kujiingiza kwenye mjadala huu, ila nitasoma comments
tu kuwaelewa zaidi wagombea hawa wawili...

Bishop Hiluka Be blessed .....uko sahihi kabisa lengo ni sote kuongeza ujuzi kupitia mijadala na wala siyo kumkashifu mtu au mgombea........................mimi ninaamini Uhuru has the necessary prerequisites to govern Kenya and EAC will immensely benefit froma amn of his eminence.....................such a humble guy, too......
 
Mpaka uchaguzi wa Kenya uishe natumaini idadi ya watu wa Kenya itakua imepungua kwa kiasi kikubwa!
 
Dah Rutashubanyuma umezivamia hizi siasa za kenya kwa kutanguliza chuki kwa Odinga kama vile unavyomchukia Dr. Slaa huku kwetu.

Hivi nikikuuliza unitajie kitu "tangible" ambacho Uhuru anaweza kujivunia tangu ameanza kuwa waziri katika serikali mbalimbali za Kenya utataja nini zaidi ya kuimarisha ukikuyu? Uhuru amekuwa naibu waziri mkuu kwa miaka hii mitano na pia waziri wa fedha kabla ya kuvuliwa/Kujivua kutokana na kesi ya ICC ana nini cha kujivunia alichoifanyia kenya katika nafasi hizo alizokuwa nazo ndani ya serikali ya mseto?

Labda nikuulize kitu kingine, unadhani wakenya wanaweza kukubaliana na hii ngonjera unayoimba hapa? usinitajie rafiki yangu Kabaridi ambaye amesha declare interest yake kwa jubilee alliance!!

Mkuu hapa, the message was very clear. kiongozi gani kati ya Raila na Uhuru anaweza ongoza kwa busara. Mimi nimezungumza na supporters wengi wa Raila na kitu ninachoona kwao ni huwa wapofu kukubali tactics za Raila za uongozi ni za kugawanya. Tactics za Raila ni kama zake Moi. Haya yote si maneno yangu. Kwa muda wa miaka tano ambao Raila alikuwa PM na mhsirika dau katika serikali, amedhihirisha haya yote.


Ameeneza siasa zile zake za upinzani kwenye afisi ya PM sio kwa manufaa ya wananchi, bali kwa lile dhana tu ni wakikuyu wako uongozini na wanafaa kupingwa. Ametumia rasilimali nyingi za serikali ku, kuhenda nchi za ngambo kushughulikia masuala ambayo hayatafaidi mwananchi for the short term. You can only talk of warm relations with the outside world, if kila mtu ana chakula mezani, ana afya, anapata mambo ya msingi kama maji nk.

Lingine mimi nampingia Raila ni kuwa he is very blind to the things that a common man needs yaani mambo ya msingi kama zahanati. You cannot go to turkana lol and talk of kuwajengea barabara za kifahari na watu humo hawana hata zahanati za kuwapa matibabu na madawa, hawana bwawa la maji, mawasiliano pia ni tatizo, usigusie hata miundo msingi yenyewe. Kumbuka mavazi ya wasamburu na waturkana ni tatizo ingawa ni kivutio kikuu cha kitalii.

Nilishasome kuwa UHURU created ile project ya economic stimulus plan. Niliona kuwa alikuwa technology minded na he is more of the digital age. alipokuwa waziri wa fedha na uchumi, alitembea na tablet PC badala ya sanduku ya miaka kwenda kutoa bajeti. Tatizo ni kuwa wanaocheza na kuchochea siasa hifanya hivyo kukataa mambo haya. Raila naye ile project yake ya economic marshal plan for NEP ilikwenda vipi, unaweza tuarifu? has any ground breaking/ground-work been done?
I mean Kila kiongozi Raila akiwemo ndani wana strenghnt and weakesses na tusiwe shy kuyafunua.
 
Unafahamu kwamba Uhuru alikuwa anazuia fedha za miradi zilizotengwa katika maeneo ya wapinzani wa Kibaki na kuzielekeza nyumbani kwao? ni kitu gani hasa ambacho unaweza kukitaja kwamba ulikuwa ni ubunifu wa Uhuru akiwa naibu waziri mkuu ama waziri wa fedha?

nani aliyeleta mabadiliko ya magari fuel guzzlers kwa mawaziri?si ni uhuru ama ni Rao?uhuru ndiye alileta passats jambo linalofuatwa mpaka na judiciary of late.

Tatizo ni kuwa anachokifanya uhuru hatangazi kwenye baraza kama Raila.Rao talks more and does very little.You just need to look at kibera to understand this.Despite being their mp for decades.
 
Mkuu hapa, the message was very clear. kiongozi gani kati ya Raila na Uhuru anaweza ongoza kwa busara. Mimi nimezungumza na supporters wengi wa Raila na kitu ninachoona kwao ni huwa wapofu kukubali tactics za Raila za uongozi ni za kugawanya. Tactics za Raila ni kama zake Moi. Haya yote si maneno yangu. Kwa muda wa miaka tano ambao Raila alikuwa PM na mhsirika dau katika serikali, amedhihirisha haya yote.


Ameeneza siasa zile zake za upinzani kwenye afisi ya PM sio kwa manufaa ya wananchi, bali kwa lile dhana tu ni wakikuyu wako uongozini na wanafaa kupingwa. Ametumia rasilimali nyingi za serikali ku, kuhenda nchi za ngambo kushughulikia masuala ambayo hayatafaidi mwananchi for the short term. You can only talk of warm relations with the outside world, if kila mtu ana chakula mezani, ana afya, anapata mambo ya msingi kama maji nk.

Lingine mimi nampingia Raila ni kuwa he is very blind to the things that a common man needs yaani mambo ya msingi kama zahanati. You cannot go to turkana lol and talk of kuwajengea barabara za kifahari na watu humo hawana hata zahanati za kuwapa matibabu na madawa, hawana bwawa la maji, mawasiliano pia ni tatizo, usigusie hata miundo msingi yenyewe. Kumbuka mavazi ya wasamburu na waturkana ni tatizo ingawa ni kivutio kikuu cha kitalii.

Nilishasome kuwa UHURU created ile project ya economic stimulus plan. Niliona kuwa alikuwa technology minded na he is more of the digital age. alipokuwa waziri wa fedha na uchumi, alitembea na tablet PC badala ya sanduku ya miaka kwenda kutoa bajeti. Tatizo ni kuwa wanaocheza na kuchochea siasa hifanya hivyo kukataa mambo haya. Raila naye ile project yake ya economic marshal plan for NEP ilikwenda vipi, unaweza tuarifu? has any ground breaking/ground-work been done?
I mean Kila kiongozi Raila akiwemo ndani wana strenghnt and weakesses na tusiwe shy kuyafunua.

Ameeneza siasa zile zake za upinzani kwenye afisi ya PM sio kwa manufaa ya wananchi, bali kwa lile dhana tu ni wakikuyu wako uongozini na wanafaa kupingwa. Ametumia rasilimali nyingi za serikali ku, kuhenda nchi za ngambo kushughulikia masuala ambayo hayatafaidi mwananchi for the short term. You can only talk of warm relations with the outside world, if kila mtu ana chakula mezani, ana afya, anapata mambo ya msingi kama maji nk.

Lingine mimi nampingia Raila ni kuwa he is very blind to the things that a common man needs yaani mambo ya msingi kama zahanati. You cannot go to turkana lol and talk of kuwajengea barabara za kifahari na watu humo hawana hata zahanati za kuwapa matibabu na madawa, hawana bwawa la maji, mawasiliano pia ni tatizo, usigusie hata miundo msingi yenyewe. Kumbuka mavazi ya wasamburu na waturkana ni tatizo ingawa ni kivutio kikuu cha kitalii.

Nilishasome kuwa UHURU created ile project ya economic stimulus plan. Niliona kuwa alikuwa technology minded na he is more of the digital age. alipokuwa waziri wa fedha na uchumi, alitembea na tablet PC badala ya sanduku ya miaka kwenda kutoa bajeti. Tatizo ni kuwa wanaocheza na kuchochea siasa hifanya hivyo kukataa mambo haya. Raila naye ile project yake ya economic marshal plan for NEP ilikwenda vipi, unaweza tuarifu? has any ground breaking/ground-work been done?
I mean Kila kiongozi Raila akiwemo ndani wana strenghnt and weakesses na tusiwe shy kuyafunua.

Kabaridi tusamehe sana siye wabongo kwani tunapenda kukosoa lakini hatuendi ndani kuutafuta ukweli....................hii ni shule kali sana umetupatis...........
 
nani aliyeleta mabadiliko ya magari fuel guzzlers kwa mawaziri?si ni uhuru ama ni Rao?uhuru ndiye alileta passats jambo linalofuatwa mpaka na judiciary of late.

Tatizo ni kuwa anachokifanya uhuru hatangazi kwenye baraza kama Raila.Rao talks more and does very little.You just need to look at kibera to understand this.Despite being their mp for decades.

Bamzi afadhali umemchangamsha kidogo jamaa yangu Mwita Maranya. Niko tayari kugharimia safari ya Mwita Maranya niende naye tutembelee kibera baada ya uchaguzi........kazi yetu kubwa itakuwa kukagua vyoo tu kama vipo na wenzetu pale hujisaidia vipi na maambukizi ya kipindupindu yakoje.............................inatisha.........................kama Kibera imemshinda iwaje kenya? Let us get serious on this at least for now.....................and then we can relax later on.........
 
KWA HAYO YOOOTE... Angalia MIKONO yao NANI ana DAMU mkononi? Anayetakiwa na MAHAKAMA ya UN?

Ningependa kiongozi asiye na DAMU za WANANCHI wake MIKONONI MWAKE....

Hili la mikono kuwa na damu nalo ni kitimbi kwa sababu Kibaki na Odinga wanagombania Ikulu lakini wanaoshutumiwa ni Uhuru na Rutto. Napata shida sana kuelewa jinsi Kibaki na Odinga wanavyokuwa hawahusishwi hata kidogo kwenye vurugu zilizosababisha mauaji Kenya 2007!
 
Hili la mikono kuwa na damu nalo ni kitimbi kwa sababu Kibaki na Odinga wanagombania Ikulu lakini wanaoshutumiwa ni Uhuru na Rutto. Napata shida sana kuelewa jinsi Kibaki na Odinga wanavyokuwa hawahusishwi hata kidogo kwenye vurugu zilizosababisha mauaji Kenya 2007!

ZeMarcopolo Taarifa ya kwanza ya ghasia za uchaguz wa 2007 iliwataja Kibaki na Raila na iliandaliwa na KNCHR- Kenya national Commission for Human Rights........na hicho ni chombo cha serikali lakini ikachakachuliwa na kuondoa jina la wakubwa hao wakidai nchi itavurugika basi wakatoa makafara wadogo zao....................

Sasa Raila kaona hicho nacho ni kivuno cha kisiasa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

ICC haina mamlaka ya kuhangaika na dagaa wakati kambale waanaachwa hawashughulikiwi....................

Ikumbukwe raila na Kibaki ndiyo wanufaikaji wakubwa wa ghasia za 2007 one became the mr. president and the other Mr. Premier............how they were let off the hook Kofi Annan is also part of the conspiracy...............the rest is injustice going on at ICC
 
nngu007 sheria ya uchaguzi iiko wazi uko huria kugombea hadi pale mahakama itakapokutia hatiani..tuhuma siyo hatia.....na kwenye hili la ICC washitakiwa halali ni Kibaki na raila.....to be brutally honest.............
I second you on this......logic hapa ni rahisi sana, Kenya kulikuwa na vurugu baada ya uchaguzi, The Political Giants were involved, waliopelekwa katika meza ya makubaliano ya amani ni Raila na Kibaki after they shaked hands vurugu zikakoma, hatua zilipoanza kuchukuliwa dhidi ya waliosababisha au ku-engineer hizo vurugu wakafuatwa Uhuru na Ruto, ambao hawakuwepo kwenye meza ya kupatanishwa, kwa kwa kukosa sifa hizo kwa kuwa hawakushiriki, angalia sarakasi hizi, ni wapi imekuwaje hata Kibaki na Odinga 'mkono' huu wa haki ukawakwepa?
 
I second you on this......logic hapa ni rahisi sana, Kenya kulikuwa na vurugu baada ya uchaguzi, The Political Giants were involved, waliopelekwa katika meza ya makubaliano ya amani ni Raila na Kibaki after they shaked hands vurugu zikakoma, hatua zilipoanza kuchukuliwa dhidi ya waliosababisha au ku-engineer hizo vurugu wakafuatwa Uhuru na Ruto, ambao hawakuwepo kwenye meza ya kupatanishwa, kwa kwa kukosa sifa hizo kwa kuwa hawakushiriki, angalia sarakasi hizi, ni wapi imekuwaje hata Kibaki na Odinga 'mkono' huu wa haki ukawakwepa?

Consigliere Kofi Annan ni kibaraka wakubwa na anajaribu kumdidimiza Uhuruto lakini ukweli utajulikana hivi punde............ ukoloni mamboleo.............
 
Bamzi, nice one but that will be quickly thrown to the shelf, people do not want to here about leadership that is based on perfomance. Watu wanataka kudanganyana na mambo ya ukombozo mara second liberation, mara tulipigania katiba,...it has been all about self-serving politicians. Lakini katika hiyo sokomoko, kumekuwa na viongozi ambao wametenda kazi ya kuonekana.

moja ni kama ulivyotaja na pia nakumbuka wakati UHURU alikuwa waziri wa fedha, alijikaza sana kupunguza bei ya bidhaa muhimu, lakini alipokwisha oondoka kwenya uwaziri wa fedha, cartels took over wakapandisha bei ya mafuta, ule mswada wa price control ya bidhaa muhimu, hooligans katika bunge walihakikisha imekanyigiliwa na kutupiliwa mbali kama vile walivyoihujumu mswada wa gitobu imanyara ya local tribunal ya kuwajibisha waliosabababisha ghasia za uchaguzi mwaka 2008 for ICC. Hivi sasa wanafiki wamerudi na kuanza kuimba nyimbo za local tribunal!
rutta

Heshima kwako... hawa wakoloni huwa na hii dhana kuwa waafrika hawana "good brains" ndio wakajaribu kucheza shere. hilo swali wengi wameliuliza, kwanini odinga au Kibaki hawatuhumiwi?. Ama what happened to the ten names in the waki envelope. That is why unakuta ICC wanataka kuendesha trials na manufuctured evidence huko uholanzi becasue they are not interested in justice. ICC sio shirika huru, ndiposa juzi ulisikia bensouda akisema itabidid aombe msaada kutoka "big-powers" kama marekani na uingereza watumie kila mbinu ya kulazimisha kenya inetoa ushaidi..That in itself speaks volumes. Halafu Watanzania najua msingi za khoja zao zinaegemea kwa odinga pengine kwa kuwa ni msoshalisti, si kwa kazi amefanya au ameleta.
 
Last edited by a moderator:
NYAKIMWE kama haya unayoyasema basi zisiwepo chaguzi ila mataifa yatuchagulie viongozi wetu.........................The rule of law according to the Kenyan election law....................one is innocent until he is convicted by the courts and all remedies of appeal have been thoroughly exhausted.

Kwa hiyo that part of your comment is prejudicial and irrelevant to the Uhuruto rights to run and win Kenyan highest office............

RUTA..Nakubaliana na wewe kwa mujibu wa sura ya sita ya katiba ya KENYA, ambayo inaongelea masuala uongozi na uadilifu, mtu hatazuiwa kugombea uongozi mpaka ithibitike na mahakama kuwa amekosa,na hatua zote za kukata rufaa,lakini hatuombei ikiwa mshindi hatapatikana katika RAUNDI ya kwanza itakuwaje maana second runoff itakuwa tarehe 10 april siku ambayo kesi dhidi ya William Rutto
na Joshua Arap Sang (Head wa operations at KASS FM International) ndo itakuwa inaanza kusikilizwa,pia tareh 11 april kesi dhidi ya UK na Balozi Dr Fransis Kirimi Muthaura itakuwa inatajwa tena huko hague.ikumbukwe hawa watu wanatakiwa kuwepo physically mahakamani. kwa mujibu wa political analyst wa Nairobi(MAKAU MUTUA) ukichagua viongozi hawa (UHURUTO) utakuwa umechagua leaders who are going no where...
 
Kwa mujibu wa ile barua ambayo ilikuwa na majina 6 ambayo yalifanziwa kazi na AMOSI WAKO, kila upande ulitoa watuhumiwa 3.starting with ODM side,William Rutto,Henry Kosgey na Joshua Arap Sang wakati PNU side walikuwa Uhuru Muigai Kenyatta,Balozi Dr Fransis Kirim Mutaura na Former Police commissioner Hussein Ally. Kosgey na Hussein Ally walijiweka mbali sana kulifanya hili suala kuwa la kisiasa,walikwepa sana kuliongelea kwenye media lakini hawa akina Uhuru na Rutto wakawa wanafanya Prayers rallies badala ya kujikita na laywers wao katika kusolve ushahidi wao...
 
Naomba nitoe challenge kwa RUTA, kati ya Raila na Uhuru nani ambaye ni true reformist, kwa kumbukumbu zangu nakumbuka Kuna kipindi KIBAKI aliteu kiujanjaunja Mkuu wa Sheria,jaji mkuu,CAG,Budget controller na DPP. akina Rutto na Uhuru walishabikia sana wakati ilikuwa ni unconstitutional ndipo RAO akapinga ule mchakato na kulazimisha kuwa mchakato urudiwe upya.. kwa nguvu alizo nazo RAO kibaki akasalimu amri kusema ule mchakato urudiwe upya....hapa namwona Raila kama kiongozi mwenye maamuzi any time..ni juzi tu amepinga wabunge kulipwa hefty package kwa kusema itakuwa betrayal to kenyans..
 
Kile kitufe cha DISLIKE mbona hakipo?hebu kiwekeni sababu hapa sio tu ningekigonga bali ningekigonga kwa nyundo kuonyesha kuwa huu ni UTUMBO
 
, nice one but that will be quickly thrown to the shelf, people do not want to here about leadership that is based on perfomance. Watu wanataka kudanganyana na mambo ya ukombozo mara second liberation, mara tulipigania katiba,...it has been all about self-serving politicians. Lakini katika hiyo sokomoko, kumekuwa na viongozi ambao wametenda kazi ya kuonekana.

moja ni kama ulivyotaja na pia nakumbuka wakati UHURU alikuwa waziri wa fedha, alijikaza sana kupunguza bei ya bidhaa muhimu, lakini alipokwisha oondoka kwenya uwaziri wa fedha, cartels took over wakapandisha bei ya mafuta, ule mswada wa price control ya bidhaa muhimu, hooligans katika bunge walihakikisha imekanyigiliwa na kutupiliwa mbali kama vile walivyoihujumu mswada wa gitobu imanyara ya local tribunal ya kuwajibisha waliosabababisha ghasia za uchaguzi mwaka 2008 for ICC. Hivi sasa wanafiki wamerudi na kuanza kuimba nyimbo za local tribunal!
rutta

Heshima kwako... hawa wakoloni huwa na hii dhana kuwa waafrika hawana "good brains" ndio wakajaribu kucheza shere. hilo swali wengi wameliuliza, kwanini odinga au Kibaki hawatuhumiwi?. Ama what happened to the ten names in the waki envelope. That is why unakuta ICC wanataka kuendesha trials na manufuctured evidence huko uholanzi becasue they are not interested in justice. ICC sio shirika huru, ndiposa juzi ulisikia bensouda akisema itabidid aombe msaada kutoka "big-powers" kama marekani na uingereza watumie kila mbinu ya kulazimisha kenya inetoa ushaidi..That in itself speaks volumes. Halafu Watanzania najua msingi za khoja zao zinaegemea kwa odinga pengine kwa kuwa ni


Kabaridi
[/URL] ninachosubiria kwa hamu ni concession speech ya Raila maana naona hata Luo Nyanza imechoka kumtumikia farao baaday dada yake na kaka yake kuptishwa kinyume na matakwa ya wapigakura...........
 
RUTA..Nakubaliana na wewe kwa mujibu wa sura ya sita ya katiba ya KENYA, ambayo inaongelea masuala uongozi na uadilifu, mtu hatazuiwa kugombea uongozi mpaka ithibitike na mahakama kuwa amekosa,na hatua zote za kukata rufaa,lakini hatuombei ikiwa mshindi hatapatikana katika RAUNDI ya kwanza itakuwaje maana second runoff itakuwa tarehe 10 april siku ambayo kesi dhidi ya William Rutto
na Joshua Arap Sang (Head wa operations at KASS FM International) ndo itakuwa inaanza kusikilizwa,pia tareh 11 april kesi dhidi ya UK na Balozi Dr Fransis Kirimi Muthaura itakuwa inatajwa tena huko hague.ikumbukwe hawa watu wanatakiwa kuwepo physically mahakamani. kwa mujibu wa political analyst wa Nairobi(MAKAU MUTUA) ukichagua viongozi hawa (UHURUTO) utakuwa umechagua leaders who are going no where...

NYAKIMWE kwanza wachaguliwe khalafu tuone masuala ya hague yamekaaje...............nchi siyo raisi na makamu wake nchi ni mfumo wa kiutawala.....totufautishe mahakama na siasa na hapo tutafanikiwa...........
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom