Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,317
Nini?? Funguka....!
Kwani nimefungika?
Nini?? Funguka....!
Mi ndio maana siko tayari kukurupuka, bora kuwa na miaka 5 na mtu ambae atanitosheleza na kuniridhisha kwa kila namna kuliko miaka 15 na mtu ambae kila jioni natamani nikalale kwa jirani na asubuhi tukiagana napumua kama nimetua mzigo.hakuna kitu kibaya kama
to fall in love
with the right person
at the wrong time
at the right place
hapo ushaolewa/oa
muda hauruhusu tena
panakuwaga patamu sana hapa
to fall in love
with the right person
at the wrong time
at the right place
Kwani nimefungika?