Consider your past

hakuna kitu kibaya kama
to fall in love
with the right person
at the wrong time
at the right place

hapo ushaolewa/oa
muda hauruhusu tena
panakuwaga patamu sana hapa
Mi ndio maana siko tayari kukurupuka, bora kuwa na miaka 5 na mtu ambae atanitosheleza na kuniridhisha kwa kila namna kuliko miaka 15 na mtu ambae kila jioni natamani nikalale kwa jirani na asubuhi tukiagana napumua kama nimetua mzigo.
 
to fall in love
with the right person
at the wrong time
at the right place

Sijakusoma kabisa hapo, how is that possible? May be on theory......right person, wrong time but right place?? Mmekutana chumbani subuhi wakati unatoka tegeta kuwahi daladala uingie job kipindi cha mafuriko?? Amekujaje hapo sasa??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom