Ndugu wana jamii forum katika safu hii, naomben msaada, laptop yangu aina ya toshiba inaonyesha alama ya x ya rangi nyekundu kwenye screen ya baterry highlight. ma yanatoka maandishi yalio kwenye heading."consider replacing your battery" nifanyeje wapendwa wakati ina uwezo wa kukaa na charg zaid ya lisaa na nusu unplag charge?