Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 888
Naomba kuwasilisha kwanza article hii:
Mi nimefanya research ndogo ili watanzania tupate kujua hawa watu wawili waliofanya maamuzi haya ni akina nani.
tuanze na Sir Jonathan Parker, anaonekana ni mtu mwenye heshima yake huko UK
Ila huyu mwingine ndo nimeona kama iko more interesting: Swithin Munyantwali yeye kwa taarifa ya wote yuko based in .... UGANDA
Hii nimethibitisha kupitia Linkedin
Na ili kupata kujua zaidi kuhusu taasisi ya Bwana Munyantwali tembelea tovuti yao
ILI-ACLE
Naomba niweke hapa kidogo maelezo kuhusu taasisi hii ambayo imezaliwa na iko chini ya sheria za Uganda
Kwa leo naomba niwasilishe hapa wakati ninaendelea kukusanya data. Nawakaribisha wale wote wenye data kamili kuhusu wahusika hao na kazi zao waziwasilishe katika thread hii ili tuweze kuelewa ni akina wamefanya maamuzi mazito yatakayogharimu nchi yetu mabilioni.
Kwa leo ni hayo tu.
The International Chamber of Commerce (ICC) has ordered Tanzania Electricity Supply Company (Tanesco) to pay Dowans Holdings SA and Dowans Tanzania Limited a sum of Sh106 billion for breach of contract.
The ICC ruling made on Nov 15, this year, by ICC co-arbitrators, Swithin Munyantwali and Sir Jonathan Parker, held Tanesco responsible for the breach of the agreement and ordered it to pay the claimants $24,168.343.83 plus simple interest of 7.5 percent per year from June 15, 2010 to the day of payment making the sum of $19,955626.71
The two co-arbitrators also ordered Tanesco to pay $39,935,765.50 plus 7.5 percent interest on aggregate principal sum of $36,705,013.94 from the same date
"The total fees and expenses of the arbitrators and the ICC administrative expenses amount to $750,000. The parties have paid and shall bear these costs equally," reads part of the tribunal document which awarded Dowans the payments.
Tanesco has also been ordered to jointly pay the claimants their legal and other costs amounting to $1,708,521.
Mi nimefanya research ndogo ili watanzania tupate kujua hawa watu wawili waliofanya maamuzi haya ni akina nani.
tuanze na Sir Jonathan Parker, anaonekana ni mtu mwenye heshima yake huko UK
Bofya hapa kwa habari na picha yakeMediator Profile:
Sir Jonathan Parker began his career at the Bar in 1962, as junior counsel in the Chancery Division.
He was appointed as Queen's Counsel in 1979. He became a High Court Judge in the Chancery
Division in 1991 and a Lord Justice of Appeal in 2000. As junior counsel, Sir Jonathan built up a
substantial litigation and advisory practice. As Queen's Counsel, he specialised in Chancery and
Commercial litigation. He appeared for the Revenue in a number of cases before the Special
Commissioners, in the High Court, in the Court of Appeal, and in the House of Lords. He also made
numerous appearances in the Courts of Singapore and Hong Kong. He lists his recreations as
landscape painting and spoiling grandchildren.
Appointments:
l Head of Chambers: 11 Old Square, Lincoln's Inn (1962-1991)
l Member of Chancery Bar (1962-1991)
l Bencher of Inner Temple (1985-)
l Bar Council Disability Committee (1986-1991)
l Deputy High Court Judge (1988-1991)
l Chairman, Lincoln's Inn Tenants' Assocation (1988-1991)
l Attorney-General, Duchy of Lancaster (1989-1991)
l Recorder (1989-1991)
l High Court Judge (Chancery Division) (1991-2000)
l Vice Chancellor of the County Palatine of Lancaster (1994-1998)
l Lord Justice of Appeal (2000-2007)
l Courts Service Disability Network (2000-2007)
l Inner Temple Estates Committee (2000-2005)
l Court of Appeal Users' Committee (2005-2007)
Ila huyu mwingine ndo nimeona kama iko more interesting: Swithin Munyantwali yeye kwa taarifa ya wote yuko based in .... UGANDA
Hii nimethibitisha kupitia Linkedin
Bofya hapa kuona hii linkSwithin Munyantwali
Executive Director at International Law Institute Africa Centre for Legal Excellence
Uganda
urrent
Executive Director at International Law Institute Africa Centre for Legal Excellence
Non Executive Director at Barclays
Executive Director at International Law Institute African Centre for Legal Excellence
Swithin Munyantwalis Experience
Executive Director
International Law Institute Africa Centre for Legal Excellence
(Legal Services industry)
Currently holds this position
Non Executive Director
Barclays
(Legal Services industry)
2007 Present (3 years )
Executive Director
International Law Institute African Centre for Legal Excellence
(Legal Services industry)
1997 Present (13 years )
Na ili kupata kujua zaidi kuhusu taasisi ya Bwana Munyantwali tembelea tovuti yao
ILI-ACLE
Naomba niweke hapa kidogo maelezo kuhusu taasisi hii ambayo imezaliwa na iko chini ya sheria za Uganda
International Law Institute - African Centre for Legal Excellence (ILI - ACLE) based in Kampala, Uganda, is at the forefront of legal and judicial reform in sub-Saharan Africa.
Through an arrangement with the Government of Uganda and World Bank support, ILI established its first regional training centre in Kampala, Uganda in 1997 to provide continuing legal education in subjects broadly related to economic development and international commercial relations. ILI-ACLE was then formed in 1998 as an independent self-governing non-governmental organization under the laws of the Republic of Uganda. It is the first and only centre of its kind on the African continent.
Kwa leo naomba niwasilishe hapa wakati ninaendelea kukusanya data. Nawakaribisha wale wote wenye data kamili kuhusu wahusika hao na kazi zao waziwasilishe katika thread hii ili tuweze kuelewa ni akina wamefanya maamuzi mazito yatakayogharimu nchi yetu mabilioni.
Kwa leo ni hayo tu.