nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Kwanini Zanzibar wasijitenge sasa wachukue huu mzigo wa USA na EU sanctions wajue kuwa kwenda Uingereza sasa itakuwa basi tena.
Watawekewa red alert kama vile al-queda, watachunguzwa haswa raha itakuwa hakuna.
Ni kutulia Zanzibar Maringo yote hakuna,Bara lazima muwe na pasipoti na Unajua wabara tena.
Watawekewa red alert kama vile al-queda, watachunguzwa haswa raha itakuwa hakuna.
Ni kutulia Zanzibar Maringo yote hakuna,Bara lazima muwe na pasipoti na Unajua wabara tena.