Elections 2010 Congrats JK.... Umeweza Mdahalo/Mahojiano

Rais JK... nilipokusukiliza asubuhi ya jana redio clouds nilipata tabu sana kufuatilia maongezi yako hasa kutokana na sauti ya uchovu na kigugumizi kishichokwisha... kusema ukweli si kwa nia mbaya lakini nilikua naogopa sana kuangalia TV nikihisi uchovu wa kampeni ungekuweka chini kabisa

Lakini nshukuru umeweza kukaa live kwa masaa mawili na kadri muda ulivyokua ukienda, na confidence yako ilikua inakua... hongera sana

Inagwa mahojianoyalikosa bashasha hasa kutokana na "choreographed" questions plans... bado ulijitahidi sana na kwa hili nasema Jungu kuu halikosi ukoko

Pamoja na kusema yote hayo, bado nina wasiwasi kama kweli umenikonvisi kukupa kura yangu....

Au nina kichwa ngumu?

Now, we do not have a president but Msanii
 
hongera kwa kuongea ukweli lakini mkubwa kigugumizi hiki ni cha kuzaliwa au? i think you need a serious check up kwani watu wanaweza wasikuelewe in f'ture. jana umeni convice infikirie kukuvote japo ni kwa huruma uliyoinyesha, hata hivyo inategemeana zaidi sana na mseto wa leo kijiweni kwani kuna buldoza za huyo jamaa wa hapo karatu ni noma mzee.:doh:!
 
hongera kwa kuongea ukweli lakini mkubwa kigugumizi hiki ni cha kuzaliwa au? i think you need a serious check up kwani watu wanaweza wasikuelewe in f'ture. jana umeni convice infikirie kukuvote japo ni kwa huruma uliyoinyesha, hata hivyo inategemeana zaidi sana na mseto wa leo kijiweni kwani kuna buldoza za huyo jamaa wa hapo karatu ni noma mzee.:doh:!
tanzania hatuhitaji kura za huruma, tuna hitaji kura za haki na hakika.... huruma haina nafasi kwa mafisadi
 
Ule haukuwa mdahalo bana bali ni kipindi cha maswali (awe aliyafahamu tokea awali au la) na majibu

Sawa kabisa ule haukuwa mdahalo wala sidhani kama tunastahili kuita mahojiano maana maswali yametungwa na wao thithiem ili kumjenga kabda tuite Mzoo maana alikuwa anayajua maswali yote na kujitayarisha namna ya kuyajibu ndio maana hawakutaka kabisa utaratibu walioutumia Rais Mtarajiwa Dr Slaa na Lipumba. Pamoja na kuwa ni mzoo bado alijikanyagakanyaga sana. Msipoteze kura zenu kesho. :peace:
 
Sijaona mtu akieleza atafanya vipi jambo... dawa ni kusema ntafanya hiki, kivipi?
Pia JK was given too much time to respond to question adn that ended up to become more of hotuba with mwandishi wa habari kutoa titles tu

True that, ni kama vile alikua na yake anayotaka kujielezea nayo so akawa anapewa leading questions, na hata maswali mengine waulizaji walikua kama vile wanamdirect kupata aina ya jibu, alafu JK badala ya kujibu na kutoa facts ye anaanza kupiga story, na yale makofi wakati mwingine yanapigwa unashangaa kwa lipi lililosemwa?, all in all it was just like an act show that didint go well. Sorry to say that.
 
Unapokuwa muongo, hasa ukiwa umejiandaa hua unajitahidi kuuibalance uongo wako na kile unachoeleza!! Kigugumizi ni namna mojawapo ya kujaribu kubalance na kumemorize ulichoulizwa ili usje jibu tofauti na ilivyopangwa!!!
 
Naona jinsi walivyokuwa wanasinzia jana kuna uwezekano hadi sasa hawajaamka, hivi vile vidingi na vyenyewe ni viandishi au sasa pale vilifikaje? kulikua na wageni "maarufu" hivi wale nao ni maarufu? labda kwa kuroga!!!
 
Rais JK... nilipokusukiliza asubuhi ya jana redio clouds nilipata tabu sana kufuatilia maongezi yako hasa kutokana na sauti ya uchovu na kigugumizi kishichokwisha... kusema ukweli si kwa nia mbaya lakini nilikua naogopa sana kuangalia TV nikihisi uchovu wa kampeni ungekuweka chini kabisa

Lakini nshukuru umeweza kukaa live kwa masaa mawili na kadri muda ulivyokua ukienda, na confidence yako ilikua inakua... hongera sana

Inagwa mahojianoyalikosa bashasha hasa kutokana na "choreographed" questions plans... bado ulijitahidi sana na kwa hili nasema Jungu kuu halikosi ukoko

Pamoja na kusema yote hayo, bado nina wasiwasi kama kweli umenikonvisi kukupa kura yangu....

Au nina kichwa ngumu?

Jamaniiiii eeh ule ni MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI maana sahihi ya Mdahalo sio ule alioufanya JK!! :doh:
 
Am sorry sikuaona cha kunivutia Kumsikiliza Jamaa Kwenye hizo TV zao.
Kile kigugumizi na cha Kujitengenezea. I wish ningeweza kukuchambulia hilo swala la Hicho kigugumizi kisayansi, But in short jamaa anajaribu kujipa angalau Confidence ya Kuongea.
 
......tulia, fikiria hili. Wakati mwendesha kipindi anafungua kipindi kwa introductory remarks, Kikwete yupo bize na DESA/SIMBI la maswali lenyer kurasa kati ya 10 na 15. mwendesha kipindi anaanza kukaribisha maswali kwa yeye mwenyewe kuuliza swali lisilo na kichwa wala mguu, eti katika kuzunguka kwako nchi nzima wakati huu wa kampeni, unaweza kuielezea vipi Tanzania? Ghoosh, kuielezea in terms of what? kiuchumi? kisiasa? kiusalama? kimiundombinu? na what is the question's relevancy to this general election? hiyo tisa, kumi ni pale nilipoona mkutano ule kuwa wa 'kichina' wakati mwendesha kipindi alipokuwa akisema 'swali linalofuata linaulizwa na ...........'? nikasubiri labda atajisahau amalizie 'anayetaka kuuliza juu ya ....' lakini bahati yake alikuwa amkini kuto-expose maswali. Masaa mawili. maswali 9...kila baada ya dakika 5,glass ya maji full of glucose maana hayakuwa tranparent ya kawaida ila somehow opaque. nikaona nisipoteze muda kuangalia 'mchezo wao wa kuigiza' nikaamua kuangalia Thom and Jerry maana sikutegemea swali la maana eti toka kwa wawakilishi wa TBC 1, StarTV, CloudsTV
 
Mi mdahalo wenyewe hata sikuangalia. Hivi haikuwa ka ze comedi?
 
tanzania hatuhitaji kura za huruma, tuna hitaji kura za haki na hakika.... huruma haina nafasi kwa mafisadi
Sidhani kama kesho watu watapiga kura kwa huruma. Pamoja na yote kesho ni siku ya mavuno. Tumesikia kampeni zao na ni wakati wetu sasa kuamua nani anafaa kuongoza Taifa letu.

Pamoja tutafika! Kwa msisitizo JK ameona umuhimu wa wananchi wake na nini wanataka licha ya kutoweka wazi katika mkutano wake jana! Zaidi bado ana kura yangu, kwani sitaki kuongozwa na Fisadi Kiwembe Slaa!

umeanza rafiki... nina siku tano sijanywa nimefunga kuombea uchaguzi....
Kamanda! Ni mimi ambae nilikuwa na bia mkononi wakati nasoma bandiko hili.. Kesho KURA kwa JK.... patamu hapo!
 
rais jk... Nilipokusukiliza asubuhi ya jana redio clouds nilipata tabu sana kufuatilia maongezi yako hasa kutokana na sauti ya uchovu na kigugumizi kishichokwisha... Kusema ukweli si kwa nia mbaya lakini nilikua naogopa sana kuangalia tv nikihisi uchovu wa kampeni ungekuweka chini kabisa

lakini nshukuru umeweza kukaa live kwa masaa mawili na kadri muda ulivyokua ukienda, na confidence yako ilikua inakua... Hongera sana

inagwa mahojianoyalikosa bashasha hasa kutokana na "choreographed" questions plans... Bado ulijitahidi sana na kwa hili nasema jungu kuu halikosi ukoko

pamoja na kusema yote hayo, bado nina wasiwasi kama kweli umenikonvisi kukupa kura yangu....

Au nina kichwa ngumu?

mpeni kura anakubalika jamani, mapungufu ameshayaona kipindi hiki cha kampeni.
 
Wakuu mimi sijui hata nimfananishe na neni! Ali-improve kidogo as compared to the clouds interview jana asubuhi. Alionekana kutawala maneno yake. Ila hakuwa na jipya, a;lisahau hata kuomba kura mwisho wa huo mkutano!!!

JK is failed president we have ever seen in this country's' history!!! Duh!!
 
Ni mwehu tu ambaye hana uwezo wa kuchanganua/kutafakari mambo ndiye ambaye anaweza kusema kwamba JK jana alimfunika Dr Slaa, lakini si mwenye akili timamu. :peace::peace::peace:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom