TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,829
- 11,204
Rais JK... nilipokusikiliza asubuhi ya jana redio Clouds nilipata tabu sana kufuatilia maongezi yako hasa kutokana na sauti ya uchovu na kigugumizi kishichokwisha... kusema ukweli si kwa nia mbaya lakini nilikuwa naogopa sana kuangalia TV nikihisi uchovu wa kampeni ungekuweka chini kabisa
Lakini nashukuru umeweza kukaa live kwa masaa mawili na kadri muda ulivyokuwa ukienda, na confidence yako ilikua inakua... hongera sana
Inagwa mahojiano yalikosa bashasha hasa kutokana na "choreographed" questions plans... bado ulijitahidi sana na kwa hili nasema Jungu kuu halikosi ukoko
Pamoja na kusema yote hayo, bado nina wasiwasi kama kweli umenikonvisi kukupa kura yangu....
Au nina kichwa ngumu?
Lakini nashukuru umeweza kukaa live kwa masaa mawili na kadri muda ulivyokuwa ukienda, na confidence yako ilikua inakua... hongera sana
Inagwa mahojiano yalikosa bashasha hasa kutokana na "choreographed" questions plans... bado ulijitahidi sana na kwa hili nasema Jungu kuu halikosi ukoko
Pamoja na kusema yote hayo, bado nina wasiwasi kama kweli umenikonvisi kukupa kura yangu....
Au nina kichwa ngumu?