Ntambaswala
JF-Expert Member
- Dec 7, 2008
- 255
- 78
Moyo wa kujituma
Kupenda kujiendeleza
Kujiamini- makonfu
Networking
Smartness-upstairs
Hivyo ndivyo vimemfanya kijana huyu afike hapo alipofika kuwa Katibu Mkuu Serikali za Mitaa. Ni mfano mzuri kwa vijana wa sasa ambao hawataki kupafomu kwenye kazi zao. Huyu kijana kaanzia mbali toka uhasibu msaidizi hadi kuwa Katibu Mkuu. Nadhani imemchukua karibu miaka 16 kufika hapo alipo.
Kupenda kujiendeleza
Kujiamini- makonfu
Networking
Smartness-upstairs
Hivyo ndivyo vimemfanya kijana huyu afike hapo alipofika kuwa Katibu Mkuu Serikali za Mitaa. Ni mfano mzuri kwa vijana wa sasa ambao hawataki kupafomu kwenye kazi zao. Huyu kijana kaanzia mbali toka uhasibu msaidizi hadi kuwa Katibu Mkuu. Nadhani imemchukua karibu miaka 16 kufika hapo alipo.