Congo-Kinshasa: South African, Tanzanian Forces Open Fire on Rebels M23

tunaanzana naww kwanza,kukupatia kichapo,maana naww nikibaraka wakagame,na dunia imewageuka napropaganda zenu za genocide.

wewe mtoto wa mama utaweza nini,kuongea tu, nenda congo uone jinsi watazania wamejaa hospitali Goma na wengine wengi waliokufa,eti utatoa kichapo? anza kwanza na hao M23 ndio uone kufikiria wengine,kwanini mnapenda vita? ungejua shida wanazo pata watanzania goma usinge thubutu kuropoka maneno kama hayo.
 
wanasaidiwa na Kagame ndio maana Bosco Ntaganda anahifadhiwa na Rwanda na Jean Maria Runiga, na ukiangalia hao wapiganaji wa M23 ni asili ya wapi utaona Jambo moja tu linaloelekeza Rwanda.

Humu kuna watu ushabiki tu, mbona Bosco ntaganda yuko icc.
 
wewe mtoto wa mama utaweza nini,kuongea tu, nenda congo uone jinsi watazania wamejaa hospitali Goma na wengine wengi waliokufa,eti utatoa kichapo? anza kwanza na hao M23 ndio uone kufikiria wengine,kwanini mnapenda vita? ungejua shida wanazo pata watanzania goma usinge thubutu kuropoka maneno kama hayo.

acha uongo wewe askari walioumia wa un wako watatu tu mmoja kutoka tz na wawili sa, askari wa drc ni 26 na m23 ni zaidi ya 60 wamefariki!!!!
 
watanzania wanao fikiria vita nawahurumia sana,ile vita ya kagera haikua vita,kwani hakuna mtanzania aliye kua mkimbizi,sasa mmechoka amani,kunawakati mtajuta kwanini mulichezea amani,kwani usiwaone hao wanyarwanda wanahangaika mkafikiri walipenda wao,usione wanapigana vita ukafikiri wanapenda vita,nafikiri mnahitaji kuishi maisha ya ukimbizi ya kuhamahama sorry huo ndio ukweli.
 
acha uongo wewe askari walioumia wa un wako watatu tu mmoja kutoka tz na wawili sa, askari wa drc ni 26 na m23 ni zaidi ya 60 wamefariki!!!!

Habari ndiyo hiyo,ukweli wanaujua walio front,wewe utakaa kukodolea habari za hao wazushi,ukweli ni kwamba SADC imeelemewa wanakufa ilembaya.
 
Yaani Tanganyika, Kongo, Zanzibar & Rwanda. Napendekeza jina la muungano huo: TANKOZANRWA!

Kwa blah blah tu, nyie ndio wa kwanza. Wangekuwa wanatoa medali za kuongea Tanzania ingekuwa ya kwanza. All talk and nothing to show for. Nimesoma kwenye magazeti yenu eti mmekuja na program inaitwa sijui Big Brother Now! Yaani mnajipumbaza kuwa you can become Malaysia in one day. Nawaonea huruma kweli. You don't want to work hard but you want results now. I feel sorry for you guys.
 
Mtoeni madarakani basi kama mnaweza. You don't have the balls to do so.

If he will try Patriotic, he will be taken care of. Rangi zake zinajulikana...maadam kaamu kutozionyesha, its okey, ila atakapojaribu kuzionyesha tu, he will be done.
 
[h=1]3 TZ FORCE & 2 SANDF INJURED 8 KILLED IN DRC[/h] Jacob Zuma and Kikwete Dance When African Sons are killing each other. what a shame! Does Mandela and Nyerere aware of the Mafias of these 2 guys in AFRICA?

Congo government soldiers bombed Goma town in several occasion with an intention to provoke the involvement of the UN brigade in the fight. Which they finally got.
The above worked to perfection because MONUSCO, SANDF and TZ force came into battle yesterday, but instead of wiping the rebel fighters, we can confirm today that these same rebels have advance further captured several Congo gouvernement soldiers, 3 Tanzanians and 2 South Africans got injured and 8 are believed to have been killed by M23 Rebels on Saturday. “Jacob Zuma and Kikwete are now hiding these facts said Mutware Mutuwabien an M23 cader in Bunagana”. “we want to call on the families whose sons are fighting along the FARDC to confront their Respective government for confirmation of their husband and sons” he added
The SANDF and TZ force involved in Congo War seems to be fighting for their president selfish gains as opposed to their country’s interest says Kazarama Vianney the M23 military spokesman.
 
Huyo ni mnyarwanda nn ngoja tukujue tukurudishe kwenu,kagame hawezi kuthubutu hata maramoja mziki wetu,waulize m23 watakuambia wanachokiona kutoka kwa jwtz.
 
Kwa blah blah tu, nyie ndio wa kwanza. Wangekuwa wanatoa medali za kuongea Tanzania ingekuwa ya kwanza. All talk and nothing to show for. Nimesoma kwenye magazeti yenu eti mmekuja na program inaitwa sijui Big Brother Now! Yaani mnajipumbaza kuwa you can become Malaysia in one day. Nawaonea huruma kweli. You don't want to work hard but you want results now. I feel sorry for you guys.

Pole binam, mimi ninatokea ukanda wa rift valley wa Tanzania na kwa maumbile ninafanana na PK kuliko hata wewe lakini nchi hii imenilea kwa malezi ya kuangalia utu wangu na sio pua yangu! KARIBU, KIHALALI, TUJENGE TAIFA LA 'EQUAL OPPORTUNITY FOR ALL' NA, NINA IMANI, UTAJIFUNZA MENGI!
HATUWACHUKII WANYARU ILA TUNATAKA KUWAPA SHULE KIDOGO ILI BAADAYE TUWE WATANI WAJADI NA TUOLEANE BILA 'LONG TERM HIMA EMPIRE PLANS!'
Baada ya kututambia na utajiri wenu wa 'blood diamonds' sisi sasa tunataka kuchapa kazi shambani na viwandani kwa bidii na nafikiri uvivu na kupenda 'slope' mlituambukiza nyie 'wajanjawajanja' na malengo tuliyoweka sio ndoto maana TUNAWEZA!
 
Maswala,
Peaceful DRC is a huge boost to TZ and Africa in general. Moreover, business potential, energy & mineral resources, arable land etc., not forgetting human potential, are enormous if and only if peace prevails. Only true neighbor can help this country and TZ should do the needful.

But, TPDF also needs to prepare for a much bigger war with Kagame/Rwanda. Kagame will definitely wage war sooner or later against our country/forces, either to deflect his eventual ICC indictment/arrest or his perpetual fear of reprisal from all the people he killed in Rwanda and DRC.

There's an estimated vast wealth of 33 Trillion $$$$$$$$$$ worth of minerals in the DRC..........more than the GDP of USA and the entire EU combined!!
Nyie acheni tu!!
 
3 TZ FORCE & 2 SANDF INJURED 8 KILLED IN DRC

Jacob Zuma and Kikwete Dance When African Sons are killing each other. what a shame! Does Mandela and Nyerere aware of the Mafias of these 2 guys in AFRICA?

Congo government soldiers bombed Goma town in several occasion with an intention to provoke the involvement of the UN brigade in the fight. Which they finally got.
The above worked to perfection because MONUSCO, SANDF and TZ force came into battle yesterday, but instead of wiping the rebel fighters, we can confirm today that these same rebels have advance further captured several Congo gouvernement soldiers, 3 Tanzanians and 2 South Africans got injured and 8 are believed to have been killed by M23 Rebels on Saturday. "Jacob Zuma and Kikwete are now hiding these facts said Mutware Mutuwabien an M23 cader in Bunagana". "we want to call on the families whose sons are fighting along the FARDC to confront their Respective government for confirmation of their husband and sons" he added
The SANDF and TZ force involved in Congo War seems to be fighting for their president selfish gains as opposed to their country's interest says Kazarama Vianney the M23 military spokesman.
murutongore, Don't forget that all this is the result of you Rwandans committing atrocities in Kongo and now is the time for you to 'face the music'!
War has its costs and what you mention, if at all true, is called 'FIRE BAPTISM', so my brother just wait for your turn and, I tell you, 'YOU'VE GOT IT COMING!'
Anyway, YOU CAN LAUGH NOW WHEN YOU STILL CAN!
 
Bado mapema lakini inshallah jwtz itaingia kigali kama nduli kagame anaendeleza jeuri na kiburi. Anajidanganya kufuata mikakati ya mazayuni wa kiyahudi kupora haki ya wazawa wa kongo kwa kuanzisha ubeberu wa kimbari ili kuanzisha taifa la watutsi peke yao. Mbinu ya kuwafurusha (displacement) wabantu toka maeneo yao na kuingiza walowezi wa kitutsi toka nchi za maziwa makuu kukalia majimbo ya kivu ni kama ile iliyotumiwa na mayahudi kuwazulumu wapalestina nchi yao.


Wewe tatizo lako ni watutsi na siyo issues zilizopeleka majeshi yetu pale....you fit to be working for FDLR then! Dangerous ideology brother.
 
Congo jengeni nchi yenu, piganieni maendeleo yenu, jengeni miudo mbinu, na good governance hii biashara ya kudrag nchi zote kuhusuka na Congo itachelewesha maendeleo yenu. Hakuna vita I siyo na maslahi Kwa wapiganaji. Damu ya Msouth kufia Congo mtalipa mikataba ya maisha.
 
[h=5]Diana Sempebwa Katabarwa[/h]The UN ''peacekeeping mission'' is a negative force in Kivu not keeping peace but escalating war and becoming entangled with the most negative of all negative forces in the Great Lakes region; the FDLR. The UN Brigade fighting on the same side with FDLR is both a tragic and absurd development but not surprising. The French who are in charge of peacekeeping opertions at the UN are using their position to influence decisions taken by the UN in Kivu. The French have unfinished business in the Great Lakes particularly with Kagame and Rwanda. The RPF kicked them out of Rwanda in 1994. They are now back in Kivu through the ''peacekeeping'' arm of the UN to continue lending support to their interahamwe friends and to settle scores with Kagame. The French are well aware that an organised and efficient group like M23 taking full control of the East would spell the end of French influence in the Great Lakes region. Therefore it follows that out of over more than 20 armed groups in East DRC, M23 is enemy number one that must be eliminated. Forget about ADF that sent over 60,000 Congolese fleeing into Uganda recently after capturing Congolese towns. ADF is not the concern of the UN Brigade. All focus is on M23. Western NGOs, ''human rights'' groups in Kivu and sections of Western media representing Western commercial interests in Kivu are well aware that an M23 controlled East DRC would spell doom for foreign commercial interests that have struck lucrative mineral resource deals with Kabila, which deals are of no benefit at all to the Congolese people of the East. So it follows that there is a furious media smear campaign directed against M23 orchestrated by these groups. The South African ruling elites have deployed South African troops in the UN Brigade to protect their personal commercial investments in Kivu. Tanzania has deployed troops in the UN Brigade because of Kikwete's support for Kayumba Nyamwasa and group. No single foreign group is in Kivu for the purpose of protecting civilians or restoring peace. Each group is present in Kivu with a hidden agenda.
 
Back
Top Bottom