HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
na mchumba ananipenda xana na anataka kunioa tatizo kiukweli haniridhish ktk mapenz cpati raha kbs kitu kinachofanya nimkumbuke mpenz wangu wa zamani kumwambia naogopa nicje kumdissappoint
Tafuta namna ya kulizungumza ili kulipatia ufumbuzi. Kuendelea kukaa kimya ni kujitesa mwenyewe na kutokuitendea haki nafsi yako. utaendelea ku-fake mpaka lini? Mwisho wa siku utaolewa halafu utakuwa unatoka nje ya ndoa hovyo hovyo. Kumbuka ukweli utakuweka huru zaidi.
(angalizo: tafuta namna nzuri ya kulieleza hili kwa mpenzio bila kutafsirika vinginevyo)