sinyoritah
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 552
- 346
na mchumba ananipenda xana na anataka kunioa tatizo kiukweli haniridhish ktk mapenz cpati raha kbs kitu kinachofanya nimkumbuke mpenz wangu wa zamani kumwambia naogopa nicje kumdissappoint
Be true to yourself good sex and intimancy is very important .poor rich we have that in common it's a gift from god use it well .get somebody else cause its a sin to lie and do you want to die lonely without appreciate the art of sex and the power remember your body is a temple of God use it well and ask your self those questions:caked:
yaani rafiki, kitu kilichonivuta kufungua hii thread ni jina la mtoa mada (nilijua kaweka na lipicha la hilo hipsi kwa avatar), hata kabla sijawa na hamu ya kujua kawa confused kivipi, lol!Yaani jina lako
na thread yako 'full mauzo'
i wonder kama sio makusudi.....
jf is never boring...
yaani rafiki, kitu kilichonivuta kufungua hii thread ni jina la mtoa mada, hata kabla sijawa na hamu ya kujua kawa confused kivipi, lol!
kama ulivyosema, hapa full mauzo. kaja na gia ya mahipsi baby, then mtu wake hamridhishi, anataka kummwaga, watashikwa wengi hapa! mi simo
ha haaaaaaaaaaaaa, rafiki, mengine hata ukifungua dictionary unatoka kapa. jina halivutii kabisa. kila ukichangia thread unaulizwa kwani wewe ni she?JF kila kukicha ni burudani mpya
watakuja wengine
bado 'wowowo baby'
na 'mnato baby'
Sijui itakuwaje?
kazi kwenu wenye majina mpaka mtu afungue dictionary lol
sasa dada mzuri kwani wachumba wanaruhusiwa kushare tendo ulilolitaja hapa?any way mdelete x wako,and start allover again muelekeze mwenzio kwa namna ambayo hatagundua kwamba huwa humfikishi lakini hata hivyo mkiabstain had mtakapopewa leseni itakuwa njema zaid all ze best!na mchumba ananipenda xana na anataka kunioa tatizo kiukweli haniridhish ktk mapenz cpati raha kbs kitu kinachofanya nimkumbuke mpenz wangu wa zamani kumwambia naogopa nicje kumdissappoint