kululetela
New Member
- May 19, 2009
- 3
- 0
Kwakweli wahindi hawa wamechangia sana kutufanya wazawa masikini.lakini,walitumia UDHAIFU WA WASOMI WACHACHE WAZAWA,walioko madarakani.
Big up sana,tukiongezeka tutatosha kuilinda nchi yetu.Sina shaka Sophia Simba na George Mkuchika wamesoma hii na sana wamemuelewa Reginald Mengi alipozungumzia 'mafisadi papa'. Hapa hatuzungumzii wahindi bali mafisadi! Jamani Watz tutaendelea kuwachekea mafisadi hawa mpaka lini? Hivi tumekuwa mataahira kiasi hiki? Tunapaswa kuamka na kusema 'sasa imetosha'!
Dola isha tekwa siku nyingi dugu Sanii, jua hiyo? Habana dola tena hapa; kiongozi moja moja dani ya fuko ya fisadi. Ona hiyo? Tafanya nini bana! Fisadi kisa nunua yeye ote!Artist Sant sana kwa hoja kali
Nimeisoma naona hasira zimenipanda na ungeona ninavyotaipu hapa we acha tu.
Kama ushahidi wa kimazingira uko wazi hivi, dola inangoja nini kuchukua hatua?
Artist Sant sana kwa hoja kali
Nimeisoma naona hasira zimenipanda na ungeona ninavyotaipu hapa we acha tu.
Kama ushahidi wa kimazingira uko wazi hivi, dola inangoja nini kuchukua hatua?[/QUOTE]
Kuna dola hapa in the real sense? Hapa kuna genge la wahuni tu wanaokesha kuwaza namna ya kutuibia na kujitajirisha wao.
Kama ushahidi wa kimazingira uko wazi hivi, dola inangoja nini kuchukua hatua?
Kuna dola hapa in the real sense? Hapa kuna genge la wahuni tu wanaokesha kuwaza namna ya kutuibia na kujitajirisha wao.
Artist Sant sana kwa hoja kali
Nimeisoma naona hasira zimenipanda na ungeona ninavyotaipu hapa we acha tu.
Kama ushahidi wa kimazingira uko wazi hivi, dola inangoja nini kuchukua hatua?[/QUOTE]
Kuna dola hapa in the real sense? Hapa kuna genge la wahuni tu wanaokesha kuwaza namna ya kutuibia na kujitajirisha wao.
Hili saksta la huyo Chavda nililisikia bungeni hiyo miaka ya 90s akafukuzwa nchini badala ya kufilisiwa na kushtakiwa pamoja na washirika wake leo hii kuna chavda aliyekuja nchini kwa mgongo wa subash kama muajiriwa wake na sasa ni contractor wa kujitegemea najaribu kuunganisha uhusiano wa hao wahindi wawili kitendo walicho kitendea nchi na kama chavda aliyeko tz ni huyohuyo anaezungumziwa we are not serious, serikali ni ya watu walewale waliomtimua Mrema anaetajwa kulivalia njuga sakata hilo pamoja na vitisho vya kuwashtaki wanao fichua maovu yao, hapo mna tegemea nini? Si shamba la bibi bwana.